Paite

Swahili: New Testament

Titus

1

1Paula, Pathian sikha leh Jesu Kris sawltak, Pathian telte phatuamsak ding- ginna leh Pathian limsakna toh kithuah theihna leh
1Mimi Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo naandika. Mimi nimechaguliwa kuijenga imani ya wateule wa Mungu na kuwaongoza waufahamu ukweli wa dini yetu,
2khantawna hinna lametna ah; huai khantawn hinna tuh Pathian zuaugen theilouhin khovel omma in achiama;
2ambayo msingi wake ni tumaini la kupata uzima wa milele. Mungu ambaye hasemi uongo, alituahidia uzima huo kabla ya mwanzo wa nyakati,
3himahleh, amah huntakah athu ah thugenna zangin a hihlangta, huai thugenna thugenna tuh Pathian I Hondampa tupiak bangzel a kepsak ka hi.
3na wakati ufaao ulipowadia, akaudhihirisha katika ujumbe wake. Mimi nilikabidhiwa ujumbe huo nuutangaze kufuatana na amri ya Mungu, Mwokozi wetu.
4Tita, vantang ginna a ka ta taktak kiangah: Pathian leh Kris Jesu I Hondampa kianga kipan hehpihna leh lemna om hen.
4Ninakuandikia wewe Tito, mwanangu wa kweli katika imani tunayoshiriki. Nakutakia neema na amani kutoka kwa Mungu Baba, na kutoka kwa Kristo Yesu, Mkombozi wetu.
5Hiai ziakin ahi huai Kret tuikulha nang kon nutsiah, thil hihzoh louhte na hihzoh theihna ding leh, thu ka hon piak banga kho tenga upate na seh theihna dingin;
5Nilikuacha Krete ili urekebishe yale mambo ambayo hayakuwa yamekamilika bado, na kuwateua wazee wa kanisa katika kila mji. Kumbuka maagizo yangu:
6kuapeuh gensiatbei, Ji khat nei, tate Pathian gingta, nopsak bawlluatna lam sang a gensiat loh lou, dan banglou a omlou, nei ahih peuhmah uleh.
6mzee wa kanisa anapaswa kuwa mtu asiye na hatia; aliye na mke mmoja tu, na watoto wake wanapaswa kuwa waumini, wasiojulikana kuwa wakorofi au wakaidi.
7Saptuam heutu tuh Pathian sum kempa ahih ziakin gensiatbei ahih ding ahi; migenhak, lunggam, uaiin khamhat, mivuakhat, punna nin a huaiham mi hiding hilou ahi;
7Maana kwa vile kiongozi wa kanisa ni mkurugenzi wa kazi ya Mungu, anapaswa kuwa mtu asiye na hatia. Asiwe mwenye majivuno, mwepesi wa hasira, mlevi, mkorofi au mchoyo.
8mi kipahpih dan siam, hoihlam deih, lungsim diktak, midiktat, misiangthou, kidekthei mi hizaw ding ahi;
8Anapaswa kuwa mkarimu na anayependa mambo mema. Anapaswa kuwa mtu mtaratibu, mwadilifu, mtakatifu na mwenye nidhamu.
9thuhilhna diktak lamah leng mi ahasot theihna ding leh, selhatmite siamlouh atansak theihna ding in thuhilhna bangzel thu muanhuai tuh lenkip mi ahi nawn lai ding ahi.
9Ni lazima ashike kikamilifu ujumbe ule wa kuaminika kama unavyofundishwa. Ndivyo atakavyoweza kuwatia wengine moyo kwa mafundisho ya kweli na kuyafichua makosa ya wale wanaoyapinga mafundisho hayo.
10Dan banglou a om, thu genmawkmawkte leh ki khemte mi tampi a om ngal ua, zeksumte lak a mi ahi deuh tuam uhi;
10Maana, wako watu wengi, hasa wale walioongoka kutoka dini ya Kiyahudi, ambao ni wakaidi, wanaowapotosha wengine kwa upumbavu wao.
11huaite kam tuh humsak ding ahi, punna niin deih ziak a thuhilhlouh ding hilhin, mite a inkuankuan uh a tokgawp uhi.
11Lazima kukomesha maneno yao, kwani wanavuruga jumuiya nzima kwa kufundisha mambo ambayo hawapaswi kufundisha; wanafanya hivyo kwa nia mbaya ya kupata faida ya fedha.
12Amaulaka mi amau Jawlnei khat in houh, Kret tuikulh a mitetuh zuaitheite, gamsa giloute, thadah, anhaite ahi uh, chi'n a gen hi.
12Hata mmoja wa manabii wao, ambaye naye pia ni Mkrete, alisema: "Wakrete, husema uongo daima; ni kama wanyama wabaya, walafi na wavivu!"
13Huai thugen tuh adik ahi. Huaziakin naktakin taihilh in, ginna a adik theihna ding un.
13Naye alitoboa ukweli kwa sababu hiyo, unapaswa kuwakaripia vikali, ili wawe na imani kamilifu.
14Judate tangthu khawng leh thutak nungngnatsan nak a thupiak limsakloute,
14Wasiendelee kushikilia hadithi tupu za Kiyahudi na maagizo ya kibinadamu yanayozuka kwa watu walioukataa ukweli.
15Misiangthoute ading in bangkim a siangthou hi; himahleh minin leh gingloute adingin siangthou himhim a omkei hi, alungsim uh a sia lehpha theihna him uh leng a nin ta hi.Pathian ithei, chi in, apang ua, himahleh, kih huaite, thumangloute, thilhoih peuhmah hihlam a Pathian deihlouh lamte ahi ua, a thilhih un a pampaih nak ngal ua.
15Kila kitu ni safi kwa watu walio safi; lakini hakuna chochote kilicho safi kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, maana dhamiri na akili zao zimechafuliwa.
16Pathian ithei, chi in, apang ua, himahleh, kih huaite, thumangloute, thilhoih peuhmah hihlam a Pathian deihlouh lamte ahi ua, a thilhih un a pampaih nak ngal ua.
16Watu kama hao hujidai kwamba wanamjua Mungu, lakini kwa matendo yao humkana. Ni watu wa kuchukiza mno na wakaidi, hawafai kwa jambo lolote jema.