1Huan, hiai theiin, ni nanung lamahte hun haksa pipi a hong om ding hi.
1Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.
2Mi amau ki itte bang, dangka deihta te bang, kiuangsakte bang, kisatheite bang. Pathian gensete bang, nulehpa thu mangloute bang, kipahna dan theiloute bang, siangthouloute bang,
2watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
3itna pianpih neiloute bang, buaina bawlte bang, hekte bang, kidektheiloute bang, mi huhamte bang, hoih deih hetloute bang,
3watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;
4zuautatte bang, kingaisang bang, thunung khualloute bang, Pathian itsang a amau kipahna kia itzawte bang hiding ahingal ua;
4watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
5Pathian limsak batna anei ding ua, himahleh a thilhihtheihna a taksang kei ding uh; tuabangte nungngatsan in.
5Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.
6Huchibangte lak a mituh, inn peuh a lut a gitloh gikpua numei hai deuhte sala manman te ahingal ua, huchibang numeite tuh duhgawlna chichih a pimang,
6Baadhi yao huenda katika nyumba za watu na huwateka wanawake dhaifu waliolemewa mizigo ya dhambi na ambao wanaongozwa na tamaa za kila aina;
7zilsam napia, thutak theipha ngeiloute ahi uhi.
7wanawake ambao wanajaribu daima kujifunza lakini hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli.
8Huan, Janni leh Jambri in Mosi adou bang un, huaimiten leng thutak tuh adou gige uhi; lungsim sesa ginna lama Pathian deihlouh mi ahi uhi.
8Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre walivyompinga Mose.
9Himahleh huai val ahih kei ding uhi, ahaidan uh mitengteng kiang a hong kilang ding ahingala, Janni leh Jambri haidan a hong kitheih mahbang in.
9Lakini hawataweza kuendelea zaidi kwa maana upumbavu wao utaonekana wazi kwa wote. Ndivyo ilivyokuwa kwa akina Yane na Yambre.
10Nangzaw ka hon thuhilhte, ka omdante, ka thiltupte, ka ginnate, ka thuakzohnate, ka itna te, ka kuhkalnate,
10Wewe lakini, umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu, subira yangu,
11hon sawina uh, hon gimbawlna uh na thei mahmah a; Antiok khua khawng a, Ikoniam khua khawng a, Listra khua khawng bang a ka tung a thiltung leh sawina ka thuaknate khawng; huaitengteng ah tuh Toupan a hon honkheta ngal a;
11udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Lustra. Nilivumilia udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.
12ahi, kuapeuh Kris Jesu Pathian limsaka, om tum photphot in sawina khawng a thuak sam ding uhi.
12Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
13Migilou leh mi khemhatte tuh, mi khem leh khema omin a gilou semsem ding uhi.
13Watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.
14Himahleh nangzaw na zilsa leh kiptak a na gintaksa thutak a om gige in, huaituh kua a kipan a na zil ahia chih thei gige in.
14Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.
15Huan, Kris Jesu ginna ziak a Hotdamna mu ding a nang hon hih pil thei Laisiangthoute naupang nou a kipan theikhin na hi chih thei gige in.
15Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.
16Laisiangthou peuhmah Pathian hatkhuma piak ahi a; huaziakin, thuhilhna ding bang, taihilhna ding bang, bawlhoihna ding bang, diktatna lam a kichilna ding bang in a phatuam hi;huchia Pathian mi tuh nahoih chiteng sem ding a kimtak a kivana a kim theihna ding in.
16Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,
17huchia Pathian mi tuh nahoih chiteng sem ding a kimtak a kivana a kim theihna ding in.
17ili mtu anayemtumikia Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema.