Paite

Swahili: New Testament

Romans

16

1I sanggamnu, Phoibi, Kenkriai khuaa saptuamte nasem,
1Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
2Toupa mina misiangthoute banga nana kipahpihna ding uleh, na huh uh a kiphatmohna peuha na nahuh ding un honmel theihsak ka ut ahi. Amah mahin leng mi tampi a nahuha, kei ngei leng a honhuh jel ahi.
2Mpokeeni kwa ajili ya Bwana kama iwapasavyo watu wa Mungu. Mpeni msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, maana yeye amekuwa mwema sana kwa watu wengi na kwangu pia.
3Kris Jesu-a honpanpihte Prisila leh Akuila chibai honbuk sak un.
3Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.
4Amau ka hinna adingin amau ngawng a peta ua: amau tung kiaah kipahthu ka gen kei hi, ahihhangin Jentel saptuam tengteng tungah leng, ka gen sam hi.
4Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu. Wanastahili shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia kutoka kwa makanisa yote ya watu wa mataifa mengine.
5A in ua saptuam kikhawmte leng chibai honbuk sak un aw. Ka deihtak, Epainita, Asia gama Kris gingta masapen, chibai honbuk sak un aw.
5Salamu zangu pia kwa kanisa linalokutana nyumbani kwao. Salamu zangu zimfikie rafiki yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika mkoa wa Asia kumwamini Kristo.
6Mari, nou dia semgim, chibai honbuk sak un aw.
6Nisalimieni Maria ambaye amefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
7Ka chipih leh ka hentak pih, Andronika leh Junia, chibai honbuk sak un; amau tuh sawltakte laka minthang tak ahi ua, kei sanga Krisa om masa jaw ahi uh.
7Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.
8Ampliata, Toupa a ka deihtak, chibai honbuk sak un aw.
8Salamu zangu kwa Ampliato, rafiki yangu katika kuungana na Bwana.
9Kris a I naseppih uh Urbana leh ka deihtak Stakhi chibai honbuk sak un.
9Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika utumishi wa Kristo; salamu zangu pia kwa rafiki yangu Staku.
10Kris mi tak, Apelli, chibai honbuk sak un. Aristobula inkuanpihte laka mite chibai honbuk sak un.
10Nisalimieni Apele ambaye uaminifu wake kwa Kristo umethibitishwa. Salamu zangu kwa wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
11Ka chipih, Herodion, chibai honbuk sak un. Narkissa inkuanpihte laka mi, Toupaa om, chibai honbuk sak un.
11Salamu zangu kwa Herodiana, mwananchi mwenzangu; na kwa jamaa yote ya Narkisi iliyojiunga na Bwana.
12Triphaina leh Triphosa Toupa a semgimte, chibai hon nabuk sak un aw. Deihtak Persi, Toupa a semgim mahmahsa chibai honna buk sak un.
12Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi katika utumishi wa Bwana, na rafiki yangu Persi ambaye amefanya mengi kwa ajili ya Bwana.
13Toupa a tel Rufa leh a nu, kei nu sam leng, chibai honna buk sak un.
13Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
14Asinkaraita te, Phligon te, Herma te, Patroba te, Hermi te a kiang ua unau omte toh, chibai honna buk sak un aw.
14Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
15Philologa leh Julia, Neria leh sanggamnu, Olimpa leh, a kiang ua mi siangthou om tengteng, chibai honna buk sak un.
15Nisalimieni Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olumpa, pamoja na watu wote wa Mungu walio pamoja nao.
16Tawp siangthouin chibai kibuk un. Kris saptuam pawl tengtengin chibai hon buk chiat uhi.
16Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa ishara ya upendo. Salamu kwenu kutoka kwa makanisa yote ya Kristo.
17Huan, unaute aw, thuhilhnathu noumau hilh louh lama kikhenna leh pukna siamte apan kiveng ding leh kiheisan dingin kon ngen ahi.
17Ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. Jiepusheni na watu hao,
18Huchibang miten i Toupa Kris na a sem kei ua, amau gilpi na a sem jaw uhi; a kam phat uleh a kam siam un mi pilloute lungsim a khem nak uhi.
18maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.
19Na omdan uh mi tengteng lakah a thangkheta ngala. Huaijiakin noumau tungthu ah ka kipak ahi; a hihhangin, hoih lamah na pil ua, gilou lamah na pil louh uh ka deih ahi.
19Kila mtu amesikia juu ya utii wenu na hivyo mmekuwa sababu ya furaha yangu. Nawatakeni muwe na hekima katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya.
20Huan, lemna Pathianin na khepek nuai uah Setan a honsik den sak zok ding ahi. I Toupa Jesu Kris hehpihna na kiang uah om heh.
20Naye Mungu aliye chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
21Ka naseppih Timothi leh ka chipih Lusia te, Jason te, Sosipater te khawngin chibai a honbuk uhi.
21Timotheo, mfanyakazi mwenzangu, anawasalimu. Hali kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu.
22Kei, Tertia, hiai lai gelhin, Toupa minin chibai ka honbuk ahi.
22Nami Tertio, ninayeandika barua hii nawasalimuni katika Bwana.
23Ka tunnapa Gaia leh, saptuam tengteng in chibai a honbuk uhi. Huaia sum kempa Erata leh, unaupa Kuartain chibai a honbuk uhi.
23Gayo, mwenyeji wangu, pamoja na kanisa lote linalokutana kwake, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu.
24I Toupa Jesu Kris hehpihna na vek ua kiangah om hen. Amen.
24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina.
25Tuin, Amah, ka Tanchinhoih gen bang leh thuguk kilakna bangbanga Jesu Kris ka tangkoupih banga noute honhihhatthei-pa, -huai thuguk tuh tanglai sawtpi mahmah sung selguka na om himahleh.
25Basi, sasa na tumsifu Mungu! Yeye anaweza kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya ujumbe wa Yesu Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita.
26Tun bel ginna thumanna piangsak dingin jawlnei laibute zanga nam tengteng kianga theihsak leh tangtawn Pathian thupiak bangin taklatin a hongomta hiPilna Pathian kiang kia ah, Jesu Kris jiaka, thupina tangtawn dongin om hen! Amen.
26Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii.
27Pilna Pathian kiang kia ah, Jesu Kris jiaka, thupina tangtawn dongin om hen! Amen.
27Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina.