1Poczynamyż zasię zalecać samych siebie? czyli potrzebujemy, jako niektórzy, listów zalecających do was albo też listów zalecających od was?
1Je, tunaanza tena kujipendekeza? Je, tunahitaji barua ya utambulisho kwenu, au kutoka kwenu, kama watu wengine?
2Listem naszym wy jesteście, napisanym na sercach naszych, który znają i czytają wszyscy ludzie.
2Ninyi wenyewe ni barua yetu; barua iliyoandikwa mioyoni mwetu kila mtu aione na kuisoma.
3Gdyż to jawna jest, żeście listem Chrystusowym przez usługę naszę zgotowanym, napisanym nie inkaustem, ale Duchem Boga żywego, nie na tablicach kamiennych, ale na tablicach serc mięsnych.
3Ni dhahiri kwamba ninyi ni barua ya Kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. Barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu.
4A takieć ufanie mamy przez Chrystusa ku Bogu,
4Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
5Nie iżbyśmy byli sposobni, co myśleć sami z siebie, jako sami z siebie, ale sposobność nasza z Boga jest;
5Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu:
6Który nas też uczynił sposobnymi sługami nowego testamentu, nie litery, ale Ducha; albowiem litera zabija, ale Duch ożywia.
6maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima.
7Bo jeźlić posługiwanie śmierci literami wyrażone na tablicach kamiennych było chwalebne, tak iż synowie Izraelscy nie mogli śmiele patrzeć na oblicze Mojżeszowe dla chwały oblicza jego, która miała być skażona:
7Sheria iliwekwa kwa kuandikwa juu ya vipande vya mawe. Ingawaje mwisho wake umekuwa kifo, utukufu wake ulikuwa mkuu mno hata wana wa Israeli wasiweze kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya mng'ao wake. Tena mng'ao huo ulikuwa wa muda tu. Basi, ikiwa huduma ya kile ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi hicho,
8Jakoż daleko więcej usługiwanie Ducha nie ma być chwalebne?
8basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.
9Bo jeźlić usługiwanie potępienia było chwalebne, daleko więcej usługiwanie sprawiedliwości obfituje w chwale.
9Ikiwa basi, kulikuwa na utukufu katika huduma ile iliyoleta hukumu, ni wazi kwamba huduma ile iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu itakuwa na utukufu mkuu zaidi.
10Albowiem i to, co chwałę miało, nie miało chwały w tej części, co się tknie onej przewyższającej chwały.
10Sasa utukufu mkuu zaidi umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja hapo awali, ambao fahari yake imekwisha toweka.
11Bo jeźlić to, co niszczeje, było chwalebne, daleko więcej to, co zostaje, jest chwalebne.
11Maana ikiwa kile kilichokuwa cha muda tu kilikuwa na utukufu wake, bila shaka kile chenye kudumu milele kitakuwa na utukufu mkuu zaidi.
12Przetoż mając taką nadzieję, wielkiej bezpieczności w mowie używamy.
12Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
13A nie jesteśmy jako Mojżesz, który kładł zasłonę na oblicze swoje, aby synowie Izraelscy śmiele nie patrzyli na koniec onego, co zniszczeć miało.
13Sisi hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa ili watu wa Israeli wasiuone ule mwisho wa mng'ao uliokuwa unafifia.
14Ale zatwardzone są zmysły ich; albowiem aż do dzisiejszego dnia taż zasłona w czytaniu starego testamentu zostaje nie odkryta, która przez Chrystusa skażenie bierze.
14Lakini akili zao zilipumbazwa. Mpaka leo hii lisomwapo Agano la Kale, kifuniko hicho bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa tu mtu anapoungana na Kristo.
15Przetoż aż do dnia dzisiejszego, gdy Mojżesz czytany bywa, zasłona jest na sercu ich położona.
15Naam, mpaka hivi leo kila isomwapo Sheria ya Mose akili zao huwa zimefunikwa.
16Lecz gdyby się do Pana obrócili, odjęta będzie ona zasłona,
16Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.
17Aleć Pan jest tym Duchem; a gdzie jest ten Duch Paóski, tam i wolność.
17Hapa "Bwana" ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
18Lecz my wszyscy, którzy odkrytem obliczem na chwałę Paóską, jako w zwierciadle patrzymy, w toż wyobrażenie przemienieni bywamy z chwały w chwałę, jako od Ducha Paóskiego.
18Basi, sisi sote ambao nyuso zetu hazikufunikwa, twaonyesha kama katika kioo, utukufu wa Bwana; tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake kwa utukufu mwingi zaidi. Hiyo ni kazi yake Roho wa Bwana.