Paite

Swahili: New Testament

Titus

2

1Nang zaw thuhilhna hoih toh kituak thu gen in.
1Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
2Putekte tuh kidek thei, zahtakhuai, lungsim hoihtak, ginna leh itna leh kuhkalna a diktak hi ding in hasuan in.
2Waambie wazee kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa kuwa timamu katika imani yao, upendo na uvumilivu.
3pitekte leng huchimahbang in, siangthouna toh kimeh, khoheia zahdan siam ding leh, hekhatlou, uaiin hai lou, thilhoihte zilsakte hizaw dingin hasuan in.
3Hali kadhalika waambie wanawake wazee wawe na mwenendo wa uchaji wa Mungu; wasiwe wachongezi, au watumwa wa pombe. Wanapaswa kufundisha mambo mema,
4Nungakte tuh, apasalte uh itding leh, atate uh itding leh, lungsim hoihtaka a om ding a a hilh theihan ding un,
4ili wawazoeze kina mama vijana kuwapenda waume zao na watoto,
5Nungakte tuh, a pasal uh it ding leh, a tate uh it ding leh, lungsim hoihtaka om dinga ahilh theihna ding uh.
5wawe na kiasi na safi, waangalie vizuri mambo ya nyumbani, na wawatii waume zao, ili ujumbe wa Mungu usije ukadharauliwa.
6Huchibangmah in, tangvante tuh lungsim hohtak pu ding in hasuan in.
6Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.
7Thil bangkim a thil hoih hih lam a zuih ding a ki hihlang in: thuginpi a siatna omlou, hoihna tak dan hihlang in.
7Katika mambo yote wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo mema. Uwe mnyofu na uwe na uzito katika mafundisho yako.
8Thugen dik dan gensiat vuallouh tekhawng lehlam a pangte lak a mi na tungthu a thusia gen ding neilou a a zum theihna dingin.
8Maneno yako yasiwe na hitilafu yoyote ili adui zako waaibike wasipopata chochote kibaya cha kusema juu yetu.
9Sikhate, sel loua, apute uh thuthu a om ding leh bangkim a a kipahna ding ua om ding in hasuan in:
9Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao,
10Pathian I hondampa thuhilhna thu bangkim a kilawmsak theihna ding un, khut ommawh louin, muanhuai a na hoih tengteng hihlang zaw ding in.
10au kuiba vitu vyao. Badala yake wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni wema na waaminifu daima, ili, kwa matendo yao yote, wayapatie sifa njema mafundisho juu ya Mungu, Mwokozi wetu.
11Mitengteng kiang ah hotdamna hongtung in Pathian hehpihna a hong tungta ngal a;
11Maana neema ya Mungu imedhihirishwa kwa ajili ya wokovu wa watu wote.
12Pathian limsaklouhna leh khovel duhgawlna khawng tawpsan in, tulai khovel ah kidek leh diktattak leh Pathian limsak in I om ding chih theihsak in;
12Neema hiyo yatufunza kuachana na uovu wote na tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa,
13lametna kipahhuai- i Pathian thupi tak Hondampa Jesu Kris thupina kilakna tuh ngak in;
13tukiwa tunangojea siku ile ya heri tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa Mungu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
14Aman tuh tatlekna tengteng lak a kipan in a hontat theihna dingin leh, chi tel tuam, thilhoih hih a phatuam ngai, amaha dinga a hih siangthou theihna dingin, I sik in a kipeta hi.Thunei takin huaithute tuh hilh inla, hasuan inla, taihilh in. Kuamah in nang hon musit kei uhen.
14Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote na kutufanya watu safi walio wake yeye mwenyewe, watu walio na hamu ya kutenda mema.
15Thunei takin huaithute tuh hilh inla, hasuan inla, taihilh in. Kuamah in nang hon musit kei uhen.
15Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau.