1A o duchownych darach, bracia! nie chcę, abyście wiedzieć nie mieli.
1Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:
2Wiecie, iż gdyście poganami byli, do bałwanów niemych, jako was wodzono, daliście się prowadzić.
2Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu tupu.
3Przetoż oznajmuję wam, iż nikt przez Ducha Bożego mówiąc, nie rzecze Jezusa być przeklęstwem; i nikt nie może nazwać Jezusa Panem, tylko przez Ducha Świętego.
3Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: "Yesu alaaniwe!" Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: "Yesu ni Bwana," asipoongozwa na Roho Mtakatifu.
4A różneć są dary, ale tenże Duch.
4Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.
5I różne są posługi, ale tenże Pan.
5Kuna namna nyingi za kutumikia, lakini Bwana anayetumikiwa ni mmoja.
6I różne są sprawy, ale tenże Bóg, który sprawuje wszystko we wszystkich.
6Kuna namna mbalimbali za kufanya kazi ya huduma, lakini Mungu ni mmoja, anayewezesha kazi zote katika wote.
7A każdemu bywa dane objawienie Ducha ku pożytkowi.
7Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.
8Albowiem jednemu przez Ducha bywa dana mowa mądrości, a drugiemu mowa umiejętności przez tegoż Ducha;
8Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, na mwingine ujumbe wa elimu apendavyo Roho huyohuyo.
9A drugiemu wiara w tymże Duchu, a drugiemu dar uzdrawiania w tymże Duchu, a drugiemu czynienie cudów, a drugiemu proroctwo, a drugiemu rozeznanie duchów.
9Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;
10A drugiemu rozmaite języki, a drugiemu wykładanie języków.
10humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua.
11A to wszystko sprawuje jeden a tenże Duch, udzielając z osobna każdemu, jako chce.
11Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe.
12Albowiem jako ciało jedno jest, a członków ma wiele, ale wszystkie członki ciała jednego, choć ich wiele jest, są jednym ciałem: tak i Chrystus.
12Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote--ingawaje ni vingi--hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo.
13Albowiem przez jednego Ducha my wszyscy w jedno ciało jesteśmy ochrzczeni, bądź Żydowie, bądź Grekowie, bądź niewolnicy, bądź wolni, a wszyscy napojeni jesteśmy w jednego Ducha.
13Maana sisi, tukiwa Wayahudi au watu wa mataifa mengine, watumwa au watu huru, sote tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja.
14Albowiem ciało nie jest jednym członkiem, ale wieloma.
14Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.
15Jeźliby rzekła noga: Ponieważem nie jest ręką, nie jestem z ciała; izali dlatego nie jest z ciała?
15Kama mguu ungejisemea: "Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!
16A jeźliby rzekło ucho: Ponieważem nie jest okiem, nie jestem z ciała; izali dlatego nie jest z ciała?
16Kama sikio lingejisemea: "Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!
17Jeźliż wszystko ciało jest okiem, gdzież słuch? a jeźliż wszystko słuchem, gdzież powonienie?
17Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?
18Ale teraz Bóg ułożył członki, każdy z nich z osobna w ciele, jako chciał.
18Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda.
19A jeźliby wszystkie były jednym członkiem, gdzieżby było ciało?
19Kama sehemu zote zingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
20Ale teraz, acz jest wiele członków, lecz jedno jest ciało.
20Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
21Nie może tedy rzec oko ręce: Nie potrzebuję ciebie, albo zaś głowa nogom: Nie potrzebuję was.
21Basi, jicho haliwezi kuuambia mkono: "Sikuhitaji wewe", wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu: "Siwahitaji ninyi."
22I owszem daleko więcej członki, które się zdadzą być najmdlejsze w ciele, potrzebne są.
22Zaidi ya hayo, inaonekana kwamba sehemu zile za mwili zinazoonekana kuwa ni dhaifu ndizo zilizo muhimu zaidi.
23A które mamy za najniepoczciwsze w ciele, tym większą poczciwość wyrządzamy, a niepoczciwe członki nasze obfitszą poczciwość mają.
23Tena, viungo vile tunavyovifikiria kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza kwa uangalifu zaidi; viungo vya mwili ambavyo havionekani kuwa vizuri sana, huhifadhiwa zaidi,
24Bo poczciwe członki nasze tego nie potrzebują; lecz Bóg tak umiarkował ciało, dawszy członkowi, któremu czci nie dostaje, obfitszą poczciwość.
24ambapo viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima zaidi kiungo kile kilichopungukiwa heshima,
25Aby nie było rozerwania w ciele, ale iżby jedne członki o drugich jednakież staranie miały.
25ili kusiweko na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane.
26A przetoż jeźliże jeden członek cierpi, cierpią z nim wszystkie członki; a jeźli bywa uczczony jeden członek, radują się z nim wszystkie członki.
26Kama kiungo kimoja kinaumia viungo vyote huumia pamoja nacho. Kiungo kimoja kikisifiwa viungo vingine vyote hufurahi pamoja nacho.
27Lecz wy jesteście ciałem Chrystusowym i członkami, każdy z osobna.
27Basi, ninyi nyote ni mwili wa Kristo; kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.
28A niektórych Bóg postanowił we zborze, najprzód Apostołów, potem proroków, po trzecie nauczycieli, potem cudotwórców, potem dary uzdrawiania, pomocników, rządców, rozmaitość języków.
28Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya, kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.
29Izali wszyscy są Apostołami? Izali wszyscy prorokami? Izali wszyscy nauczycielami? Izali wszyscy cudotwórcami?
29Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?
30Izali wszyscy mają dary uzdrawiania? Izali wszyscy językami mówią? Izali wszyscy tłumaczą?
30Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?
31Starajcie się usilnie o lepsze dary; a ja wam jeszcze zacniejszą drogę ukażę.
31Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami sasa nitawaonyesheni njia bora zaidi kuliko hizi zote.