1Kris ah thu taktak ka gen ahi, ka juau kei, kha Siangthou ah ka sia leh pha theihnain leng hontheihpiha,
1Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
2Ka lungtang ah haksakna thupitak leh lunggaihna dai theilou ka pai ahi.
2Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
3Ka unaute sa lama ka chi pihte sikin, kei pen Kris kianga kipan hihtuam khop hialin hamse thuakin om hial leng ka chi ngala.
3kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.
4Isreal mi ahi ngal ua; ta hihna bang, thupina bang, thukhun tengteng bang, dan piakna bang, Pathian nasepna bang, thuchiam tengteng bang, amaua ahi a;
4Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
5Pipute leng amaua ahi ua, sa lam thu ah Kris leng amau laka kipan a hongpawt ahi a; amah thil tengteng tunga om, khantawn phat tuak Pathian ahi. Amen.
5Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina.
6Himahleh, Pathian thu bangmahlou banga omta ahi keia. Isreal suante Isreal mi ahi vek kei uhi;
6Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu.
7Abraham suante a hih jiak un a vek un a tate leng ahi kei uhi; Isaak ah na suante a kiminloh ding, chih ahi jaw hi.
7Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Wazao wake watatokana na Isaka."
8Huai tuh, sa tate Pathian tate ahi kei ua, thuchiam tate Abraham suana seh ahi jaw uh, chihna ahi.
8Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake.
9Thuchiam pen tuh hiai ahi: Tu hun bangin ka hong dia, Sarain ta a nei ding chih.
9Maana ahadi yenyewe ni hii: "Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto."
10Huai phet ahi kei Rebekain leng i pu Isaak laka nau a pai laiin,
10Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu.
11Naupangte a pian ma un, sia leh pha a hih ma un, thilhih jiak hilou in, a sampa deih jiak hi jawin, tel lam thu ah Pathian thu seh tuh a kip theihna dingin-a kiangah;
11Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,
12A upa jawin a naupang jaw na a sem ding, Pathianin a chi ahi.
12Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
13Jakob ka it a, Esau jaw ka hua, chih gelh bangin.
13Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia."
14Bang I genta ding ua leh? Pathian ah diktatlouhna a om ahia?
14Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!
15Om lou hial. Aman, Ka hehpih peuhmah ka hehpih dia, zah ka ngaihna tung peuhmah ah zah ka ngai ding, chiin, Mosi kiangah a genta ngal a.
15Maana alimwambia Mose: "Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka."
16Huaijiakin, a deihpa jiak ahi keia, a taipa jiak leng ahi sam keia, a hehpihpa Pathian jiak ahi jaw hi.
16Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
17Laisiangthou in Pharo kiangah, Hiai jiak takin ka hontungding ahi, nanga ka thilhihtheihna ka taklat theihna ding leh, leitung tengtenga ka min a than theihna dingin, achi ngal a.
17Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: "Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani."
18Huchiin, Pathianin a ut peuhpeuh a hehpiha, a ut peuhpeuh leng a genhak sak ahi.
18Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
19Nou, ka kiangah, Bangdia hondem ahia? A deihlam kuan ahia kalh? Non chi ding uh a hih tuak.
19Labda utaniuliza: "Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?"
20Ahi, himahleh, mihing aw, Pathian nial vialpa kua na hia leh? Thilsiamin, a siampa kiangah, Bang achia hichi banga honsiam? A chi dia hia?
20Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: "Kwa nini umenitengeneza namna hii?"
21Bellei tang khat apan bel khat kilawm taka, bel khat zatna niama zat ding a bawl din belvelpan bellei tungah thu a neikeia hia?
21Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
22Hehna bel mangthang dia kilawmte tunga, Pathianin a hehna leh a thilhihtheihna latsak uta, a thuakzoh teitei leh, bang a poi dia, huchia,
22Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa.
23Hehpihna bel, thupi dinga a nabawl kholhte tunga, a hehpihna hauhdan a latsak theihna dingin.
23Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.
24Huaite tuh eite i hi-huai hehpihna belte Judate laka kipan kia hilou a, Jentelte laka kipana leng sapte.
24Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
25Hosia laibu ah, Ka mite hi ngei lou, ka mite, ka chi dia; huan, it ngei louhnu leng Itnu, ka chi ding.
25Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: "Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu!
26Huan hichi a honghi dia, a kiang ua, Ka mite na hi kei uh, chihna mun ah ngei Pathian hing tate sakin a om ding uh. chih gelh bangin.
26Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai."
27Isai in leng Isreal mite thu kikou pihin, Isreal mite jaw tuipi puiaunel zahin tam mahle uh, a gawt bang kia hotdamin a om ding uh.
27Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: "Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa;
28Toupan kintaka hihzou vekin leitungah a gawt ding thu a tangtun dek ngala, a chi.
28maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote."
29Isai mahin, Mipite Toupan chi suah ding honna hawi saklou hileh Sodom khua bangin i naomta ding ua, Gomorra khua banga bawlin i naomta ding, chia a agen kholh bangin.
29Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: "Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora."
30Bang i genta dia leh? Jentel, diktatna delh louten, diktatna a naphata uh ahi, -ginna jiaka diktatna tuh.
30Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani,
31Isreal, diktatna dan delhten, diktatna dan pen a pha zouta kei uh.
31hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata.
32Bang hang ahia? Ginnain a delh kei ua, thilhiha muh theih bangin a delh jiak uh ahi. Pukna suangah a pukta ngal ua.Ngaiin, Zion ah kisuihna suang leh pukna suangpi ka koiha, kuapeuhmah amah gingta tuh a zahlak kei ding, chih gelh bangin.
32Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33Ngaiin, Zion ah kisuihna suang leh pukna suangpi ka koiha, kuapeuhmah amah gingta tuh a zahlak kei ding, chih gelh bangin.
33kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: "Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!"