1Piotr, Apostoł Jezusa Chrystusa, przychodniom rozproszonym w Poncie, w Galacyi, w Kapadocyi, w Azji i w Bitynii;
1Mimi Petro, mtume wa Yesu Kristo nawaandikia ninyi wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi kama wakimbizi huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithunia.
2Wybranym według przejrzenia Boga Ojca przez poświęcenie Ducha, ku posłuszeóstwu i pokropieniu krwi Jezusa Chrystusa. Łaska wam i pokój niech będzie rozmnożony.
2Mungu Baba aliwateua ninyi kufuatana na kusudi lake, na mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Nawatakieni neema na amani tele.
3Błogosławiony niech będzie Bóg i Ojciec Pana naszego, Jezusa Chrystusa, który według wielkiego miłosierdzia swego odrodził nas ku nadziei żywej przez zmartwychwstanie Jezusa Chrystusa od umarłych,
3Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe upya kwa kumfufua Yesu kutoka wafu. Ametujalia tumaini lenye uzima,
4Ku dziedzictwu nieskazitelnemu i niepokalanemu, i niezwiędłemu, w niebiesiech dla was zachowanemu,
4na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Mungu amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza au kuharibika au kufifia.
5Którzy mocą Bożą strzeżeni bywacie przez wiarę ku zbawieniu, które zgotowane jest, aby było objawione czasu ostatecznego.
5Hizo zitakuwa zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa mwishoni mwa nyakati.
6W czem weselicie się teraz maluczko, (jeźliże potrzeba) zasmuceni w rozmaitych pokusach,
6Furahini kuhusu jambo hilo, ijapokuwa sasa, kwa kitambo kidogo, itawabidi kuhuzunika kwa sababu ya majaribio mbalimbali mnayoteseka.
7Aby doświadczenie wiary waszej daleko droższe niż złoto, które ginie, którego jednak przez ogieó doświadczają, znalezione było wam ku chwale i ku czci, i ku sławie w objawienie Jezusa Chrystusa,
7Shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika, hujaribiwa kwa moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu, ni lazima ijaribiwe ipate kuwa thabiti. Hapo mtapokea sifa na utukufu na heshima Siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa.
8Którego nie widziawszy, miłujecie, którego teraz nie widząc, wszakże weó wierząc, weselicie się radością niewymowną i chwalebną,
8Ninyi mnampenda ingawaje hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni sasa. Hivyo, mnafurahi kwa furaha tukufu isiyoelezeka,
9Odnosząc koniec wiary waszej: zbawienie dusz.
9kwa sababu mnapokea wokovu wa roho zenu ambao ni lengo la imani yenu.
10O którem zbawieniu wywiadywali się i badali się prorocy, którzy o tej łasce, która na was przyjść miała, prorokowali.
10Manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
11Badając się, na który albo na jaki czas objawiał Duch Chrystusowy, który w nich był, świadcząc pierwej o utrapieniach, które miały przyjść na Chrystusa i o wielkiej za tem chwale.
11Walijaribu kujua nyakati na mazingira ya tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, akibashiri juu ya mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaofuata.
12Którym objawione jest, iż nie samym sobie, ale nam tem usługiwali, co wam teraz zwiastowano przez tych, którzy wam kazali Ewangieliję przez Ducha Świętego z nieba zesłanego, na które rzeczy pragną patrzyć Aniołowie.
12Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
13Przetoż przepasawszy biodra myśli waszej i trzeźwymi będąc, doskonałą miejcie nadzieję ku tej łasce, która wam dana będzie w objawienie Jezusa Chrystusa,
13Kwa hiyo, basi, muwe tayari kabisa kwa nia, na kukesha. Wekeni tumaini lenu lote katika baraka ile mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana!
14Jako synowie posłuszni, którzy się nie przypodobywacie przeszłym w nieumiejętności waszej pożądliwościom;
14Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.
15Ale jako ten, który was powołał, święty jest, i wy bądźcie świętymi we wszelkiem obcowaniu,
15Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu.
16Dlatego że napisano: Świętymi bądźcie, iżem Ja jest święty.
16Maandiko yasema: "Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu."
17A ponieważ Ojcem nazywacie tego, który bez braku osób każdego sądzi według uczynku, patrzcież, abyście w bojaźni czas pielgrzymowania waszego trawili,
17Mnapomtaja Mungu ninyi humwita Baba. Basi, jueni kwamba yeye humhukumu kila mmoja kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini katika kumcha Mungu.
18Wiedząc, iż nie skazitelnemi rzeczami, srebrem albo złotem, wykupieni jesteście od marnego obcowania waszego, od ojców podanego.
18Maana mnajua kwamba ninyi mlikombolewa katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliupokea kutoka kwa wazee wenu, si kwa vitu vyenye kuharibika: kwa fedha na dhahabu;
19Ale drogą krwią, jako baranka niewinnego i niepokalanego, Chrystusa;
19bali mlikombolewa kwa damu tukufu ya Kristo, ambaye alikuwa kama mwana kondoo asiye na dosari wala doa.
20Przejrzanego przed założeniem świata, a objawionego czasów ostatecznych dla was,
20Yeye alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
21Którzy przez niego wierzycie w Boga, który go wzbudził od umarłych i dał mu chwałę, aby wiara i nadzieja wasza była w Bogu.
21Kwa njia yake, ninyi mnamwamini Mungu aliyemfufua kutoka wafu na kumpa utukufu; na hivyo imani na matumaini yenu yako kwa Mungu.
22Oczyszczając dusze wasze w posłuszeóstwie prawdy przez Ducha Świętego ku nieobłudnej braterskiej miłości, z czystego serca jedni drugich miłujcie uprzejmie,
22Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu bila unafiki, basi, pendaneni kwa moyo wote.
23Odrodzeni będąc nie z nasienia skazitelnego, ale z nieskazitelnego przez słowo Boże żywe i trwające na wieki.
23Maana kwa njia ya neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele.
24Ponieważ wszelkie ciało jest jako trawa i wszelka chwała człowieka jako kwiat trawy; uwiędła trawa i kwiat jej opadł;
24Kama Maandiko yasemavyo: "Kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. Nyasi hunyauka na maua huanguka.
25Ale słowo Paóskie trwa na wieki. A toć jest słowo, które wam jest zwiastowane.
25Lakini neno la Bwana hudumu milele." Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu.