1Huchiin, ei mi hatten, eimah kipahna zong louin, mi hatloute hatlouhnate i thuak pih ding uh ahi.
1Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale walio dhaifu wayakabili matatizo yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu.
2Eimah innvengte hihphatuamna dingin a hoihna ding un kipahsak i tum chiat ding uh.
2Kila mmoja wetu anapaswa kumpendeza jirani yake kwa wema ili huyo apate kujijenga katika imani.
3Kris in leng amah kipahna a zong ngal keia; Nang hontaite taina tuh ka tungah a tuta, chih gelh bangin ahi jaw.
3Maana Kristo hakujipendelea mwenyewe; ila alikuwa kama yasemavyo Maandiko: "Kashfa zote walizokutolea wewe zimenipata mimi."
4Laisiangthoua kuhkalna leh khamuanna mua lametna i neih theihna ding un, nidanglaia gelh peuhmahte eite hon hilhna dinga gelh ahi ngal ua.
4Maana yote yalioandikwa yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi ili kutokana na saburi na faraja tupewayo na Maandiko hayo Matakatifu tupate kuwa na matumaini.
5Huchiin, kuhkalna leh khamuanna Pathianin, Kris Jesu gen bangin, lungsim munkhat puin honom sak hen:
5Mungu aliye msingi wa saburi na faraja yote, awajalieni ninyi kuwa na msimamo mmoja kufuatana na mfano wake Kristo Yesu,
6I Toupa Jesu Kris Pathian leh a Pa, lungsim munkhat leh kithutuaka i pahtawi theihna dingin.
6ili ninyi nyote, kwa nia moja na sauti moja, mumtukuze Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
7Huaijiakin, Krisin Pathian hihthupina dia a honkipahpih mahbangin, kipahpihtuah chiat un.
7Basi, karibishaneni kwa ajili ya utukufu wa Mungu kama naye Kristo alivyowakaribisheni.
8Huai ahi ka gen; pipute kianga thuchiamte hihkip dingin Kris tuh Pathian thutakdan theihsakna dingin zeksumte nasempa a honghita chih:
8Maana, nawaambieni Kristo aliwatumikia Wayahudi apate kuonyesha uaminifu wa Mungu, na zile ahadi Mungu alizowapa babu zetu zipate kutimia;
9A hehpihna jiaka Jentelten Pathian a pahtawina ding un, Huaijiakin, Jentelte lakah kon phat dia, na min phatawina dingin la ka sa ding, chih gelh bangin.
9ili nao watu wa mataifa mengine wapate kumtukuza Mungu kwa sababu ya huruma yake. Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Kwa sababu hiyo, nitakusifu miongoni mwa watu wa mataifa. Nitaziimba sifa za jina lako."
10Huan, Nou Jentel tengteng te aw, a mite toh kipak un, a chi nawna.
10Tena Maandiko yasema: "Furahini, enyi watu wa mataifa; furahini pamoja na watu wake."
11Huan, Nou Jentel tengteng te aw, Toupa phat un, mi tengtengin leng amah phat uhen, a chi nawna.
11Na tena: "Enyi mataifa yote, msifuni Bwana; enyi watu wote, msifuni."
12Huan, Isaiin, Jesai zung jam a hongpai ding a, Jentelte tunga vaihawm dingpa; amah ah Jentelten a lametna uh a nga ding uh, leng a chi laia.
12Tena Isaya asema: "Atatokea mtu katika ukoo wa Yese, naye atawatawala watu wa mataifa; nao watamtumainia."
13Kha Siangthou thilhihtheihna jiaka lametna na hauh theihna ding un, lametna Pathian, na gin jiak un, kipahna leh kituahna chitengin honhihdim hen.
13Basi, Mungu aliye msingi wa matumaini, awajazeni furaha yote na amani kutokana na imani yenu; tumaini lenu lipate kuongezeka kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
14Huan, ka unaute aw, nou tungthu jaw, noumau mah hoihnain na dim ua, na kihasuantuah thei uh chih keimahtakin leng diktakin ka thei hi.
14Ndugu zangu, mimi binafsi nina hakika kwamba ninyi pia mmejaa wema, elimu yote, na mnaweza kushauriana ninyi kwa ninyi.
15Himahleh Pathianin a honpiak hehpihna jiakin nou hontheihpih dingin koi kalkal hiamah hangtakin ka gelh ahi,
15Lakini nimewaandikia hapa na pale katika barua hii bila woga, nipate kuwakumbusheni juu ya mambo fulani. Nimefanya hivyo kwa sababu ya neema aliyonijalia Mungu
16Jentelte laka Kris Jesu nasema ka om theihna dingin, ka Jentel piakte, Kha Siangthou hihsiangthou a hih ua, pom tak a hih theihna dingun. Pathian Tanchin Hoih lamah siampu na ka sem ahi.
16ya kuwa mtumishi wa Yesu Kristo kwa watu wa mataifa. Ni jukumu langu la kikuhani kuihubiri Habari Njema ya Mungu ili watu wa mataifa mengine wapate kuwa dhabihu inayokubaliwa na Mungu, dhabihu iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.
17Huchiin, Pathian na ka sep lam thu ah Kris Jesu ah kisaktheihna ding ka nei ahi.
17Kwa hiyo, nikiwa nimeungana na Kristo Yesu, naweza kujivunia huduma yangu kwa ajili ya Mungu.
18Krisin Jentelte thumang sak dingin, thugen leh thilhihin, keimah zanga a thilhihte loungal bangmah ka gen ngam ngal keia.
18Sithubutu kusema kitu kingine chochote isipokuwa tu kile ambacho Kristo Yesu amekifanya kwa kunitumia mimi ili watu wa mataifa wapate kutii. Amefanya hivyo kwa maneno na vitendo,
19Chiamtehna te leh thillamdang te thilhihtheihna ah, Kha Siangthou thilhihtheihnaah Jerusalem khua leh a kim gam akipanin, Illirikam gam phain, Kris Tanchin Hoih gam chihah ka hilh kimta; keimah honzanga a thilhih tuh huchitel ahi.
19kwa nguvu ya miujiza na maajabu, na kwa nguvu ya Roho wa Mungu. Basi, kwa kusafiri kila mahali, tangu kule Yerusalemu mpaka Iluriko, nimeihubiri kikamilifu Habari Njema ya Kristo.
20Ahi, mi dang suangphum tunga lem ka hih louhna dingin, Tanchin hoih Kris min lohkhitna muna gen louin.
20Nia yangu imekuwa daima kuihubiri Habari Njema popote pale ambapo jina la Kristo halijapata kusikika, nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.
21A tanchin gen ngei nailouhnaten a mu ding ua, za ngei nailouten a za ding uh, chih gelh bangin, gen ka tum jaw ahi.
21Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Watu wote ambao hawakuambiwa habari zote wataona; nao wale ambao hawajapata kusikia, wataelewa."
22Huaijiak takin ahi, na kiang ua hong ka kikhel sak naknak.
22Kwa sababu hiyo nilizuiwa mara nyingi kuja kwenu.
23Tuin bel hiai gam kim khawngah sepna mun himhim ka neita keia, kum tampi na kiang ua hong utin leng ka omta a;
23Lakini maadam sasa nimemaliza kazi yangu pande hizi, na kwa kuwa kwa miaka mingi nimekuwa na nia kubwa ya kuja kwenu,
24Spain gama ka hoh chiangin ka pai kawma nou honmuh ka kilamen ngala, noumau honkithuahpih kham photin, tua lama ka hohna ah nouten non vakhak suk uh leng ka lamen ahi.
24natumaini kufanya hivyo sasa. Ningependa kuwaoneni nikiwa safarini kwenda Spania na kupata msaada wenu kwa safari hiyo baada ya kufurahia kuwa kwa muda pamoja nanyi.
25Tuin bel, mi siangthoute nasem dingin Jerusalem khua ah ka hoh tadih dinga.
25Lakini, kwa sasa nakwenda kuwahudumia watu wa Mungu kule Yerusalem.
26Masidonia leh Akaia gama miten lungdamtakin Jerusalem khuaa mi siangthoute laka gentheite adin sum a tuak chiat ta ngal ua.
26Maana makanisa ya Makedonia na Akaya yemeamua kutoka mchango wao kuwasaidia watu wa Mungu walio maskini huko Yerusalem.
27Ahi, lungdam takin ahih ua ahi, a lak uah leng a ba gige him uhi; Jentelten a kha lam thilte uh a kikoppih ngal un, khovel lam thilin amaute taksap awng a huksak sam uh a kiphamoh him ahi.
27Wao wenyewe wameamua kufanya hivyo; lakini, kwa kweli, hilo ni jukumu lao kwa hao. Maana, ikiwa watu wa mataifa mengine wameshiriki baraka za kiroho za Wayahudi, wanapaswa nao pia kuwahudumia Wayahudi katika mahitaji yao ya kidunia.
28Huaijiakin, huai tuh ka hiha, gah leng amaute dik taka ka muhsak nungin, noute hontawnin, Spain gamah ka pai jel ding.
28Nitakapokwisha tekeleza kazi hiyo na kuwakabidhi mchango huo uliokusanywa kwa ajili yao, nitawatembeleeni ninyi nikiwa safarini kwenda Spania.
29Huan, na kiang ua ka hong chiangin, Kris vualjawlna kim puin ka hong ding chih ka thei hi.
29Najua ya kuwa nikija kwenu nitawaletea wingi wa baraka za Kristo.
30Unaute aw, Pathian kianga non thum sakna uah, honthum pih teitei dingin Toupa Jesu Kris leh Kha Siangthou itna in nget petmahin ka honngen ahi;
30Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa ajili ya upendo uletwao na Roho, mniunge mkono kwa kuniombea kwa Mungu.
31Juda gama gingloute laka ka bit theihna ding leh, Jerusalem khua a dia huhna ka tawi misiangthoute kipahna lam tak a hihtheihna dingin.
31Ombeni nipate kutoka salama miongoni mwa wale wasioamini walioko Uyahudi, nayo huduma yangu huko Yerusalem ipate kukubaliwa na watu wa Mungu walioko huko.
32Pathian hoihsak banga nuamtaka na kiang ua ka honga, i halh khawm vek theihna dingin.Lemna Pathian na vek ua kiangah om hen. Amen.
32Hivyo, Mungu akipenda, nitaweza kuja kwenu na moyo wa furaha, nikapumzike pamoja nanyi.
33Lemna Pathian na vek ua kiangah om hen. Amen.
33Mungu aliye chanzo cha amani na awe nanyi nyote! Amina!