1Huan, amah huai laltutphah tunga tupa khut taklam ah laibu a sunglam leh a polama kigelh chiamtehna sagiha chiamteh ka mutaa.
1Kisha katika mkono wa kulia wa huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, nikaona kitabu; nacho kilikuwa kimeandikwa ndani na nje na kufungwa na mihuri saba.
2Huan angel hat khatin aw ngaihtaka, Kua ahia laibu tuh honga, huai achiamteha phel tham? chia genkhai ka muta a.
2Tena nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kubwa: "Nani anayestahili kuvunja hiyo mihuri na kukifungua kitabu hicho?"
3Huan vantung hiin, leitung hiam, a hihkeileh lei nuaiah leng huai laibu hong thei hiam, ahihkeileh a tung en thei kuamah a om kei a.
3Lakini hakupatikana mtu yeyote mbinguni, wala duniani, wala chini Kuzimu, aliyeweza kukifungua hicho kitabu au kukitazama ndani.
4Huan huai laibu hongtham hiam, a hihkeileh huai a tung en tham, kuamah a om louh jiakin kei tuh ka kap kapa:
4Basi, mimi nikalia sana kwa sababu hakupatikana mtu aliyestahili kukifungua, au kukitazama ndani.
5Huan upate laka khatin ka kiangah, Kap ken, ngai in, himpinelkai, Juda nam a, David Zungin, laibu th hong thei ding leh huai achiamtehna sagihte leng phel thei dingin a vual zouta, a chi a.
5Kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, "Usilie! Tazama! Simba wa kabila la Yuda, mjukuu maarufu wa Daudi, ameshinda. Yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu."
6Huan, huai laltutphah leh huai gan hing lite leh huai upate lai ah thahsa hileh kilawm, Belamnou, ki sagih leh mit sagih nei, ding ka mu a, huan huai mit sagihte tuh Pathian kha agih, leitung tengtenga sawlkhiakte ahi uhi.
6Kisha nikaona pale katikati ya kiti cha enzi Mwana kondoo amesimama, akizungukwa kila upande na vile viumbe hai vinne, na wale wazee. Huyo Mwanakondoo alionekana kana kwamba amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba ambayo ni roho saba za Mungu zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani.
7Huan, amah a hongpaia, huan laltutphah tunga tupa khut takalama kipan laibu tuh a la a.
7Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.
8Huan huai laibu a lak takin, gan hing lite leh upa sawmnih leh lite, gosem khat chiat leh dangkaeng belhbute gim namtuia dim chiat tawiin, Belamnou maah a khupboh ua, huai gim namtiu tuh misiangthoute thumna ahi.
8Mara tu alipokwisha twaa hicho kitabu, vile viumbe hai vinne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka kifudifudi mbele ya Mwanakondoo. Kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa ubani, ambao ni sala za watu wa Mungu.
9Huan la thak khat a sa ua, Laibu tuh la a, huaia achiamtehna te phel tham na hi: thahin na omta a, chi chih leh pau chih leh mi chih leh nam chiha mite Pathian adinga na sisana na leitak jiakin.
9Basi, wakaimba wimbo huu mpya: "Wewe unastahili kukitwaa hicho kitabu na kuivunja mihuri yake. Kwa sababu wewe umechinjwa, na kwa damu yako umemnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, lugha, jamaa na taifa.
10Huan ka Pathiankiang uah amau lalgam leh siampute hi dingin na bawla; huan amau tuh leitung ah vai a hawm ding uhi, chiin
10Wewe umewafanya wawe ufalme wa makuhani wamtumikie Mungu wetu nao watatawala duniani."
11Huan ka et leh, huan laltutphah leh, gan hingte lah upate kimvel ah, angel tampi aw ka zata a; huan a tam dan uh sang sawm mun sang sawm leh a sanga sang tampi ahi ua;
11Kisha nikatazama, nikasikia sauti ya malaika wengi sana, idadi isiyohesabika, maelfu na maelfu. Walikuwa wamekaa kuzunguka kiti cha enzi, vile viumbe hai vinne na wale wazee;
12thaha om, Belamnou-in hatna khawng, hauhsakna khawng, thilhihtheihna khawng zahtakhuaina khawng, thupina khawng, vualjawlna khawng mu tham ahi, chiin nakpiin a kikou ua.
12wakasema kwa sauti kuu: "Mwanakondoo aliyechinjwa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa."
13Huan thil siam khempeuh, vana om leh leitunga om leh lei nuaia om leh tuipi tunga om leh amaua thil omte tengtengin, laltutphah tunga tupa kiangah leh, Belamnou kiangah, vualjawlna leh zahtakhuaina leh thupina leh vaihawmna, khantawn khantawnin om hen, a chih uh ka ja a.Huan ganging liten, Amen, a chi ua. Huan upate tuh a khupboh ua, a beta uhi.
13Nikasikia viumbe vyote mbinguni, duniani, chini kuzimuni na baharini--viumbe vyote ulimwenguni--vikisema: "Kwake yeye aketiye katika kiti cha enzi, na kwa Mwanakondoo, iwe sifa na heshima na utukufu na enzi milele na milele."
14Huan ganging liten, Amen, a chi ua. Huan upate tuh a khupboh ua, a beta uhi.
14Na vile viumbe vinne hai vikasema, "Amina!" Na wale wazee wakaanguka kifudifudi, wakaabudu.