1Huan, Belamnou-in chiamtehna sagihte laka khat a phel lai ka mua, huan ganging lite laka khatin, aw, van ging bang main, Hongpai in, a chih ka zata a.
1Kisha nikamwona Mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba. Nikasikia kimoja cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo, "Njoo!"
2Huan ka et leh, ngaiin, sakol kang leh a tunga tupa thalpeu tawi ka muta a; huan amah kiangah lallukhu piakin a oma; huan amah tuh vualzou kawm leh vualzou jel dingin a hongpai kheta a.
2Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpanda farasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi aendelee kushinda.
3Huan achiamtehna nihna a phel lain, ganhing nihnain, Hongpai in, a chih ka ja a.
3Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, "Njoo!"
4Huan sakol dang, sakol san, hongpai khia a: huan huai a tung a tupa kiangah leitunga kipan lemna lakhe dinga thupiak ahi a, huchia amau a kithah tuahna ding un: huan amah kianga namsau thupi piak a hita a.
4Nami nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mwingine hapo, mwekundu. Mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani duniani, watu wauane, akapewa upanga mkubwa.
5Huan achiamtehna thumna a phel lain gan hing thumnain, Hongpai in, a chih ka zata a. Huan ka et leh, ngaiin, sakol vom ka muta a; huan a tunga tupan a khutin bukna a tawi a.
5Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tatu. Nikamsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema, "Njoo!" Nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mmoja hapo, mweusi. Mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia uzito mkononi mwake.
6Huan gan hing lite laiah aw hileh kilawm in, Huit-buh tehna dan khat shilling khat, huan barli buh tehna dan thumin shilling khat, huan thau leh uain jaw hihse ken, a chih ka ja a.
6Nikasikia kitu kama sauti itokayo kwa vile viumbe hai vinne. Nayo ilisema, "Kibaba kimoja cha unga wa ngano wa kiasi cha fedha dinari moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!"
7Huan achiamtehna lina a phel lain, gan hinglina, awin, Hongpai in, a chih ka ja a.
7Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, "Njoo!"
8Huan ka et leh, ngaiin, sakol dang, ka muta a: a tunga tupa leng, a min tuh Sihna ahi; huan misi khua toh a kijui ua. Huan namsau leh, kial leh sihna leh leitunga gamsahangte thah dingin amau kiangah leitung sehli suah sehkhat tunga thuneihna piak a hita hi.
8Nami nikatazama, na kumbe alikuwapo farasi mmoja hapo, rangi yake kijivu. Na jina la mpanda farasi wake lilikuwa kifo, na Kuzimu alimfuata nyuma. Hao walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia, wawaue watu kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia.
9Huan achiamtehna ngana a phel lain, Pathian thu jiak leh a zuih uh theihsakna jiaka amau thaha omte, maitam nuaiah ka muta a:
9Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. Nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa Mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.
10huan amau tuh aw ngaih taka kikouin, Toupa Tungnungpen aw, siangthou leh dik, bangtan ka sisan man uh amau leitunga tengte tunga thuk lou leh vaihawm loua om ding na hia? a chi ua.
10Basi, wakalia kwa sauti kubwa: "Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu?"
11Huan amau kiangah puan ngouthupi piakin aom chiat ua: huan amau tuh a sikha- hihpihte uleh a unaute uh, amau banga thaha om dingte a hongkim mateng un, na khawl tadih un chia hilhin a om uhi.
11Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watawaua kama wao wenyewe walivyouawa.
12Huan achiamtehna gukna a phel lai ka mu a, huan jinling thupitak a oma: huan ni tuh samul saiip puan bangin a dumta a, huan kha leng a pumin sisan bangin a hongomta a;
12Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu;
13Huan vana aksite theipi kung huihpiin a mut linga a gah min nai loute a pulh bangin, leitungah a pulhta ua,
13nazo nyota za mbingu zikaanguka juu ya ardhi kama matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.
14Huan laibu jail, a kizialzou bangin, van tuh suan mangin a omta: huan tangsang teng leh tuikulh gam teng a mun ua pat suanin a omta uhi.
14Anga likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa; milima yote na visima vyote vikaondolewa mahali pake.
15Huan leitunga kumpipate leh lalte leh, heutute lah a hat leh a haute, leh salteng leh sallou teng tangsang khawnga suangpi khawngah leh kokhuk khawngah a kiselta ua:
15Kisha wafalme wa duniani, wakuu, majemadari, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa na mtu huru, wakajificha mapangoni na kwenye majabali milimani.
16Huan tangsangte kiang leh suangpite kiangah, Hondelh lum unla, amah laltutphah tunga tupa mai akipan leh Belam-nou thangpaihan akiapan honsel un:A thangpaihna ni thupi hongtung hi; kua a ding zou dia? a chi ua.
16Wakaiambia hiyo milima na hayo majabali, "Tuangukieni, mkatufiche mbali na yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na mbali na ghadhabu ya Mwanakondoo!
17A thangpaihna ni thupi hongtung hi; kua a ding zou dia? a chi ua.
17Maana siku maalum ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?"