1A oznajmuję wam, bracia! Ewangieliję, którąm wam opowiedział, którąście też przyjęli i w której stoicie.
1Sasa ndugu, napenda kuwakumbusha ile Habari Njema niliyowahubirieni nanyi mkaipokea na kusimama imara ndani yake.
2Przez którą też zbawienia dostępujecie, jeźli pamiętacie, jakim sposobem opowiedziałem wam, chyba jeźliście próżno uwierzyli.
2Kwa njia yake mnaokolewa, ikiwa mnayazingatia maneno niliyowahubirieni, na kama kuamini kwenu hakukuwa bure.
3Albowiem naprzód podałem wam, com też wziął, iż Chrystus umarł za grzechy nasze według Pism;
3Mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na Maandiko Matakatifu;
4A iż był pogrzebiony, a iż zmartwychwstał dnia trzeciego według Pism.
4kwamba alizikwa, akafufuka siku ya tatu kama ilivyoandikwa;
5A iż widziany jest od Kiefasa, potem od onych dwunastu.
5kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.
6Potem widziany jest więcej niż od pięciuset braci na raz, z których wiele ich zostaje aż dotąd, a niektórzy też zasnęli.
6Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa mara moja; wengi wao wanaishi bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.
7Potem jest widziany od Jakóba, potem od wszystkich Apostołów.
7Baadaye alimtokea Yakobo kisha akawatokea mitume wote.
8A na ostatek po wszystkich ukazał się i mnie, jako poronionemu płodowi.
8Baada ya wote, akanitokea hata mimi, mimi niliyekuwa kama mtu aliyezaliwa kabla ya wakati.
9Bom ja jest najmniejszy z Apostołów, którym nie jest godzien, abym był zwany Apostołem, przeto żem prześladował zbór Boży.
9Maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la Mungu.
10Lecz łaską Bożą jestem tem, czemem jest, a łaska jego przeciwko mnie daremna nie była; alem obficiej niż oni wszyscy pracował, wszakże nie ja, ale łaska Boża, która jest ze mną.
10Lakini, kwa neema yake Mungu, nimekuwa kama nilivyo. Na neema yake kwangu haikuwa bure. Mimi nimefanya kazi kuliko wote; si mimi hasa, ila ni neema ya Mungu ifanyayo kazi pamoja nami.
11Przetoż i ja, i oni tak każemy, i takeście uwierzyli.
11Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachuhubiri, na hiki ndicho mnachoamini.
12A ponieważ się o Chrystusie każe, iż z martwych wzbudzony jest, jakoż mówią niektórzy między wami, iż zmartwychwstania nie masz?
12Sasa, maadam inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka wafu, baadhi yenu wanawezaje kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu?
13Bo jeźlić zmartwychwstania nie masz, tedyć i Chrystus nie jest wzbudzony.
13Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka;
14A jeźlić Chrystus nie jest wzbudzony, tedyć daremne kazanie nasze, daremna też wiara wasza.
14na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.
15I bylibyśmy też znalezieni fałszywymi świadkami Bożymi, iżeśmy świadczyli o Bogu, że Chrystusa wzbudził, którego nie wzbudził, jeźliże umarli nie bywają wzbudzeni.
15Zaidi ya hayo sisi tungekuwa mashahidi wa uongo mbele ya Mungu, maana tulisema kwamba Mungu alimfufua Kristo kutoka wafu na kumbe yeye hakumfufua--kama ni kweli kwamba wafu hawafufuliwi.
16Albowiem jeźliż umarli nie bywają wzbudzeni, i Chrystus nie jest wzbudzony.
16Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.
17A jeźli Chrystus nie jest wzbudzony, daremna jest wiara wasza i jeszczeście w grzechach waszych;
17Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali bado katika dhambi zenu.
18Zatem i ci poginęli, którzy zasnęli w Chrystusie.
18Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa.
19Bo jeźli tylko w tym żywocie w Chrystusie nadzieję mamy, nad wszystkich ludzi jesteśmy najnędzniejszymi.
19Kama matumaini yetu katika Kristo yanahusu tu maisha haya ya sasa, basi, sisi ni watu wa kusikitikiwa zaidi kuliko wengine wote duniani.
20Lecz teraz Chrystus z martwych wzbudzony jest i stał się pierwiastkiem tych, którzy zasnęli.
20Lakini ukweli ni kwamba Kristo amefufuliwa kutoka wafu, limbuko lao wale waliolala katika kifo.
21Bo ponieważ przez człowieka śmierć, przez człowieka też powstanie umarłych.
21Maana kama vile kifo kilivyoletwa duniani na mtu mmoja, vivyo hivyo nako kufufuka kutoka wafu kumesababishwa na mtu mmoja.
22Albowiem jako w Adamie wszyscy umierają, tak i w Chrystusie wszyscy ożywieni będą.
22Kama vile watu wote wanavyokufa kwa kujiunga na Adamu, vivyo hivyo wote watafufuliwa kwa kuungana na Kristo.
23Ale każdy w swoim rzędzie, Chrystus jako pierwiastek, a potem ci, co są Chrystusowi w przyjście jego.
23Lakini kila mmoja kwa mpango wake: Kristo kwanza, halafu wale walio wake Kristo wakati Kristo atakapokuja.
24A potem będzie koniec, gdy odda królestwo Bogu i Ojcu, gdy zniszczy wszelkie przełożeóstwo i wszelką zwierzchność, i moc.
24Baada ya hayo, mwisho utafika wakati ambapo Kristo atamkabidhi Mungu Baba Utawala, baada ya kufutilia mbali kila tawala na mamlaka na nguvu.
25Bo on musi królować, póki by nie położył wszystkich nieprzyjaciół pod nogi jego.
25Maana Kristo sharti atawale mpaka Mungu atakapowashinda adui zake na kuwaweka chini ya miguu yake.
26A ostatni nieprzyjaciel, który będzie zniszczony, jest śmierć.
26Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.
27Bo wszystkie rzeczy poddał pod nogi jego. A gdy mówi, że mu wszystkie rzeczy poddane są, jawna jest, iż oprócz tego, który mu poddał wszystkie rzeczy.
27Maana, Maandiko yasema: "Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake." Lakini, Maandiko yanaposema: "Vitu vyote vimewekwa chini ya miguu yake avitawale" ni dhahiri kwamba Mungu haingii katika kundi hilo la vitu, maana yeye ndiye anayeviweka vitu hivyo chini ya Kristo.
28A gdy mu wszystkie rzeczy poddane będą, tedyć też i sam Syn będzie poddany temu, który mu poddał wszystkie rzeczy, aby był Bóg wszystkim we wszystkim.
28Lakini vitu vyote vitakapowekwa chini ya Utawala wa Kristo, ndipo naye Mwana atakapojiweka chini ya Mungu, aliyeweka vyote chini ya Utawala wake; ili Mungu atawale juu ya vyote.
29Bo inaczej cóż uczynią ci, którzy się chrzczą nad umarłymi, jeźliż zgoła umarli nie bywają wzbudzeni? przeczże się chrzczą nad umarłymi?
29Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao?
30Przecz i my niebezpieczeóstwa podejmujemy każdej godziny?
30Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?
31Na każdy dzieó umieram przez chwałę naszę, którą mam w Chrystusie Jezusie, Panu naszym.
31Ndugu, mimi nakikabili kifo kila siku! Fahari niliyo nayo juu yenu katika kuungana na Kristo Yesu Bwana wetu inanifanya nitangaze jambo hili.
32Jeźliżem się obyczajem ludzkim z bestyjami w Efezie potykał, cóż mam za pożytek, jeźli umarli nie bywają wzbudzeni? Jedzmy i pijmy; boć jutro pomrzemy.
32Kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana kwangu na wanyama wakali hapa Efeso kungalinifaa kitu gani? Kama wafu hawafufuki, basi, "Tule na tunywe, maana kesho tutakufa."
33Nie błądźcież; złe rozmowy psują dobre obyczaje.
33Msidanganyike! Urafiki mbaya huharibu tabia njema.
34Ocućcież się ku sprawiedliwości, a nie grzeszcie; albowiem niektórzy nie mają znajomości Bożej; ku zawstydzeniu waszemu mówię.
34Amkeni! Anzeni kuishi vema, na acheni kutenda dhambi. Baadhi yenu hawamjui Mungu kabisa. Hii nawaambieni, ni aibu kubwa kwenu!
35Ale rzecze kto: Jakoż wzbudzeni bywają umarli i w jakim ciele wychodzą?
35Lakini mtu anaweza kuuliza: "Wafu watafufuliwaje? Watakuwa na mwili wa namna gani wakati watakapokuja tena?"
36O głupi! To, co ty siejesz, nie bywać ożywione, jeźliby nie umarło.
36Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.
37I co siejesz, nie siejesz ciała, które ma potem wyrość, ale gołe ziarno, jako się trafi, albo pszeniczne, albo jakiekolwiek inne.
37Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.
38Ale Bóg daje mu ciało jako chce, a każdemu nasieniu jego własne ciało.
38Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.
39Nie każde ciało jest jednakiem ciałem; ale inszeć jest ciało ludzkie, a insze ciało bydlęce, insze rybie, a insze ptasze.
39Miili ya viumbe vyote si sawa. Miili ya binadamu ni ya namna moja, ya wanyama ni ya namna nyingine, ya ndege ni ya namna nyingine na miili ya samaki pia ni ya namna nyingine.
40I są ciała niebieskie i ciała ziemskie; lecz insza jest chwała ciał niebieskich, a insza ludzkich;
40Iko miili ya mbinguni na miili ya duniani; uzuri wa miili ya mbinguni ni mwingine, na na uzuri wa miili ya duniani ni mwingine.
41Insza chwała słoóca, a insza chwała księżyca, i insza chwała gwiazd; albowiem gwiazda od gwiazdy różna jest w jasności.
41Uko uzuri wa jua, wa mwezi na wa nyota; hata nyota nazo huhitilafiana kwa uzuri.
42Takci będzie i powstanie umarłych. Bywa wsiane ziarno w skazitelności, a będzie wzbudzone w nieskazitelności.
42Ndivyo ilivyo kuhusu ufufuo wa wafu. Kama vile mbegu, mwili huzikwa ardhini ukiwa katika hali ya kuharibika, lakini hufufuliwa katika hali ya kutoharibika.
43Bywa wsiane w niesławie, a będzie wzbudzone w sławie; bywa wsiane w słabości, a będzie wzbudzone w mocy; bywa wsiane ciało cielesne, a będzie wzbudzone ciało duchowne.
43Huzikwa katika hali duni, hufufuliwa katika hali tukufu; huzikwa katika hali dhaifu, hufufuliwa ukiwa wenye nguvu.
44Jest ciało cielesne, jest też ciało duchowne.
44Unapozikwa ni mwili wa kawaida, unapofufuliwa ni mwili wa kiroho. Kuna mwili wa kawaida na kutakuwa na mwili wa kiroho.
45Takci też napisane: Stał się pierwszy człowiek Adam w duszę żywą, ale pośledni Adam w ducha ożywiającego.
45Maana Maandiko yasema: "Mtu wa kwanza, Adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;" lakini adamu wa mwisho ni Roho awapaye watu uzima.
46Wszakże nie jest pierwsze duchowne, ale cielesne, potem duchowne.
46Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida kisha ule mwili wa kiroho.
47Pierwszy człowiek z ziemi ziemski; wtóry człowiek sam Pan z nieba.
47Adamu wa kwanza aliumbwa kwa udongo, alitoka ardhini; mtu wa pili alitoka mbinguni.
48Jaki jest ten ziemski, tacy też i ziemscy; a jaki jest niebieski, tacy też będą niebiescy.
48Wote walio wa dunia wako kama huyo mtu aliyeumbwa kwa udongo; wale walio wa mbinguni wako kama yule aliyetoka mbinguni.
49A jakośmy nosili wyobrażenie ziemskiego, tak też będziemy nosili wyobrażenie niebieskiego.
49Kama vile tulivyofanana na yule aliyeumbwa kwa udongo, vivyo hivyo tutafanana na huyohuyo aliyetoka mbinguni.
50To jednak powiadam, bracia! iż ciało i krew królestwa Bożego odziedziczyć nie mogą; ani skazitelność nie odziedziczy nieskazitelności.
50Basi, ndugu, nasema hivi: kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi kuushiriki Ufalme wa Mungu; na chenye kuharibika hakiwezi kuwa na hali ya kutoharibika.
51Oto ja tajemnicę wam powiadam; nie wszyscyć zaśniemy, ale wszyscy przemienieni będziemy, bardzo prędko w okamgnieniu, na trąbę ostateczną.
51Sikilizeni, nawaambieni siri: sisi hatutakufa sote, ila sote tutageuzwa
52Albowiem zatrąbi, a umarli wzbudzeni będą nieskazitelni, a my będziemy przemienieni.
52wakati wa mbiu ya mwisho, kwa nukta moja, kufumba na kufumbua. Maana mbiu itakapolia, wafu watafufuliwa katika hali ya kutoweza kufa tena, na sisi tutageuzwa.
53Boć musi to, co jest skazitelnego, przyoblec nieskazitelność, i co jest śmiertelnego, przyoblec nieśmiertelność.
53Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa.
54A gdy to, co jest skazitelnego, przyoblecze nieskazitelność, i to, co jest śmiertelnego, przyoblecze nieśmiertelność, tedy się wypełni ono słowo, które napisane: Połkniona jest śmierć w zwycięstwie.
54Basi, mwili huu wenye kuharibika utakapojivalia hali ya kutoharibika, na kile chenye kufa kitakapojivalia hali ya kutokufa, hapo ndipo litakapotimia lile neno lililoandikwa: "Kifo kimeangamizwa ushindi umekamilika!"
55Gdzież jest, o śmierci! bodziec twój? Gdzież jest, piekło! zwycięstwo twoje?
55"Kifo, ushindi wako uko wapi? Uwezo wako wa kuumiza uko wapi?"
56Lecz bodziec śmierci jest grzech, a moc grzechu jest zakon.
56Ukali wa kifo hutokana na dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika Sheria.
57Ale niech będą Bogu dzięki, który nam dał zwycięstwo przez Pana naszego Jezusa Chrystusa.
57Lakini tumshukuru Mungu anayetupatia ushindi kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
58A tak, bracia moi mili! bądźcie mocni, nieporuszeni, obfitujący w uczynku Paóskim zawsze, wiedząc, iż praca wasza nie jest nadaremna w Panu.
58Basi, ndugu zangu wapenzi, simameni imara na thabiti. Endeleeni daima kuwa na bidii katika kazi ya Bwana, mkijua kwamba kazi mnayofanya katika utumishi wa Bwana haitapotea bure.