Paite

Swahili: New Testament

Revelation

7

1Hiai khitin angel li, lei kil lia dinga, leitunga huih lite, leitunga nung lou ding leh tuipi tung hiam, a hihkeileh sing tung hiama nung louding in a khawlsak ua.
1Baada ya hayo nikawaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za dunia wakishika pepo nne za dunia ili upepo usivume hata kidogo: wala katika nchi, wala baharini, wala kwenye miti.
2Huan huai amau chiamtehna apat angel dang kuan tou tuhl ka muta a, huaiin Pathian hing chiamtehna a neia; huan aman huai angel lite leitung leh tuipi hihse dia piaka omte kiangah aw ngaihtak a kikouin,
2Kisha nikamwona malaika mwingine akipanda juu kutoka mashariki akiwa na mhuri wa Mungu aliye hai. Akapaaza sauti na kuwaambia hao malaika wanne waliokabidhiwa jukumu la kuiharibu nchi na bahari,
3Lei tung leh tuipi leh singte tuh hihse kei un, i Pathian sikhate a tal ua i chiamteh zoh main, a chi a.
3"Msiharibu nchi, wala bahari, wala miti, mpaka tutakapokwisha wapiga mhuri watumishi wa Mungu wetu katika paji la uso."
4Huan huai amau chiamteha omte laka tampi, nuai khat leh singli leh sangli, Israel suante chi tenga kipan chiamteh zah ka zata a;
4Kisha nikasikia idadi ya hao waliopigwa mhuri: Watu mia moja arobaini na nne elfu wa makabila yote ya watu wa Israeli.
5Juda chi akipan singkhat leh sangnih chiamtehin a om ua, Reuben chi akipan singkhat leh sangnih; Gad chi akipan singkhat leh sangnih:
5Kabila la Yuda walikuwa watu kumi na mbili elfu; kabila la Reubeni, kumi na mbili elfu, kabila la Gadi, kumi na mbili elfu;
6Aaher chi akipan sing khat leh sangnih; Napthali chi akipa singkhat leh sangnih; Manassi chi akipan sing khat leh sangnih;
6Kabila la Asheri, kumi na mbili elfu; kabila la Naftali, kumi na mbili elfu; kabila la Manase, kumi na mbili elfu;
7Simeon chi akipan singkhat leh sangnih; Levi chi akipan singkhat leh sangnih; Isskar chi akipan singkhat leh sangnih;
7kabila la Simeoni, kumi na mbili elfu, kabila la Lawi, kumi na mbili elfu, kabila la Isakari, kumi na mbili elfu;
8Hiai thil teng zohin ka et leh, ngaiin, mipi tampi kuamah sim theih louh, nam chih leh chi tengteng leh mi tengteng leh pau tengteng akipan laltutphah leh Belamnou maa dinga, puan ngou thupia kijema, tumnah tawi ka mu a;
8kabila la Zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la Yosefu, kumi na mbili elfu, na kabila la Benyamini, kumi na mbili elfu.
9Huan amau tuh aw ngaih takin, Laltutphaha tu i Pathian uh leh Belamnou kiangah hotdamna, chiin a kikou ua.
9Kisha nikatazama, nikaona umati mkubwa wa watu wasiohesabika: watu wa kila taifa, ukoo, jamaa na lugha. Nao walikuwa wamesimama mbele ya kiti cha enzi na mbele ya Mwanakondoo, wakiwa wamevaa mavazi meupe na kushika matawi ya mitende mikononi mwao.
10Huan angel tengteng tuh laltutphah leh upate leh gan hing lite kimvelin a ding ua; laltutphah maa khupbohin Pathian a bia ua,
10Wakapaaza sauti: "Ukombozi wetu watoka kwa Mungu wetu aketiye juu ya kiti cha enzi, na kutoka kwa Mwanakondoo!"
11Huan angel tengteng tuh laltutphah leh upate lah gan hing lite kimvelin a ding ua; laltutphah maa khupbohin, Pathian a bia ua,
11Malaika wote wakasimama kukizunguka kiti cha enzi, wazee na vile viumbe hai vinne. Wakaanguka kifudifudi mbele ya kiti cha enzi, wakamwabudu Mungu,
12Amen Vualjawlna bang, thupina bang, pilna bang, zahtakhuaina bang, thilhihtheihna bang, hatna bang, khantawn, khantawnin i Pathian kiangah om hen, chiin.
12wakisema, "Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukrani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu, milele na milele! Amina!"
13Huan upate laka khatin ka kiangah, Hiai puan ngou thupia kijemte kuate ahi ua, koia kipana hong ahi ua? chiin a honhoupiha:
13Mmoja wa hao wazee akaniuliza, "Hawa waliovaa mavazi meupe ni watu gani? Na wametoka wapi?"
14Huan ken a kingah, Ka Toupa, nang na thei hi, ka chi a. Huan aman ka kiangah, Hiaite gimthuakna thupi akipan hongpai ahi uh, huan a puan thupi uh sawpin, Belamnou sisanin ahih ngou uhi.
14Nami nikamjibu, "Mheshimiwa, wewe wajua!" Naye akaniambia, "Hawa ni wale waliopita salama katika ule udhalimu mkuu. Waliyaosha mavazi yao katika damu ya Mwanakondoo, yakawa meupe kabisa.
15Huaijiakin Pathian laltutphah maah a om ua, huan sun leh janin a Pathian biakin uah amah a sep sak uhi; huan amah laltutphah tunga tupan amau tungah a puanin ajak ding.
15Ndiyo maana wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Humtumikia Mungu mchana na usiku katika Hekalu lake; naye aketiye juu ya kiti cha enzi atatandaza hema lake juu yao kuwalinda.
16A gil uh kial nawn kenchin, a dang uh leng tak nawn himhim kenteh amau tuh niin kang kenchin, satnain leng a hihgim nawn kei ding hi.Belamnou huai laltutphah laka om tuh a Belamchingpa uh a hih ding jiakin, amau tuh hinna tuh tuhkhuk ah a pi ding a; huan Pathianin a mit ua kipan khitui tengteng a nul hulta ding hi, a chi a.
16Hawataona tena njaa wala kiu; jua wala joto kali halitawachoma tena,
17Belamnou huai laltutphah laka om tuh a Belamchingpa uh a hih ding jiakin, amau tuh hinna tuh tuhkhuk ah a pi ding a; huan Pathianin a mit ua kipan khitui tengteng a nul hulta ding hi, a chi a.
17kwa sababu Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atakuwa mchungaji wao, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji ya uzima. Naye Mungu atayafuta machozi yote machoni mwao."