1Albowiem chcę, abyście wiedzieli jako wielką trudność mam o was i o tych, którzy są w Laodycei i którzykolwiek nie widzieli oblicza mego w ciele;
1Napenda mjue jinsi ninavyofanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa ajili ya watu wa Laodikea na kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona kwa macho.
2Aby pocieszone były serca ich, będąc spojone miłością, a to ku wszelkiemu bogactwu zupełnego i pewnego wyrozumienia, ku poznaniu tajemnicy Boga i Ojca, i Chrystusa,
2Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.
3W którym skryte są wszystkie skarby mądrości i umiejętności.
3Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.
4A toć mówię, aby was nikt fałszywemi dowodami nie oszukał przez wystawną mowę.
4Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana.
5Bo aczkolwiek nie jestem obecny ciałem, ale duchem jestem z wami, radując się i widząc porządek wasz i utwierdzenie wiary waszej w Chrystusa;
5Maana, ingawa mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo.
6Przetoż jakoście przyjęli Pana Jezusa Chrystusa, tak w nim chodźcie,
6Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano naye.
7Będąc wkorzenieni i wybudowani na nim, i utwierdzeni w wierze, jakoście się nauczyli, obfitując w niej z dziękowaniem.
7Mnapaswa kuwa na mizizi ndani yake, kujijenga juu yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele.
8Patrzcież, żeby was kto sobie w korzyść nie obrócił przez filozofiję i przez próżne oszukanie, ucząc według ustawy ludzkiej, według żywiołów świata, a nie według Chrystusa,
8Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa hekima ya kibinadamu, ambayo chanzo chake ni mafundisho ya mapokeo ya watu na ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe!
9Gdyż w nim mieszka wszystka zupełność bóstwa cieleśnie.
9Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,
10I jesteście w nim dopełnieni, który jest głową wszelkiego księstwa i zwierzchności,
10nanyi mmepewa uzima kamili katika kuungana naye. Yeye yuko juu ya pepo watawala wote na wakuu wote.
11W którym i obrzezani jesteście obrzezką nie ręką uczynioną, to jest, zewlekłszy ciało wszystkich grzechów ciała przez obrzezkę Chrystusową.
11Katika kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi.
12Pogrzebieni z nim będąc w chrzcie; w którymeście też społem z nim wzbudzeni przez wiarę, którą sprawuje Bóg, który go wzbudził od umarłych.
12Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka wafu.
13I was, gdyście byli umarłymi w grzechach i nieobrzezce ciała waszego, wespół z nim ożywił, odpuściwszy wam wszystkie grzechy.
13Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ninyi mlikuwa watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amewapa ninyi uzima pamoja na Kristo. Mungu ametusamehe dhambi zetu zote;
14Zmazawszy on, który był przeciwko nam, cyrograf w ustawach zależący, który nam był przeciwny, zniósł go z pośrodku, przybiwszy go do krzyża;
14alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.
15I złupiwszy księstwa i mocy, wiódł je na podziw, jawnie tryumfując z nich sam przez się.
15Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake.
16Niechajże was tedy nikt nie sądzi dla pokarmu, albo dla napoju; albo z strony święta, albo nowiu miesiąca, albo sabatów,
16Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi mpya au Sabato.
17Które są cieniem rzeczy przyszłych, ale prawdą jest ciało Chrystusowe.
17Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.
18Niechaj was nikt wygranego zakładu nie osądza, który się dobrowolnie w pokorę i w służbę Aniołów, których nie widział, wdaje, próżno się nadymając z umysłu ciała swego.
18Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia
19A nie trzymając się głowy Chrystusa, z którego wszystko ciało przez stawy i związania posiłek biorąc i wespół spojone będąc, rośnie wzrostem Bożym.
19na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.
20Jeźliście tedy umarli z Chrystusem żywiołom świata tego, przeczże się, jakobyście jeszcze żyli światu, ustawami bawicie?
20Ninyi mmekufa pamoja na Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:
21Mówią niektórzy: Nie dotykaj się, ani kosztuj, ani ruszaj;
21"Msishike hiki," "Msionje kile," "Msiguse kile!"
22Co wszystko kazi się samem używaniem, według przykazaó i nauk ludzkich;
22Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.
23Które mają kształt mądrości w nabożeóstwie dobrowolnie obranem i w pokorze, i w niefolgowaniu ciału; wszakże nie mają żadnej wagi, tylko do nasycenia ciała służą.
23Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.