1Albowiem wy sami wiecie, bracia! że przyjście nasze do was nie było próżne;
1Ndugu, ninyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu kwenu haikuwa bure.
2Ale chociażeśmy i przedtem cierpieli, i zelżeni byli (jako wiecie) w mieście Filipach, wszakże bezpiecznieśmy sobie poczęli w Bogu naszym, w opowiadaniu u was Ewangielii Bożej z wielkim bojem,
2Mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika kwenu Thesalonike. Ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, Mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni Habari Njema yake.
3Albowiem napominanie nasze nie było z oszukania, ani z nieczystości, ani z zdrady;
3Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote.
4Ale jako nas Bóg sobie upodobał, żeby nam była zwierzona Ewangielija, tak mówimy, nie jako ludziom się podobając, ale Bogu, który sobie upodobywa serca nasze.
4Sisi twanena daima kama atakavyo Mungu kwani yeye alituona kwamba tunafaa, akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia yetu kuwapendeza watu hata kidogo, bali twataka kumpendeza Mungu ambaye anajua mioyo yetu mpaka ndani.
5Albowiem nigdyśmy nie używali mowy pochlebnej, jako wiecie; aniśmy pod zasłoną czego łakomstwu dogadzali; Bóg jest świadkiem;
5Ninyi mnajua kwamba sisi hatukuja kwenu na maneno matamu ya kubembeleza wala hatukutumia maneno ya kijanja ya kuficha ubinafsi fulani; Mungu ni shahidi!
6Aniśmy szukali od ludzi chwały, ani od was, ani od inszych, mogąc wam być ciężkimi, jako Apostołowie Chrystusowi;
6Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote,
7Aleśmy byli skromnymi między wami, jako gdy mamka odchowuje dziatki swoje.
7ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa Wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake.
8Tak wam życzliwymi będąc, gotowiśmy byli użyczyć wam nie tylko Ewangielii Bożej, ale też i dusz naszych, dlatego iżeście nam miłymi byli.
8Tuliwapenda ninyi sana hata tukawa tayari kuwashirikisha si tu Habari Njema ya Mungu, bali pia na maisha yetu. Ndivyo mlivyokuwa wapenzi wetu!
9Albowiem pamiętajcie, bracia! pracę naszę i trudy, gdyż w nocy i we dnie robiąc, abyśmy żadnego z was nie obciążyli, kazaliśmy u was Ewangielię Bożą.
9Ndugu, mnakumbuka jinsi tulivyofanya kazi na kutaabika. Tulipowaleteeni Habari Njema ya Mungu tulifanya kazi mchana na usiku kusudi tusiwe mzigo kwa mtu yeyote miongoni mwenu.
10Wyście świadkami i Bóg, żeśmy świętobliwie i sprawiedliwie, i bez nagany żyli między wami, którzyście uwierzyli.
10Ninyi mnaweza kushuhudia, na Mungu pia ni shahidi, jinsi mwenendo wetu kati yenu ninyi mnaoamini ulivyokuwa mzuri, mwadilifu na usio na lawama.
11Jakoż wiecie, żeśmy każdego z was, jako ojciec dziatki swoje, napominali i cieszyli,
11Mnajua kwamba sisi tulimtendea kila mmoja wenu kama vile baba anavyowatendea watoto wake mwenyewe.
12I oświadczali się, abyście chodzili godnie Bogu, który was powołał do swego królestwa i do chwały.
12Tuliwapeni moyo, tuliwafarijini na kuwahimiza ili mpate kuishi maisha yampendezayo Mungu ambaye aliwaiteni mshiriki Utawala na utukufu wake.
13Przetoż i my dziękujemy Bogu bez przestanku, iż przyjąwszy słowo Boże, któreście słyszeli od nas, przyjęliście nie jako słowo ludzkie, ale (jako w prawdzie jest) jako słowo Boże, które też skuteczne jest w was, którzy wierzycie.
13Tena tunayo sababu nyingine ya kumshukuru Mungu: tulipowaleteeni ujumbe wa Mungu, ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, na kweli ndivyo ulivyo. Maana Mungu anafanya kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
14Albowiem wy, bracia! staliście się naśladowcami zborów Bożych, które są w żydowskiej ziemi, w Chrystusie Jezusie; boście i wy też cierpieli od ziomków waszych, jako i oni od Żydów.
14Ndugu, ninyi mmepatwa na mambo yaleyale yaliyoyapata makanisa ya Mungu kule Yudea, mambo yaliyowapata watu walio wake Kristo Yesu. Ninyi mlidhulumiwa na wananchi wenzenu kama vile wao walivyodhulumiwa na wenzao Wayahudi,
15Którzy i Pana Jezusa zabili, i swoich własnych proroków, i nas wygnali, a Bogu się nie podobają, i wszystkim ludziom są przeciwni,
15ambao walimuua Bwana Yesu na manabii, wakatutesa na sisi pia. Watu hao wanamchukiza Mungu, tena ni adui za kila mtu!
16Zabraniając nam, żebyśmy nie mówili poganom, żeby byli zbawieni, aby tak zawsze dopełniali grzechów swoich; albowiem przyszedł na nich gniew aż do koóca.
16Hata walijaribu kutuzuia kuwahubiria watu wa mataifa mengine ujumbe utakaowaletea wokovu. Ndivyo walivyokamilisha orodha ya dhambi zote walizotenda siku zote. Lakini sasa hasira ya Mungu imewaangukia.
17Lecz my, bracia! będąc pozbawieni was na chwileczkę obliczem, nie sercem, tem pilniejśmy się starali oglądać oblicze wasze z wielką żądnością.
17Ndugu, kuachana kwetu nanyi kulikuwa kwa muda tu, tena kuachana huko kulikuwa kwa mwili tu na si kwa roho. Kitambo kifupi baadaye, tulishikwa na hamu kubwa ya kuwaoneni tena!
18Dlategośmy chcieli przyjść do was (zwłaszcza ja Paweł) i raz, i drugi; ale nam przekaził szatan.
18Kwa hiyo tuliamua kuwatembeleeni tena. Nami, Paulo, nilijaribu kuja kwenu zaidi ya mara moja, lakini Shetani alituzuia.
19Albowiem któraż jest nadzieja nasza, albo radość, albo korona chluby? Izali nie wy przed oblicznością Pana naszego, Jezusa Chrystusa w przyjście jego?
19Je, tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, fahari ya ushindi wetu itakuwa nini? Itakuwa ni ninyi wenyewe; ninyi ndio tumaini letu na furaha yetu.
20Wy zaiste jesteście chwałą naszą i radością.
20Naam, ninyi ni utukufu wetu na furaha yetu!