Paite

Swahili: New Testament

Romans

14

1Huan, ginnaa hatlou mi, a ngaihdante gense louin ngai un.
1Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
2Mi khatin thil bangkim ne thei din a kigingtaa mi hatlou inbel antelouhing kia a ne hi.
2Watu huhitilafiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani.
3Bangkim neten a neloute simmoh kei henla; nelouten leng a nete gense kei heh; Pathianin amah a kipahpih khin ngala.
3Mtu ambaye hula kila kitu asimdharau yule ambaye hawezi kula kila kitu; naye ambaye hula tu mboga za majani asimhukumu anayekula kila kitu, maana Mungu amemkubali.
4Mi dang sikha gensepa kua na hia? a din leh a puk amah toupa ading ahi. Himahleh, amah jaw dinsakin a om ding, Toupan a dingsak thei ngala.
4Wewe ni nani hata uthubutu kumhukumu mtumishi wa mwingine? Akisimama au akianguka ni shauri la Bwana wake; naam, atasimama imara, maana Bwana anaweza kumsimamisha.
5Mi khatin ni khat ni dang sangin a sep thupi tuama, mi dangin ni tengteng kibang chiatin a sep. Mi chih amah lungsim ah kitheichian heh aw.
5Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi kuliko nyingine; mtu mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila mmoja na afuate msimamo wa akili yake.
6Ni tangpan Toupa pahtawina dingin a tang ahi. Huan, bangkim nepan, Pathian kiangah kipahthu a gen jiakin, Toupa pahtawina dingin a nea; a neloupan leng Pathian kiangah kipahthu a gena, Toupa pahtawina dingin a ne kei a ahi.
6Anayeadhimisha siku fulani anaadhimisha siku hiyo kwa ajili ya kumtukuza Mungu; naye anayekula chakula fulani anafanya hivyo kwa kumtukuza Bwana maana anamshukuru Mungu. Kadhalika naye anayeacha kula chakula fulani anafanya hivyo kwa ajili ya kumtukuza Bwana, naye pia anamshukuru Mungu.
7Kuamah eimah adia hing i hi kei ua, kuamah eimah adia si leng i hi sam kei hi.
7Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe
8I hin leh, Toupa adingin i hinga; i sihin leng Toupa adia si ihi ngala: huaijiakin, i hin inleng, i sihin leng Toupaa i hi uhi.
8maana tukiishi twaishi kwa ajili ya Bwana; tukifa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi, kama tukiishi au tukifa, sisi ni mali yake Bwana.
9Kris sihna leh honghinnawnna pen tuh, mi hing leh misi Toupa a hih theihna ding ahi ngala.
9Maana Kristo alikufa, akafufuka ili wapate kuwa Bwana wa wazima na wafu.
10Himahleh nang bang achia na unau gensia na hia oi? Ahihkeileh, nang bang achia na unau simmoh na hia oi? Pathian thukhenna tutphah maah i vek un i ding ding ua.
10Kwa nini, basi wewe wamhukumu ndugu yako? Nawe, kwa nini wamdharau ndugu yako? Sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.
11Toupan, mi tengteng ka maah a kun ding ua, lei tengteng leng Pathian kiangah a kipulak ding uh, chiin, ka chiam ahi, achia, chih gelh ahi ngala.
11Maana Maandiko yanasema: "Kama niishivyo, asema Bwana kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu."
12Huchiin, i vek un Pathian kiangah eimah tanchin i gen chiat ding uh ahi.
12Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja yake mbele ya Mungu.
13Huaijiakin, kigense nawn kei ni, kuapeuhin a unau lampi ah kisuihna hiam dalna hiam koih louh tum jaw hen.
13Basi, tuache kuhukumiana, bali tuazimie kutokuwa kamwe kikwazo kwa ndugu yetu au kumsababisha aanguke katika dhambi.
14Amah mawngmawng ah sianglou bangmah himhim a om kei chih Toupa Jesu ah ka thei mahmah ahi; bangkhat siangloua sehpen bel, aseppa adingin a sianglou ahi hi.
14Katika kuungana na Bwana Yesu, nina hakika kwamba hakuna kitu chochote kilicho najisi kwa asili yake; lakini, mtu akidhani kwamba kitu fulani ni najisi, basi, kwake huwa najisi.
15Na bangkhat nek jiaka na unau lungsim a nat leh, itna danin na gamta kei ahi. A sih sik Kris in a sih sakpa tuh na bangkhat nekin hihmang kei hen;
15Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na mapendo. Usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake!
16Huchiin, nou adia hoihna gilou lama genin om kei hen.
16Basi, msikubalie kitu mnachokiona kuwa kwenu ni kitu chema kidharauliwe.
17Pathian gam tuh nek leh dawn lam thu ahi ngal keia, diktatna khawng, kituahna khawng, Kha Siangthoua kipahna khawng ahi jaw hi.
17Maana Utawala wa Mungu si shauri la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu, amani na furaha iletwayo na Roho Mtakatifu.
18Kuapeuh huai thu ah Kris nasem tuh Pathian kipahpih leh, mihing phatin a om nak ahi.
18Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
19Huchiin, kituahna ding leh, kihihhat tuahna ding thilte i delh ding uh.
19Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana.
20Na bangkhat nek jiakin Pathian nasep hihse ken. Thil tengteng a siangthou ngei a, himahleh a bangkhat nekin mi a hihpuk leh a nepa adingin gilou ahi.
20Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. Vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.
21Na unau pukna ding a hih leh, sa nek louhte, uain dawn louhte, thil bangpeuh hih louh a hoih ahi.
21Afadhali kuacha kula nyama, kunywa divai, au kufanya chochote ambacho chaweza kumsababisha ndugu yako aanguke.
22Ginna na neih Pathian maah nangmah kia theihin nei maiin. Amah hoih sak lama siamlouh kitangsak lou tuh a hampha hi.Ahihhangin, ginglelpan a nek leh, ginnaa a nek louh jiakin, siamlouh a tang ahi; bangpeuh ginna loua hih jaw khelhna ahi ngala.
22Basi, shikilia unachoamini kati yako na Mungu wako. Heri mtu yule ambaye, katika kujiamulia la kufanya, haipingi dhamiri yake.
23Ahihhangin, ginglelpan a nek leh, ginnaa a nek louh jiakin, siamlouh a tang ahi; bangpeuh ginna loua hih jaw khelhna ahi ngala.
23Lakini mtu anayeona shaka juu ya chakula anachokula, anahukumiwa kama akila, kwa sababu msimamo wa kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi.