Polish

Swahili: New Testament

2 Corinthians

9

1Lecz o usłudze, która się dzieje świętym, niepotrzebna mi jest wam pisać.
1Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma hiyo yenu kwa ajili ya watu wa Mungu.
2Bo znam ochotę umysłu waszego, którą się ja chlubię z was u Macedoóczyków, iż Achaja gotowa była od przeszłego roku; a ta wasza gorliwość wiele ich pobudziła.
2Ninajua jinsi mlivyo na moyo wa kusaidia, na nilijivuna juu yenu kuhusu jambo hilo mbele ya watu wa Makedonia. Niliwaambia: "Ndugu zetu wa Akaya wako tayari tangu mwaka jana." Hivyo, moto wenu umekwisha wahimiza watu wengi zaidi.
3Posłałem tedy tych braci, żeby chluba nasza, którą mamy z was, nie była daremna z tej miary, ale abyście (jakom powiedział), gotowymi byli;
3Basi, nimewatuma ndugu zetu hao, ili fahari yetu juu yenu ionekane kwamba si maneno matupu, na kwamba mko tayari kabisa na msaada wenu kama nilivyosema.
4Abyśmy snać, jeźliby ze mną przyszli Macedoóczycy, a znaleźli was niegotowymi, nie zawstydzili się my, (że nie rzekę wy), za tak bezpieczną chlubę.
4Isije ikawa kwamba watu wa Makedonia watakapokuja pamoja nami tukawakuta hamko tayari, hapo sisi tutaaibika--bila kutaja aibu mtakayopata ninyi wenyewe--kwa sababu tutakuwa tumewatumainia kupita kiasi.
5Zdało mi się tedy za rzecz potrzebną, napomnieć braci, aby do was wprzód poszli i pierwej zgotowali przedtem opowiedzianą waszę szczodrobliwość, aby była gotowa tak jako szczodrobliwość, a nie jako rzecz przymuszona.
5Kwa hiyo, nimeona ni lazima kuwaomba hawa ndugu watutangulie kuja kwenu, wapate kuweka tayari zawadi yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba ni zawadi iliyotolewa kwa hiari na si kwa kulazimishwa.
6Ale tak mówię: Kto skąpo sieje, skąpo też żąć będzie; a kto obficie sieje, obficie też żąć będzie.
6Kumbukeni: "Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi."
7Każdy jako umyślił w sercu swem, tak niech uczyni, nie z zamarszczeniem ani z przymuszenia; albowiem ochotnego dawcę Bóg miłuje.
7Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa, maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa furaha.
8A mocen jest Bóg uczynić, aby obfitowała na was wszelka łaska, abyście mając we wszystkiem zawsze wszelaki dostatek, obfitowali ku wszelakiemu uczynkowi dobremu,
8Mungu anaweza kuwapeni ninyi zaidi ya yale mnayoyahitaji, mpate daima kuwa na kila kitu mnachohitaji, na hivyo mzidi kusaidia katika kila kazi njema.
9Jako napisane: Rozproszył, dał ubogim, sprawiedliwość jego zostaje na wieki.
9Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini, wema wahudumu milele."
10A ten, który daje nasienie siejącemu, niechże i wam da chleb ku jedzeniu i rozmnoży nasienie wasze, i przysporzy urodzajów sprawiedliwości waszej,
10Na Mungu ampaye mkulima mbegu na mkate kwa chakula, atawapa ninyi pia mbegu mnazohitaji, na atazifanya ziote, ziwe na kuwapa mavuno mengi ya ukarimu wenu.
11Abyście z każdej miary byli ubogaceni ku wszelkiej prostości, która sprawuje przez nas, aby dzięki Bogu czynione były.
11Yeye atawatajirisha ninyi daima kwa kila kitu, ili watu wapate kumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi zenu wanazozipokea kwa mikono yetu.
12Albowiem usługiwanie tej ofiary nie tylko dopełnia niedostatki świętych, ale też opływa przez wielkie dziękczynienia na Boga przez pochwałę tej posługi;
12Maana huduma hii takatifu mnayoifanya si tu kwamba itasaidia mahitaji ya watu wa Mungu, bali pia itasababisha watu wengi wamshukuru Mungu.
13Gdy Boga chwalą za wasze poddaóstwo Ewangielii Chrystusowej, za szczerość w udzielaniu przeciwko sobie i przeciwko wszystkim innym;
13Kutokana na uthibitisho unaoonyeshwa kwa huduma hii yetu, watu watamtukuza Mungu kwa sababu ya uaminifu wenu kwa Habari Njema ya Kristo mnayoiungama, na pia kwa sababu ya ukarimu mnaowapa wao na watu wote.
14I modlą się za wami, żądając was dla łaski Bożej obfitującej w was.
14Kwa hiyo watawaombea ninyi kwa moyo kwa sababu ya neema ya pekee aliyowajalieni Mungu.
15Lecz Bogu niech będzie chwała za niewypowiedziany dar jego.
15Tumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi yake isiyo na kifani!