1Hiai thilte nungin, ka et leh, huan ngai in, vana kongkhak a kihonga, ka aw jak masapen aw pengkul ging bangin kei a honhoupiha, Hiai lamah hongtou in, huan tunung chianga thil hongom dingte kon mu sak ding, achia.
1Baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, "Njoo hapa juu nami nitakuonyesha mambo yatakayotukia baadaye."
2Huaiphetin kei tuh Khain ka omta a; huan ngaiin van ah tuh lal tutphah a hongkitungta a, huan laltutphah tungah mi khat a tuta a;
2Mara nikachukuliwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja.
3Huan a tupa tuh jasper leh sardia suang bangin a kimu a; huan huai laltutphah kimvel ah sakhituihup, emeraldi suang bang maia kimu ajama.
3Huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama almasi na jiwe zuri jekundu. Upinde wa mvua ulikuwa unang'aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote.
4Huan, huai laltutphah kimvel ah laltutphah sawmnih leh li a oma; huan huai laltutphahte tungah upa sawmnih leh li tu kamuta a, puan ngoua kijemin, dangkaeng lallukhu a khu chiat ua.
4Kulikuwa na duara la viti ishirini na vinne kukizunguka kiti cha enzi, na juu ya viti hivyo wazee ishirini na wanne walikuwa wameketi wamevaa mavazi meupe na taji za dhahabu vichwani.
5Huan huai laltutphah kipanin khophia peuh, aw peuh, van-ging peuh, a hongsuaka. Huan mei khawnvak sagih, laltutphah maah a kuang a, huaite tuh Pathian Kha sagihte ahi uhi;
5Umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. Taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu.
6Huan huai laltutphah maah Kristal banga siang limlang tuipi a oma. Huan laltutphah kimvel ah ganhing nunglam leh malam mita dim a om ua.
6Mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. Katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. Viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.
7Huan a ganhing khatna humpinelkai bang ahi a, huan a ganhing nihna bawngnou bang ahi a, huan a ganhing thumnain mai, mihing mai bang a neia, huan a ganhing lina mupi lenglai bang mai ahi.
7Kiumbe cha kwanza kulikuwa kama simba, cha pili kama ng'ombe, cha tatu kilikuwa na sura kama mtu, na cha nne kilikuwa kama tai anayeruka.
8Huan huai ganging li, kha guk nei chiatte, a kimvel leh a sunglama mita dimte: huan amau tuh sun leh jan khawl louin, Siangthou, siangthou, siangthou Toupa Pathian Bangkimhihthei, omsa leh omlel leh hongom ding, a chi ua.
8Viumbe hivyo vinne vilikuwa na mabawa sita kila kimoja, na vilikuwa vimejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika huimba: "Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!"
9Huan huai amah laltutphah tunga tupa leh, huai amah khantawn khawntawna hingpa kianga gan hingten, thupina leh zahomna leh kipahna thu a piak chiang un,
9Kila mara viumbe vinne vilipoimba nyimbo za kumtukuza, kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, ambaye anaishi milele na milele,
10huai amah laltutphah tunga tupa maah, huai upa sawmnih leh lite a khupboh ua, huan huai amah khantawn khantawna hinpa tuh a bia uhi, huan laltutphah maa a lallukhute uh koikhin,Nang ka Toupa uh leh ka Pathian uh, thupina leh zahomna le thilhihtheihna mu tuak na hi; thil tengteng nang na siama, huan nang thu jiakin om leh siam ahi uhi, a chi ua.
10wale wazee ishirini na wanne hujiangusha mbele ya huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi na kumwabudu huyo ambaye anaishi milele na milele; na huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema:
11Nang ka Toupa uh leh ka Pathian uh, thupina leh zahomna le thilhihtheihna mu tuak na hi; thil tengteng nang na siama, huan nang thu jiakin om leh siam ahi uhi, a chi ua.
11"Wewe ni Bwana na Mungu wetu, unastahili utukufu na heshima na nguvu; maana wewe uliumba vitu vyote, na kwa matakwa yako kila kitu kimepewa uhai na uzima."