Polish

Swahili: New Testament

Colossians

1

1Paweł, Apostoł Jezusa Chrystusa przez wolę Bożą, i Tymoteusz brat,
1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo,
2Tym, którzy są w Kolosiech, świętym i wiernym braciom w Chrystusie Jezusie. Łaska wam i pokój niech będzie od Boga, Ojca naszego, i od Pana Jezusa Chrystusa.
2tunawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na Kristo. Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
3Dziękujemy Bogu i Ojcu Pana naszego Jezusa Chrystusa, zawsze modląc się za was,
3Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.
4Usłyszawszy o wierze waszej w Chrystusie Jezusie i miłości przeciwko wszystkim świętym,
4Maana tumesikia juu ya imani yenu katika Kristo Yesu na juu ya upendo wenu kwa watu wote wa Mungu.
5Dla nadziei onej wam odłożonej w niebiesiech, o którejście przedtem słyszeli przez słowo prawdy, to jest Ewangielii,
5Wakati ujumbe ule wa kweli, yaani Habari Njema, ilipowafikieni kwa mara ya kwanza, mlipata kusikia juu ya lile tumaini linalopatikana kwake. Kwa sababu hiyo imani na upendo wenu vinategemea jambo lile mnalotumainia ambalo mmewekewa salama mbinguni.
6Która przyszła do was jako i na wszystek świat, i przynosi owoc, jako i u was, od onego dnia, któregoście usłyszeli i poznali łaskę Bożą w prawdzie.
6Habari Njema inazidi kuzaa matunda na kuenea ulimwenguni kote kama vile ilivyofanya kwenu ninyi tangu siku ile mliposikia juu ya neema ya Mungu na kuitambua ilivyo kweli.
7Jakoście się też nauczyli od Epafry, miłego spółsługi naszego, który jest wiernym sługą Chrystusowym dla was;
7Mlijifunza juu ya neema ya Mungu kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu, ambaye ni mfanyakazi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
8Który też oznajmił nam miłość waszę w duchu.
8Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho.
9Dlatego i my od onego dnia, któregośmy to usłyszeli, nie przestajemy się za was modlić i prosić, abyście byli napełnieni znajomością woli jego we wszelkiej mądrości i w wyrozumieniu duchownem.
9Kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. Tunamwomba Mungu awajazeni ujuzi kamili wa mapenzi yake, awajazeni hekima yote na elimu iletwayo na Roho wake.
10Abyście chodzili przystojnie przed Panem ku wszelkiemu jego upodobaniu, w każdym uczynku dobrym owoc przynosząc i rosnąc w znajomości Bożej,
10Hapo mtaweza kuishi kama anavyotaka Bwana na kutenda daima yanayompendeza. Maisha yenu yatakuwa yenye matunda ya kila namna ya matendo mema na mtazidi kukua katika kumjua Mungu.
11Wszelką mocą umocnieni będąc według chwalebnej mocy jego, ku wszelkiej cierpliwości i nieskwapliwości z radością,
11Mungu awajalieni nguvu kwa uwezo wake mtukufu ili mweze kustahimili kila kitu kwa uvumilivu.
12Dziękując Ojcu, który nas godnymi uczynił, abyśmy byli uczestnikami dziedzictwa świętych w światłości;
12Na kwa furaha, mshukuruni Baba aliyewawezesha ninyi kuwa na sehemu yenu katika mambo yale Mungu aliyowawekea watu wake katika utawala wa mwanga.
13Który nas wyrwał z mocy ciemności i przeniósł do królestwa Syna swego miłego,
13Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa Mwanae mpenzi,
14W którym mamy odkupienie przez krew jego, to jest odpuszczenie grzechów;
14ambaye kwa njia yake tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa.
15Który jest obrazem Boga niewidzialnego i pierworodny wszystkich rzeczy stworzonych.
15Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana; ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
16Albowiem przezeó stworzone są wszystkie rzeczy, które są na niebie i na ziemi, widzialne i niewidzialne, bądź trony, bądź paóstwa, bądź księstwa, bądź zwierzchności, wszystko przezeó i dla niego stworzone jest.
16Maana kwa njia yake vitu vyote viliumbwa duniani na mbinguni, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana: wenye enzi, watawala, wakuu na wenye mamlaka. Vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake.
17A on jest przed wszystkimi i wszystko w nim stoi.
17Kristo alikuwako kabla ya vitu vyote; kwa kuungana naye, vyote vyadumu mahali pake.
18On też jest głową ciała, to jest kościoła, który jest początkiem i pierworodnym z umarłych, aby on między wszystkimi przodkował;
18Yeye ni kichwa cha mwili wake, yaani kanisa; yeye ni chanzo cha uhai wa huo mwili. Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza aliyefufuliwa kutoka wafu, ili awe na nafasi ya kwanza katika vitu vyote.
19Ponieważ się upodobało Ojcu, aby w nim wszystka zupełność mieszkała.
19Maana Mungu alipenda utimilifu wote uwe ndani yake.
20I żeby przezeó z sobą pojednał wszystko, uczyniwszy pokój przez krew krzyża jego; przezeó, mówię, tak to, co jest na ziemi, jako i to, co jest na niebiesiech.
20Kwa njia yake Mungu alivipatanisha naye vitu vyote naam, viumbe vyote mbinguni na duniania; alileta amani kwa damu ya Kristo msalabani.
21I was, którzyście niekiedy byli oddaleni i nieprzyjaciele umysłem w złośliwych uczynkach, teraz też pojednał.
21Hapo kwanza ninyi pia mlikuwa mbali na Mungu na mlikuwa adui zake kwa sababu ya fikira zenu na matendo yenu maovu.
22Ciałem własnem swojem przez śmierć, aby was wystawił świętemi i niepokalanemi, i bez nagany przed obliczem swojem;
22Lakini sasa, kwa kifo cha Mwanae aliyeishi hapa duniani, Mungu amewapatanisha naye, kusudi awalete mbele yake mkiwa watakatifu, safi na bila lawama.
23Jeźli tylko trwacie w wierze ugruntowani i utwierdzeni, a nie poruszeni od nadziei Ewangielii, którąście słyszeli, która jest kazana wszelkiemu stworzeniu, które jest pod niebem, której ja Paweł stałem się sługą;
23Mnapaswa, lakini kuendelea kuwa imara na thabiti katika imani hiyo, na msikubali kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia Habari Njema. Mimi Paulo nimekuwa mtumishi wa hiyo Habari Njema ambayo imekwisha hubiriwa kila kiumbe duniani.
24Który się teraz raduję w doległościach moich dla was i dopełniam ostatków ucisków Chrystusowych na ciele mojem za ciało jego, które jest kościół.
24Na sasa nafurahi kuteseka kwa ajili yenu, maana kwa mateso yangu hapa duniani, nasaidia kukamilisha kile kilichopungua bado katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, yaani kanisa.
25Któregom się ja stał sługą według daru Bożego, który mi jest dany dla was, abym wypełnił słowo Boże,
25Nami nimefanywa kuwa mtumishi wa kanisa kufuatana na mpango wake Mungu ambao alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu ujumbe wake,
26To jest, tajemnicę onę, która była zakryta od wieków i od rodzajów, ale teraz objawiona jest świętym jego.
26ambao ni siri aliyowaficha binadamu wote tangu milele, lakini sasa amewajulisha watu wake.
27Którym chciał Bóg oznajmić, jakie jest bogactwo tej tajemnicy chwalebnej między poganami, która jest Chrystus między wami, nadzieja ona chwały;
27Mpango wa Mungu ni kuwajulisha watu wake siri hii kuu na tukufu ambayo ni kwa ajili ya watu wote. Na, siri yenyewe ndiyo hii: Kristo yuko ndani yenu, na jambo hilo lamaanisha kwamba ninyi mtaushiriki utukufu wa Mungu.
28Którego my opowiadamy, napominając każdego człowieka i ucząc każdego człowieka we wszelkiej mądrości, abyśmy wystawili każdego człowieka doskonałym w Chrystusie Jezusie;
28Kwa sababu hiyo tunamhubiri Kristo kwa watu wote; tunawaonya na kuwafundisha wote kwa hekima yote, ili tuweze kumleta kila mmoja mbele ya Mungu akiwa amekomaa katika kuungana na Kristo.
29W czem też pracuję, bojując według skutecznej mocy jego, która we mnie dzieło swoje potężnie sprawuje.
29Kwa madhumuni hayo mimi nafanya kazi na kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya Kristo ifanyayo kazi ndani yangu.