Paite

Swahili: New Testament

Romans

10

1Unaute aw, ka lungtang deihlam leh amau adia Pathian kianga ka thumna pen jaw, hotdam a hong hihtheihna ding uh ahi
1Ndugu zangu, ninataka na kutazamia kwa moyo wangu wote hao wananchi wenzangu wakombolewe. Tena nawaombea kwa Mungu daima.
2Pathian lamah phatuam a ngai uh chih ka theihpih ahi, himahleh theihna ahihvakin jaw ahi kei uh.
2Maana naweza kuthibitisha kwa niaba yao kwamba wanayo bidii ya kumtafuta Mungu; lakini bidii hiyo haikujengwa juu ya ujuzi wa kweli.
3Pathian diktatna theilou in, amau diktatna lamkhiak a tum ua, Pathian diktatna ah a kipe lut samkei uhi.
3Maana hawakufahamu jinsi Mungu anavyowafanya watu wawe waadilifu, na wamejaribu kuanzisha mtindo wao wenyewe, na hivyo hawakuikubali njia hiyo ya Mungu ya kuwafanya wawe waadilifu.
4Kris bel a gingta peuhmahte adin diktatna a muh theihna ding un dan tawpna ahi ngala.
4Maana kwa kuja kwake Kristo, Sheria imefikia kikomo chake, ili kila mtu anayeamini akubaliwe kuwa mwadilifu.
5Mosi in, Dana diktatna jui jaw, huai diktatna jiakin a hing ding, chiin, a gelh.
5Kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, Mose aliandika hivi: "Mtu yeyote anayetimiza matakwa ya Sheria ataishi."
6Ginna a diktatnain bel hichin a gen: Na lungsimin, Kua ahia van ah kah ding? Hiam (huai tuh tunglama kipan Kris va pi suk ding, chihna ahi);
6Lakini, kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa njia ya imani, yasemwa hivi: "Usiseme moyoni mwako: Nani atapanda mpaka mbinguni? (yaani, kumleta Kristo chini);
7Kua ahia khukthuk ah hoh suk ding? Hiam (huai tuh misi laka kipan Kris pi tou nawn ding chihna ahi) chi ken, chiin.
7wala usiseme: Nani atashuka mpaka Kuzimu (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu)."
8Ahihleh, bang ahia a gen? Thuin a honnaih hi, na kam leh na lungtang ah a om, chiin, a gen ahi; (huai tuh ginna thu ka gengen a hi).
8Maandiko Matakatifu yesema hivi, "Ujumbe huo wa Mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.
9Na kama Jesu Toupa ahi chih na gupa, misi laka kipan Pathianin a kaithou chih na lungtanga na gintak leh hotdamin na om ding, chih.
9Kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka wafu, utaokoka.
10Min lungtangin a gingta ua, diktatna a mu jel uh; kamin a gum ua, hotdamna leng a mu nak uh ahi.
10Maana tunaamini kwa moyo na kukubaliwa kuwa waadilifu; na tunakiri kwa midomo yetu na kuokolewa.
11Laisiangthouin, kuapeuh amah gingta a zahlak kei ding, achi hi.
11Maandiko Matakatifu yasema: "Kila amwaminiye hatakuwa na sababu ya kuaibika."
12Juda leh Grik mite bangmah ah a lamdanga tuan kei ua, Toupa khat a vek ua tungah Toupa ahi a, a min lou peuhmahte tungah hoihna a hau ngala.
12Jambo hili ni kwa wote, kwani hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi; Bwana wa wote ni mmoja, naye ni mkarimu sana kwao wote wamwombao.
13Kuapeuh Toupa min lou tuh hotdamin a om ding hi.
13Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa."
14Ahihleh, a gintak louhpi uh bangchin a lou ding ua? A thu a jak louhpi uh bangchin a gingta ding ua? Thuhilhmi om louin bangchin a za ding ua?
14Basi, watamwombaje yeye ambaye hawamwamini? Tena, watamwaminije kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri?
15Sawl a hih kei uleh bangchin thu a hilh ding ua? Thil hoih tanchin kipahhuai tunte khe kilawm natel e! chih gelh bangin.
15Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!"
16Himahleh, Tanchin Hoih tuh a vek un a ngaikhe kei uhi. Isaiin, Toupa, ka thugen uh kuan ahia gingta? A chi ngala.
16Lakini wote hawakuipokea hiyo Habari Njema. Maana Isaya alisema: "Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?"
17Huchiin, ginna tuh jakna jiakin a hong oma, huan, jakna tuh Kris thu kigen jiakin a hongom hi.
17Hivyo basi, imani inatokana na kuusikiliza ujumbe, na huo ujumbe unatokana na neno la Kristo.
18Ahihleh, a bil un a za kei ua hia? Za nake; A husa uh gam chih ah a thanga, a thu uh kawlmong phain a thangsuakta. Chih ahi.
18Lakini nauliza: je, hawakuusikia huo ujumbe? Naam, waliusikia; kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Sauti yao imeenea duniani kote; maneno yao yamefika mpaka kingo za ulimwengu."
19Ahihleh, Isreal miten a za kei ua hia? Chi dia gen thamlouhte ka honhaza sak dinga; chi pilloute zangin ka honsuheh ding, chiin, Mosiin a gen masapen hi.
19Tena nauliza: je, yawezekana kwamba watu wa Israeli hawakufahamu? Mose mwenyewe ni kwa kwanza kujibu: "Nitawafanyeni mwaonee wivu watu ambao si taifa; nitawafanyeni muwe na hasira juu ya taifa la watu wapumbavu."
20Huan Isai in hangtakin, hon zongloute muhin ka omta; hon kanloute ka kimusakta, chiin a gena.Ahihhangin Isreal mite thu ah, mi chihmoh leh selhatte din sun nilouh in kaban ka jak hi, achia.
20Tena Isaya anathubutu hata kusema: "Wale ambao hawakunitafuta wamenipata; nimejionyesha kwao wasiouliza habari zangu."
21Ahihhangin Isreal mite thu ah, mi chihmoh leh selhatte din sun nilouh in kaban ka jak hi, achia.
21Lakini kuhusu Israeli anasema: "Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii."