Polish

Swahili: New Testament

2 Corinthians

4

1Dlatego mając to usługiwanie, tak jakośmy miłosierdzie otrzymali, nie słabiejemy.
1Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo.
2Aleśmy się odrzekli skrytej sromoty, nie obchodząc się chytrze, ani fałszując słowa Bożego; ale objawieniem prawdy zalecając samych siebie u każdego sumienia ludzkiego przed obliczem Bożem.
2Tumeyaacha kabisa mambo yote ya aibu na ya kisirisiri. Hatuishi tena kwa udanganyifu, wala kwa kulipotosha neno la Mungu; bali tunaudhihirisha ukweli kwa kuufanya ukweli, na hivyo kujiweka chini ya uamuzi wa dhamiri za watu mbele ya Mungu.
3Jeźli tedy zakryta jest Ewangielija nasza, zakryta jest przed tymi, którzy giną.
3Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika, imefichika tu kwa wale wanaopotea.
4W których bóg świata tego oślepił zmysły, to jest w niewiernych, aby im nie świeciła światłość Ewangielii chwały Chrystusowej, który jest wyobrażeniem Bożem.
4Hao hawaamini kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili zao wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu.
5Albowiem nie samych siebie opowiadamy, ale Chrystusa Jezusa, że jest Panem, a samych siebie sługami waszymi dla Jezusa.
5Maana hatujitangazi sisi wenyewe, ila tunamhubiri Yesu Kristo aliye Bwana, sisi wenyewe tukiwa watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
6Ponieważ Bóg, który rzekł, aby się z ciemności światłość rozświeciła, ten się rozświecił w sercach naszych ku rozświeceniu (w nas) znajomości chwały Bożej w obliczu Jezusa Chrystusa.
6Mungu ambaye alisema, "Mwanga na uangaze kutoka gizani," ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo.
7A mamy ten skarb w naczyniu glinianem, aby dostojność tej mocy była z Boga, a nie z nas.
7Basi, sisi tulio na hazina hii tuko tu kama vyombo vya udongo, ili ionekane wazi kwamba nguvu hiyo kuu yatoka kwa Mungu wala si kwetu sisi wenyewe.
8Gdy zewsząd uciśnieni bywamy, ale nie bywamy potłoczeni; powątpiewamy, ale nie zwątpimy.
8Daima twapata taabu, lakini hatugandamizwi; twapata mashaka, lakini hatukati tamaa;
9Prześladowanie cierpimy, ale nie bywamy opuszczeni; bywamy porzuceni, ale nie giniemy.
9twateseka, lakini hatuachwi bila msaada; na ingawa tumeangushwa chini, hatukuangamizwa.
10Zawsze umartwienie Pana Jezusowe na ciele nosimy, aby i żywot Jezusowy na ciele naszem był objawiony.
10Kila wakati tumekuwa tukichukua mwilini mwetu kifo cha Kristo, ili uhai wake Yesu pia udhihirike katika miili yetu.
11Zawsze bowiem my, którzy żyjemy, bywamy wydawani na śmierć dla Jezusa, aby też żywot Jezusowy był objawiony w śmiertelnem ciele naszem.
11Naam, katika maisha yetu yote tunakabiliwa na kifo daima kwa ajili ya Yesu, ili uzima wake Yesu udhihirike katika miili yetu inayokufa.
12Dlatego śmierć mocy swojej w nas dokazuje, ale w was żywot.
12Hii ina maana kwamba ndani yetu kifo kinafanya kazi, lakini ndani yenu uhai unafanya kazi.
13Mając tedy tegoż ducha wiary, tak jako napisane: Uwierzyłem, przetom też mówił; i my wierzymy, przeto też mówimy,
13Maandiko Matakatifu yasema: "Niliamini, ndiyo maana nilinena." Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.
14Wiedząc, iż ten, który wzbudził Pana Jezusa, i nas wzbudzi przez Jezusa, i postawi z wami.
14Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi.
15Boć to wszystko dzieje się dla was, aby łaska ona obfitująca przez dziękowanie wielu ich rozmnożyła się ku chwale Bożej.
15Yote haya ni kwa faida yenu; ili kama vile neema ya Mungu inavyoenea kwa watu wengi zaidi na zaidi vivyo hivyo watu wengi zaidi watoe shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
16Dlatego nie słabiejmy, ale choć się też nasz zewnętrzny człowiek kazi, wszakże on wewnętrzny się odnawia ode dnia do dnia.
16Kwa sababu hiyo hatufi moyo; na hata kama maumbile yetu ya nje yataoza, lakini kwa ndani tunafanywa wapya siku kwa siku.
17Albowiem ten króciuchny i lekki ucisk nasz nader zacnej chwały wieczną wagę nam sprawuje;
17Taabu tunayopata ni kidogo, tena ya muda tu: lakini itatupatia utukufu upitao matazamio yote, utukufu ambao hauna mwisho.
18Gdy nie patrzymy na rzeczy widzialne, ale na niewidzialne; albowiem rzeczy widzialne są doczesne, ale niewidzialne są wieczne.
18Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyoonekana ni vya muda tu; lakini vile visivyoonekana ni vya milele.