1Przetoż złożywszy wszelką złość i wszelką zdradę, i obłudę, i zazdrość, i wszelakie obmowiska,
1Basi, acheni uovu wote; uongo, unafiki, wivu na maneno ya kashfa visiweko tena.
2Jako dopiero narodzone niemowlątka, szczerego mleka słowa Bożego pożądajcie, abyście przez nie urośli,
2Kama vile watoto wachanga wanavyotamani maziwa, nanyi pia mnapaswa kuwa na hamu ya maziwa halisi ya kiroho, ili kwa nguvu yake mpate kukua na kukombolewa.
3Jeźliście tylko skosztowali, że dobrotliwy jest Pan.
3Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mmegundua kwamba Bwana ni mwema."
4Do którego przystępując, do kamienia żywego, acz od ludzi odrzuconego, ale od Boga wybranego i kosztownego,
4Basi, mwendeeni Bwana! Yeye ndiye jiwe hai lililokataliwa na watu; lakini mbele ya Mungu ni jiwe teule, na la thamani kubwa.
5I wy jako żywe kamienie budujcie się w dom duchowny, w kapłaóstwo święte, ku ofiarowaniu duchowych ofiar, przyjemnych Bogu przez Jezusa Chrystusa.
5Mwendeeni yeye kama mawe hai mkajengeke na kuwa nyumba ya kiroho, ambamo mtatumikia kama makuhani watakatifu, kutolea dhabihu za kiroho zenye kumpendeza Mungu kwa njia ya Yesu Kristo.
6A przetoż mówi Pismo: Oto kładę na Syonie kamieó narożny węgielny, wybrany, kosztowny; a kto w niego uwierzy, nie będzie zawstydzony.
6Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Tazama! Naweka huko sioni jiwe kuu la msingi, jiwe la thamani kubwa nililoliteua. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa."
7Wam tedy wierzącym jest uczciwością, ale nieposłusznym, kamieó, który odrzucili budujący, ten się stał głową węgielną,
7Kwenu ninyi mnaoamini, jiwe hilo ni la thamani kubwa; lakini kwa wale wasioamini, "Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi."
8I kamieniem obrażenia, i opoką zgorszenia tym, którzy się obrażają o słowo, nie wierząc, na co też wystawieni są.
8Tena Maandiko yasema: "Jiwe hilo ni jiwe la kujikwaa, mwamba wa kuwaangusha watu." Watu hujikwaa kwa sababu hawauamini ule ujumbe; na ndivyo walivyopangiwa tangu mwanzo.
9Ale wy jesteście rodzajem wybranym, królewskim kapłaóstwem, narodem świętym, ludem nabytym, abyście opowiadali cnoty tego, który was powołał z ciemności ku dziwnej swojej światłości.
9Lakini ninyi ni ukoo mteule, makuhani wa Mfalme, taifa takatifu; watu wake Mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu ya Mungu aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu.
10Którzyście niekiedy byli nie ludem, aleście teraz ludem Bożym; którzyście niekiedy nie dostąpili byli miłosierdzia, aleście teraz miłosierdzia dostąpili.
10Wakati mmoja ninyi hamkuwa watu wa Mungu, lakini sasa ninyi ni watu wake; wakati mmoja hamkupewa huruma ya Mungu, lakini sasa mmeipokea.
11Najmilsi! proszę was, abyście się jako przychodniowie i goście wstrzymywali od cielesnych pożądliwości, które walczą przeciwko duszy,
11Wapenzi wangu, nawasihi ninyi kama wageni na wakimbizi hapa duniani! Achaneni na tamaa za mwili ambazo hupingana na roho.
12Obcowanie wasze mając poczciwe między poganami, aby zamiast tego, w czem was pomawiają jako złoczyóców, dobrym się uczynkom waszym przypatrując, chwalili Boga w dzieó nawiedzenia.
12Mwenendo wenu kati ya watu wasiomjua Mungu unapaswa kuwa mwema kabisa, ili hata watakapowasingizieni kwamba mnatenda mabaya, waweze kutambua matendo yenu mema na hivyo wamtukuze Mungu Siku ya kuja kwake.
13Bądźcież tedy poddani wszelkiemu ludzkiemu urzędowi dla Pana, bądź królowi, jako najwyższemu,
13Basi, jiwekeni chini ya mamlaka yote ya kibinadamu, kwa ajili ya Bwana: utii kwa mfalme aliye mtawala mkuu,
14Bądź przełożonym, jako od niego posłanym ku pomście źle czyniących, a ku chwale dobrze czyniących.
14utii kwa wakuu wa mikoa ambao wameteuliwa naye kuwaadhibu wahalifu na kuwasifu watendao mema.
15Albowiem taka jest wola Boża, abyście dobrze czyniąc, usta zatkali nieumiejętności głupich ludzi.
15Maana Mungu anataka mweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya.
16(Bądźcież) jako wolni, a nie jako ci, którzy wolność zasłoną złości mają, ale jako słudzy Boży.
16Ishini kama watu huru; lakini msiutumie uhuru wenu kuuficha ubaya, bali ishini kama watumishi wa Mungu.
17Wszystkich czcijcie, braterstwo miłujcie, Boga się bójcie, króla w uczciwości miejcie.
17Waheshimuni watu wote, wapendeni ndugu zenu waumini, mcheni Mungu, mheshimuni mfalme.
18Słudzy! bądźcie poddani panom we wszelakiej bojaźni, nie tylko dobrym i bacznym, ale i dziwnym.
18Enyi watumishi wa nyumbani, watiini wakuu wenu kwa heshima yote, wawe wema na wapole au wenye kuchukiza.
19Boć to jest łaska, jeźli kto dla sumienia Bożego ponosi frasunki, cierpiąc bezwinnie.
19Maana kama mnavumilia maumivu ya mateso msiyostahili kwa sababu mwajua kwamba Mungu anataka hivyo, basi Mungu atawafadhili.
20Bo cóż jest za chwała, jeźlibyście grzesząc, cierpliwie znosili, by was i pięściami bito? Ale jeźli dobrze czyniąc i cierpiąc znosicie, to jest łaska u Boga.
20Maana, mtapata tuzo gani mkivumilia mapigo mnayostahili kwa sababu ya makosa yenu? Lakini kama mnavumilia mateso hata ingawa mmetenda mema, Mungu atawapeni baraka kwa ajili hiyo.
21Albowiem na to też powołani jesteście, ponieważ i Chrystus cierpiał za was, zostawiwszy wam przykład, abyście naśladowali stóp jego.
21Hayo ndiyo mliyoitiwa; maana Kristo mwenyewe aliteseka kwa ajili yenu, akawaachieni mfano, ili muufuate mwenendo wake.
22Który grzechu nie uczynił, ani znaleziona jest zdrada w ustach jego.
22Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.
23Któremu gdy złorzeczono, nie odzłorzeczył; gdy cierpiał, nie groził, ale poruczył krzywdę temu, który sprawiedliwie sądzi.
23Alipotukanwa yeye hakujibu kwa tukano; alipoteseka yeye hakutoa vitisho, bali aliyaweka matumaini yake kwa Mungu, hakimu mwenye haki.
24Który grzechy nasze na ciele swoim zaniósł na drzewo, abyśmy obumarłszy grzechom sprawiedliwości żyli, którego sinością uzdrowieni jesteście.
24Yeye mwenyewe alizibeba dhambi zetu katika mwili wake juu ya msalaba, tupate kufa kuhusu dhambi, na kuishi kwa ajili ya uadilifu. Kwa majeraha yake, ninyi mmeponywa.
25Albowiemeście byli jako owce błądzące; ale teraz jesteście nawróceni do pasterza i biskupa dusz waszych.
25Ninyi mlikuwa kama kondoo waliokuwa wamepotea; lakini sasa mmemrudia Mchungaji na Mlinzi wa roho zenu.