1Bójmyż się tedy, aby snać zaniedbawszy obietnicy o wejściu do odpocznienia jego, nie zdał się kto z was być upośledzony.
1Mungu alituahidia kwamba tutaweza kupata pumziko hilo alilosema. Basi, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.
2Albowiem i nam zwiastowana jest Ewangielija jako i onym; ale im nie pomogło słowo, które słyszeli, przeto iż nie było złączone z wiarą tych, którzy słyszeli.
2Maana Habari Njema imehubiriwa kwetu kama vile ilivyohubiriwa kwa hao watu wa kale. Lakini ujumbe huo haukuwafaa chochote, maana waliusikia lakini hawakuupokea kwa imani.
3Albowiem wnijdziemy do odpocznienia, którzyśmy uwierzyli, jako powiedział: Przetożem przysiągł w gniewie moim, że nie wnijdą do odpocznienia mojego; choć dokonane są dzieła Boże od założenia świata.
3Basi, sisi tunaoamini tunapata pumziko hilo aliloahidi Mungu. Kama alivyosema: "Nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko." Mungu alisema hayo ingawa kazi yake ilikuwa imekwisha malizika tangu alipoumba ulimwengu.
4Albowiem tak powiedział na jednem miejscu o siódmym dniu: I odpoczął Bóg dnia siódmego od wszystkich spraw swoich.
4Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: "Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote."
5A tu zasię: Że nie wnijdą do odpocznienia mego.
5Tena jambo hili lasemwa pia: "Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko."
6Ponieważ tedy to zostaje, że niektórzy wchodzą do niego, a ci, którym pierwej zwiastowano, nie weszli dla niedowiarstwa,
6Wale waliotangulia kuhubiriwa Habari Njema hawakupata pumziko hilo kwa sababu hawakuamini. Wapo, basi, wengine ambao wangejaliwa kulipata.
7Zasię naznacza dzieó niektóry: Dziś, mówiąc przez Dawida po tak długim czasie (jako powiedziano): Dziś, jeźlibyście głos jego usłyszeli, nie zatwardzajcież serc waszych.
7Jambo hili ni wazi, kwani Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa "Leo". Miaka mingi baadaye Mungu alisema juu ya hiyo siku kwa maneno ya Daudi katika Maandiko yaliyokwisha tajwa: "Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu."
8Albowiem jeźliby im Jozue odpocznienie sprawił, nie mówiłby był potem o inszym dniu.
8Kama Yoshua angaliwapa watu hao hilo pumziko, Mungu hangalisema baadaye juu ya siku nyingine.
9A tak zostaje jeszcze odpocznienie ludowi Bożemu.
9Kwa hiyo, basi, bado lipo pumziko kwa watu wa Mungu kama kule kupumzika kwake Mungu siku ya saba.
10Albowiem ktobykolwiek wszedł do odpocznienia jego i on także odpoczął od spraw swoich, jako i Bóg od swoich.
10Maana, kila anayepata pumziko aliloahidi Mungu atapumzika baada ya kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika baada ya yake.
11Starajmyż się tedy, abyśmy weszli do onego odpocznienia, żeby kto nie wpadł w tenże przykład niedowiarstwa.
11Basi, tujitahidi kupata pumziko hilo, ili asiwepo yeyote miongoni mwenu atakayeshindwa, kama walivyofanya wao kwa sababu ya ukosefu wao wa imani.
12Boć żywe jest słowo Boże i skuteczne, i przeraźliwsze nad wszelki miecz po obu stronach ostry, i przenikające aż do rozdzielenia i duszy, i ducha, i stawów, i szpików, i rozeznawające myśli i zdania serdeczne.
12Neno la Mungu ni hai na lina nguvu; ni kali zaidi kuliko upanga wenye makali kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo viungo vya mwili na mafuta. Neno hilo huchambua nia na fikira za mioyo ya watu.
13A nie masz żadnego stworzenia, które by nie było jawne przed obliczem jego; owszem wszystkie rzeczy obnażone są i odkryte oczom tego, o którym mówimy.
13Hakuna kiumbe chochote kilichofichika mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake. Kwake, sisi sote tutapaswa kutoa hoja ya matendo yetu.
14Przetoż mając najwyższego kapłana wielkiego, który przeniknął niebiosa, Jezusa, Syna Bożego, trzymajmyż się tego wyznania.
14Basi, tunapaswa kuzingatia kwa uthabiti imani tunayoiungama. Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka kwa Mungu mwenyewe--Yesu, Mwana wa Mungu.
15Albowiem nie mamy najwyższego kapłana, który by nie mógł z nami cierpieć krewkości naszych, lecz skuszonego we wszystkiem na podobieóstwo nas, oprócz grzechu.
15Huyu Kuhani Mkuu wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga mkono katika unyonge wetu, ila ni Kuhani Mkuu ambaye alijaribiwa kama sisi kwa kila namna lakini hakutenda dhambi.
16Przystąpmyż tedy z ufnością do tronu łaski, abyśmy dostąpili miłosierdzia i łaskę znaleźli ku pomocy czasu przygodnego.
16Basi, na tukikaribie bila hofu kiti cha enzi cha Mungu, palipo na neema, ili tukajipatie huruma na neema ya kutusaidia wakati wa lazima.