Polish

Swahili: New Testament

1 Corinthians

14

1Naśladujcie miłości, starajcie się usilnie o dary duchowne; lecz najwięcej, abyście prorokowali.
1Jitahidini kuwa na upendo. Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho, hasa kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu.
2Albowiem kto mówi językiem obcym, nie ludziom mówi, ale Bogu; bo żaden nie słucha, lecz on duchem mówi tajemnice.
2Mwenye kunena lugha ngeni hasemi na watu bali anasema na Mungu. Yeye hunena kwa nguvu ya Roho mambo yaliyofichika.
3Ale kto prorokuje, mówi ludziom zbudowanie i napominanie, i pociechę.
3Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, husema na watu kwa ajili ya kuwajenga, kuwafariji na kuwatia moyo.
4Kto językiem obcym mówi, samego siebie buduje; ale kto prorokuje, ten zbór buduje.
4Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa.
5A chciałbym, abyście wy wszyscy językami mówili, ale abyście raczej prorokowali; albowiem większy jest ten, co prorokuje, niż ten, co językami obcymi mówi, chyba żeby tłumaczył, aby zbór brał zbudowanie.
5Basi, ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha ngeni lakini ningependelea hasa muwe na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, maana mtu mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, ni wa maana zaidi kuliko yule mwenye kusema lugha ngeni, isipokuwa tu kama yupo hapo mtu awezaye kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili kanisa lipate kujengwa.
6Teraz tedy, bracia! gdybym przyszedł do was, językami obcymi mówiąc, cóż wam pomogę, jeźlibym wam nie mówił albo przez objawienie, albo przez umiejętność, albo przez proroctwo, albo przez naukę?
6Hivyo, ndugu zangu, kama nikija kwenu na kusema nanyi kwa lugha ngeni itawafaa nini? Haitawafaa chochote, isipokuwa tu kama nitawaelezeni ufunuo wa Mungu au ujuzi fulani au ujumbe wa Mungu au mafundisho fulani.
7Wszak i rzeczy nieżywe, które dźwięk wydawają jako piszczałka albo cytra, jeźliby różnego dźwięku nie wydawały, jakoż poznane będzie, co na piszczałce, albo co na cytrze grają?
7Ndivyo ilivyo kwa vyombo visivyo na uhai vyenye kutoa sauti kama vile filimbi au kinanda. Je, mtu anawezaje kuutambua wimbo unaochezwa kama vyombo hivyo havitoi sauti waziwazi vinapopigwa?
8Albowiem jeźliby trąba niepewny głos dała, któż się do boju gotować będzie?
8La mgambo likilia bila kufuata taratibu zake, nani atajiweka tayari kwa vita?
9Także i wy, jeźlibyście językiem nie wydali mowy dobrze zrozumiałej, jakoż będzie zrozumiałe, co się mówi? albowiem będziecie tylko na wiatr mówić.
9Hali kadhalika na ninyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani ataweza kufahamu mnayosema? Maneno yenu yatapotea hewani.
10Tak wiele, jako słyszymy, jest różnych głosów na świecie, a nic nie jest bez głosu.
10Zipo lugha mbalimbali ulimwenguni, na hakuna hata mojawapo isiyo na maana.
11Jeźlibym tedy nie znał mocy głosu, będę temu, który mówi, cudzoziemcem; a ten, co mówi, będzie mi także cudzoziemcem.
11Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu huyo naye pia ni mgeni kwangu.
12Także i wy, ponieważ się usilnie staracie o dary duchowne, szukajcież tego, abyście obfitowali ku zbudowaniu zboru.
12Hali kadhalika na ninyi, maadam mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia vile vinavyosaidia kulijenga kanisa.
13Dlatego kto mówi obcym językiem, niech się modli, aby mógł tłumaczyć.
13Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.
14Bo jeźlibym się modlił obcym językiem, modlić się będzie mój duch; ale rozum mój jest bez pożytku.
14Maana, nikisali kwa lugha ngeni roho yangu ndiyo inayosali, lakini akili yangu hubaki bure.
15Cóż tedy jest? Będę się modlił duchem, będę się też modlił i wyrozumieniem; będę śpiewał duchem, będę też śpiewał i wyrozumieniem.
15Nifanye nini, basi? Nitasali kwa roho yangu, nitasali pia kwa akili yangu; nitaimba kwa roho yangu, nitaimba pia kwa akili yangu.
16Bo jeźlibyś błogosławił duchem, jakoż ten, który jest z pocztu prostaków, na twoje dziękowanie rzecze Amen, ponieważ nie wie, co mówisz?
16Ukimsifu Mungu kwa roho yako tu, atawezaje mtu wa kawaida aliye katika mkutano kuitikia sala yako ya shukrani kwa kusema: "Amina," kama haelewi unachosema?
17Bo choć ty wprawdzie dobrze dziękujesz, ale się drugi nie buduje.
17Sala yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia.
18Dziękuję Bogu mojemu, iż więcej, niż wy wszyscy, językami mówię.
18Namshukuru Mungu kwamba mimi nasema kwa lugha ngeni zaidi kuliko ninyi nyote.
19A wszakże we zborze wolę pięć słów zrozumiale przemówić, abym i drugich nauczył, niżeli dziesięć tysięcy słów językiem obcym.
19Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni.
20Bracia! nie bądźcie dziećmi wyrozumieniem, ale bądźcie dziećmi złością, a wyrozumieniem dorosłymi bądźcie.
20Ndugu, msiwe kama watoto katika fikira zenu. Kuhusu uovu muwe kama watoto wachanga lakini katika kufikiri ni lazima muwe kama watu waliokomaa.
21W zakonie napisano: Iż obcemi językami i obcemi wargami mówić będę ludowi temu; a przecię mnie i tak nie usłuchają, mówi Pan.
21Imeandikwa katika Sheria: "Bwana asema hivi: Kwa njia ya wenye kunena lugha ngeni, na kwa midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza."
22Przetoż języki są za cud, nie tym, którzy wierzą, ale niewiernym; a proroctwo nie niewiernym, ale wierzącym.
22Hivyo basi, kipaji cha kusema lugha ngeni ni ishara, si kwa ajili ya watu wenye imani, bali kwa ajili ya wale wasioamini; lakini kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni kwa ajili ya wale wanaoamini na si kwa ajili ya wasioamini.
23Jeźliby się tedy wszystek zbór na jedno miejsce zeszedł, a wszyscy by językami obcemi mówili, a weszliby tam prostacy albo niewierni, izali nie rzeką, że szalejecie?
23Basi, kanisa lote linapokutana pamoja, na wote wakaanza kusema kwa lugha ngeni, kama wakija watu wa kawaida au wasioamini, je, hawatasema kwamba ninyi mna wazimu?
24Ale jeźliby wszyscy prorokowali, a wszedłby który niewierny albo prostak, od wszystkich przekonany i od wszystkich sądzony bywa.
24Lakini, wote wakiwa wanautangaza ujumbe wa Mungu, akija mtu wa kawaida au asiyeamini, yote atakayosikia yatamhakikishia ubaya wake mwenyewe; yote atakayosikia yatamhukumu.
25A tak skrytości serca tego bywają objawione, a on upadłszy na oblicze, pokłonili się Bogu, wyznawając, że Bóg jest prawdziwie w was.
25Siri za moyo wake zitafichuliwa, naye atapiga magoti na kumwabudu Mungu akisema: "Kweli Mungu yupo pamoja nanyi."
26Cóż tedy jest, bracia? Gdy się schodzicie, każdy z was ma psalm, ma naukę, ma język, ma objawienie, ma tłumaczenie; wszystko to niech się dzieje ku zbudowaniu.
26Ndugu, tuseme nini, basi? Mnapokutana pamoja, mmoja aimbe wimbo, mwingine atoe mafundisho, mwingine awe na ufunuo kutoka kwa Mungu, mwingine atumie kipaji cha kusema kwa lugha ngeni na mwingine afafanue yanayosemwa. Yote yawe kwa ajili ya kulijenga kanisa.
27Jeźli kto językiem mówi, niech to będzie po dwóch albo najwięcej po trzech, i to na przemiany, a jeden niech tłumaczy.
27Wakiwepo watu wenye vipaji vya kusema kwa lugha ngeni, waseme wawili au watatu, si zaidi, tena mmojammoja; na aweko mtu wa kufafanua yanayosemwa.
28A jeźliby tłumacza nie było niechże we zborze milczy ten, który obcym językiem mówi, a niech mówi sobie i Bogu.
28Lakini kama hakuna awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu.
29Ale prorocy niech mówią dwaj albo trzej, a drudzy niech rozsądzą.
29Kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao.
30Jeźliby też inszemu siedzącemu co było objawione, on pierwszy niechaj milczy.
30Ikiwa mmoja anaposema mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.
31Bo możecie wszyscy jeden po drugim prorokować, aby się wszyscy uczyli i wszyscy pocieszeni byli.
31Maana nyote mwaweza kutangaza ujumbe wa Mungu, mmoja baada ya mwingine, ili nyote mpate kujifunza na kutiwa moyo.
32I duchy proroków są poddane prorokom.
32Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
33Albowiem Bóg nie jest powodem nieporządku, ale pokoju, jako i we wszystkich zborach świętych.
33Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani.
34Niewiasty wasze niech milczą we zborach; albowiem nie pozwolono im, aby mówiły, ale aby poddanemi były, jako i zakon mówi.
34Kama ilivyo desturi katika makanisa yote ya watu wa Mungu, wanawake wakae kimya katika mikutano ya waumini. Hawana ruhusa kusema; ila wawe watii kama isemavyo Sheria.
35A jeźli się czego nauczyć chcą, niechże w domu mężów swoich pytają, ponieważ sromota niewiastom we zborze mówić.
35Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.
36Izali od was słowo Boże wyszło? Izali tylko do was samych przyszło?
36Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu ninyi au kwamba limewajieni ninyi peke yenu?
37Izali kto zda się być prorokiem albo duchownym, niech uzna, iż te rzeczy, które wam piszę, są Paóskiem rozkazaniem.
37Kama mtu yeyote anadhani kwamba yeye ni mjumbe wa Mungu au kwamba anacho kipaji cha Roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia ninyi ni amri ya Bwana.
38A jeźli kto nie wie, niechajże nie wie.
38Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.
39A tak, bracia! starajcie się usilnie o to, abyście prorokowali, a językami obcemi mówić nie zabraniajcie.
39Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.
40Wszystko się niech dzieje przystojnie i porządnie.
40Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.