Paite

Swahili: New Testament

2 Timothy

4

1Pathian muh leh, mihing leh misite ngaihtuah dingpa Kris Jesu muh in, akilakna leh a gam lou in, phatuamngaitakin ka hon theisak ahi;
1Nakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu atakayewahukumu watu walio hai na wafu, na kwa sababu anakuja kutawala akiwa Mfalme:
2Thutuh gen in; ahun ah bang, ahunlou ah bang leng pangzel in; thuakzou taka thuhilh kawmin a siamlouhdan uh theisak inla, taihilh inla, hasuan in,
2hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni wakati wa kufaa au wakati usiofaa), karipia, onya na himiza watu ukiwafundisha kwa uvumilivu wote.
3Thuhilhna dik a ngaihkhiak ngaplouh hun uh hongtung ding ahi ngal a; abilte uh a zau ziakin amau deihlam bangin heutute a kiang uah a khawm zaw ding ua:
3Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia.
4abilte uh thutak lamah a ngawngsak ding ua, tangthu lam naih in a pial ta ding uhi.
4Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.
5Nang zaw bangkim ah pilvang in, gimthuak inla, Tanchin Hoih genna lam na sem in nasepna pen tuh hih tangtung in.
5Wewe, lakini, uwe macho katika kila hali; vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu utumishi wako.
6Kei zaw tu in leng luikhiak in ka om lellel ngal a, ka pawt hun a tungta hi.
6Kwa upande wangu mimi, niko karibu kabisa kutolewa dhabihu na wakati wa kufariki kwangu umefika.
7Douna hoih tuh ka dou khinta, ki taitehna tuh ka tai khinta, ginna tuh ka lenkip paisuak ta.
7Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.
8Tunahzaw diktatna lallukhu keia ding in koih in a omta, huaituh Toupa vaihawmpa diktat in huaini chiah kei a honpe ding; kei kiang kia hilou in, a kilakna it peuhte kiang ah leng.
8Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana Hakimu wa haki, atanipa mimi Siku ile na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake.
9Kintakin ka kiang ah hongpai teitei in; Dema in tulai khawvel a it ziakin a hon paisan a,
9Fanya bidii kuja kwangu karibuni.
10Thessalonika khua ah a paita ngal a; Krisen tuh Galatia gamah a paita hi, Tita tuh Dalmatia gamah a paita hi.
10Dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia, na Tito amekwenda Dalmatia.
11Luke kia ka kiang ah a om hi. Mark chial inla, honpi in, amah tuh nasepna lam ah keia ding in a phatuam ngala.
11Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu.
12Taikika zaw Ephesa khua ah ka sawlta hi.
12Nilimtuma Tukiko kule Efeso.
13Nahongpai chiang in Troasi khua a Karpa kiang a puanak tual, huai ka nutsiat, laibute khawng toh hon tawi in, savun lai mahmah hon tawi in.
13Utakapokuja niletee koti langu nililoacha kwa Karpo kule Troa; niletee pia vile vitabu, na hasa vile vilivyotengenezwa kwa ngozi.
14Aleksandar, dal sun siampa, ka tungah a gilou mahmah hi.
14Yule sonara aitwaye Aleksanda amenitendea maovu mengi; Bwana atamlipa kufuatana na hayo matendo yake.
15Toupan a thilhih bangzelin a thuk ding; amah lakah nang leng pilvang in, ithu a dou mahmah ngala.
15Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.
16Ka siamna thu ka gen masak pen in kuamah himhim in ahon panpih kei ua, a hon zuaisan vek zawta uhi; amohtuh pua in om tuan khawldah uhen.
16Wakati nilipojitetea kwa mara ya kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu; wote waliniacha. Mungu asiwahesabie kosa hilo!
17Tanchinhoih keimah ziaka hilh kim a a om theihna ding leh, Jentelte tengteng in a zak theihna ding un, Toupan hon-guma a hon hihhat zawta hi; huan, Humpinelkai kam a kipan in suahtaksak in ka na omta ahi.
17Lakini, Bwana alikaa pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza ujumbe wote, watu wa mataifa wausikie; tena nikaokolewa katika hukumu ya kifo kama kinywani mwa simba.
18Toupan tuh gitlouhna tengteng lak a kipan in a hon suakta sak dia, a vangam a bittak in a hon tun ding; Amah kiang ah khantawn a thupina om hen. Amen
18Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika Utawala wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina.
19Prisla leh Akuila, Onesifora inkuanpihtetoh, chibai hon buksak in.
19Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.
20Erasta tuh Korinth khua ah a om gige a, Trofima bel Melita khua ah damlou in ka nuseta hi.
20Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.
21Phalbi ma in hongpai teitei in, Iubala te khawng, Puden te khawng Lina te khawng, Khlodia te khawng, unau tengteng in chibai a hon buk uhi.Toupa tuh na kha kiang ah om hen. Hehpihna na kiang ah om hen. Amen.
21Fanya bidii kuja kabla ya majira ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; vilevile ndugu wengine wote.
22Toupa tuh na kha kiang ah om hen. Hehpihna na kiang ah om hen. Amen.
22Bwana awe nawe rohoni mwako. Nawatakieni nyote neema.