Polish

Swahili: New Testament

2 Corinthians

8

1A oznajmujemy wam, bracia! o łasce Bożej, która jest dana zborom Macedoóskim;
1Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
2Iż w rozlicznem doświadczeniu utrapienia obfita ich radość i bardzo wielkie ubóstwo ich obfitowało w bogactwo szczerości ich.
2Waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini sana.
3Bo daję im świadectwo, że według możności i nad możność ochotnymi się pokazali.
3Naweza kushuhudia kwamba walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe,
4Z wielką prośbą nas żądając, abyśmy to dobrodziejstwo i spólne udzielenie, którem się usługuje świętym, przyjęli.
4walitusihi sana wapewe nafasi ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watu wa Mungu.
5A nie tylko tak sobie postąpili, jakośmy się spodziewali; ale najprzód samych siebie oddali Panu, potem i nam za wolą Bożą.
5Hilo lilikuwa jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao wenyewe kwa Bwana, kisha wakajitolea wenyewe kwetu pia, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
6Tak, żeśmy musieli napomnieć Tytusa, aby jako przedtem począł, tak aby też dokonał u was tegoż dobrodziejstwa.
6Kwa sababu hiyo, tulimsihi Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii ya upendo miongoni mwenu.
7Przetoż jako we wszystkiem obfitujecie w wierze i w mowie, i w umiejętności, i we wszelakiej pilności, i w miłości waszej przeciwko nam, tak i w tem dobrodziejstwie obfitujcie.
7Ninyi mna kila kitu: imani, uwezo wa kusema, elimu; bidii yote ya kutenda mema, na upendo wenu kwetu. Hivyo, tunatazamia muwe wakarimu katika huduma hii ya upendo.
8Nie mówię jako rozkazując, ale przez pilność innych, jako jest szczera miłość wasza, na jawią wystawiając.
8Siwapi ninyi amri, lakini nataka tu kuonyesha jinsi wengine walivyo na bidii ya kusaidia ili nipate kujua jinsi upendo wenu ulivyo wa kweli.
9Albowiem znacie łaskę Pana naszego, Jezusa Chrystusa, że dla was stał się ubogim, będąc bogatym, abyście wy ubóstwem jego ubogaceni byli.
9Maana, ninyi mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye, ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya maskini kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake, awatajirishe.
10A w tem podaję wam zdanie swoje; albowiem to wam jest pożyteczno, którzy nie tylko czynić, ale i chcieć przedtemeście poczęli roku przeszłego.
10Kuhusu jambo hili, basi, nawapeni shauri hili: inafaa kwenu kutekeleza sasa yale mliyoanza mwaka jana. Ninyi mlikuwa wa kwanza kuchukua hatua na kuamua kufanya hivyo.
11A teraz to, coście czynić poczęli, wykonajcie, aby jako była ochotna myśl ku chceniu, tak też aby było i dokoóczenie z tego, co macie.
11Basi, kamilisheni shughuli hiyo; na kama vile mlivyokuwa na hamu kubwa ya kusaidia, basi, fanyeni bidii vivyo hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha.
12Albowiem jeźli przedtem była ochotna myśl, taż przyjemna jest według tego, co kto ma, a nie według tego, czego nie ma.
12Maana ikiwa mtu ana moyo wa kusaidia, Mungu hupokea kila anachoweza kutoa: hadai zaidi.
13Bo nie chcę, aby insi mieli ulżenie a wy uciśnienie, ale żeby za równo natenczas wasza obfitość ich niedostatkowi usłużyła;
13Ninyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.
14Aby też ich obfitość waszemu niedostatkowi usłużyła, żeby się stało porównanie,
14Kila mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada, wawasaidie ninyi katika mahitaji yenu, na hivyo kuwe na usawa.
15Jako napisane: Kto wiele nazbierał, nie miał nazbyt; a kto mało nazbierał, nie miał mało.
15Kama Maandiko yasemavyo: "Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa."
16Ale chwała Bogu, który dał takież staranie o was do serca Tytusowego,
16Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.
17Iż ono napomnienie przyjął, a stawszy się pilniejszym, dobrowolnie poszedł do was.
17Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
18A posłaliśmy wespół z nim brata, który ma chwałę w Ewangielii po wszystkich zborach;
18Pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza Habari Njema zimeenea katika makanisa yote.
19A nie tylko to, ale obrany jest przez głosy od zborów, za towarzysza drogi naszej z tem dobrodziejstwem, którem się dzieje usługa od nas ku chwale samego Pana i ku doświadczeniu ochotnego umysłu waszego,
19Zaidi ya hayo, yeye amechaguliwa na makanisa awe mwenzetu safarini wakati tunapopeleka huduma hii yetu ya upendo, huduma tunayoifanya kwa ajili ya utukufu wa Bwana na uthibitisho wa nia yetu njema.
20Uchodząc tego, aby nam kto nie przyganił dla tej obfitości, którą się przez nas usługuje,
20Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.
21Pilnie się starając o uczciwe rzeczy, nie tylko przed Panem, ale też i przed ludźmi.
21Nia yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini pia mbele ya watu.
22A posłaliśmy z nimi brata naszego, któregośmy często doświadczyli, w wielu rzeczach być pilnym, a teraz daleko pilniejszym dla wielkiej dowierności, którą ma przeciwko wam.
22Basi, pamoja na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu mwingine ambaye mara nyingi tumempa majaribio mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa na moyo zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi.
23A jeźli idzie o Tytusa, ten jest moim towarzyszem i u was pomocnikiem; a jeźli też o braci naszych, posłami są zborów i chwałą Chrystusową.
23Tito ni mwenzangu; tunafanya kazi pamoja kwa ajili yenu; lakini kuhusu hawa ndugu zetu wengine, wanaokuja pamoja nao, hao ni wajumbe wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
24Przetoż oświadczenie miłości waszej i chluby naszej z was pokażcie przeciwko nim przed oblicznością zborów.
24Basi, waonyesheni uthabiti wa upendo wenu, makanisa yapate kuona kweli kwamba fahari ninayoona juu yenu ni ya halali.