Polish

Swahili: New Testament

Luke

2

1I stało się w one dni, że wyszedł dekret od cesarza Augusta, aby popisano wszystek świat.
1Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote chini ya utawala wake wajiandikishe.
2A ten popis pierwszy stał się, gdy Cyreneusz był starostą Syryjskim.
2Kuandikishwa huku kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Siria.
3I szli wszyscy, aby popisani byli, każdy do miasta swego.
3Basi, wote waliohusika walikwenda kujiandikisha, kila mtu katika mji wake.
4Wstąpił też i Józef z Galilei z miasta Nazaretu do ziemi Judzkiej, do miasta Dawidowego, które zowią Betlehem, (przeto iż on był z domu i z familii Dawidowej;)
4Yosefu pia alifanya safari kutoka mjini Nazareti mkoani Galilaya. Kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa Daudi alikwenda mjini Bethlehemu mkoani Yuda alikozaliwa Mfalme Daudi.
5Aby był popisany z Maryją, poślubioną sobie małżonką, która była brzemienną.
5Alikwenda kujiandikisha pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mja mzito.
6I stało się, gdy tam byli, wypełniły się dni, aby porodziła.
6Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,
7I porodziła syna swego pierworodnego; a uwinęła go w pieluszki, i położyła go w żłobie, przeto iż miejsca nie mieli w gospodzie.
7akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
8A byli pasterze w onej krainie w polu nocujący i straż nocną trzymający nad stadem swojem.
8Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
9A oto Anioł Paóski stanął podle nich, a chwała Paóska zewsząd oświeciła je, i bali się bojaźnią wielką.
9Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.
10I rzekł do nich Anioł: Nie bójcie się; bo oto zwiastuję wam radość wielką, która będzie wszystkiemu ludowi:
10Malaika akawaambia, "Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote.
11Iż się wam dziś narodził zbawiciel, który jest Chrystus Pan, w mieście Dawidowem.
11Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana.
12A to wam będzie za znak: znajdziecie niemowlątko uwinione w pieluszki, leżące w żłobie.
12Na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelazwa horini."
13A zaraz z onym Aniołem przybyło mnóstwo wojsk niebieskich, chwalących Boga i mówiących:
13Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika, wakamsifu Mungu wakisema:
14Chwała na wysokościach Bogu, a na ziemi pokój, w ludziach dobre upodobanie.
14"Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao!"
15I stało się, gdy odeszli Aniołowie od nich do nieba, że oniż pasterze rzekli jedni do drugich: Pójdźmyż aż do Betlehemu, a oglądajmy tę rzecz, która się stała, którą nam Pan oznajmił.
15Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: "Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha."
16A tak spiesząc się, przyszli i znaleźli Maryję i Józefa, i ono niemowlątko leżące w żłobie.
16Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini.
17I ujrzawszy rozsławili to, co im było powiedziano o tem dzieciątku.
17Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
18A wszyscy, którzy słyszeli, dziwowali się temu, co im pasterze powiadali.
18Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
19Lecz Maryja zachowywała wszystkie te słowa, uważając je w sercu swojem.
19Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.
20I wrócili się pasterze, wielbiąc i chwaląc Boga ze wszystkiego, co słyszeli i widzieli, tak jako im było powiedziano.
20Wale wachungaji walirudi makwao huku wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa yote waliyokuwa wamesikia na kuona; yote yalikuwa kama walivyokuwa wameambiwa.
21A gdy się wypełniło ośm dni, aby obrzezano ono dzieciątko, tedy imię jego nazwane jest Jezus, którem było nazwane od Anioła, pierwej niż się w żywocie poczęło.
21Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
22Gdy się też wypełniły dni oczyszczenia jej według zakonu Mojżeszowego, przynieśli go do Jeruzalemu, aby go stawili Panu,
22Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na Sheria ya Mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana.
23(Tak jako napisano w zakonie Paóskim: że wszelki mężczyzna, otwierający żywot, świętym Panu nazwany będzie.)
23Katika Sheria ya Bwana imeandikwa: "Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana."
24A żeby oddali ofiarę według tego, co powiedziano w zakonie Paóskim, parę synogarlic, albo dwoje gołąbiąt.
24Pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili au makinda wawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika Sheria ya Bwana.
25A oto był człowiek w Jeruzalemie, któremu imię było Symeon; a ten człowiek był sprawiedliwy i bogobojny, oczekujący pociechy Izraelskiej, a Duch Święty był nad nim.
25Wakati huo huko Yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha Mungu, jina lake Simeoni. Yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye.
26I obwieszczony był od Boga przez Ducha Świętego, że nie miał oglądać śmierci, ażby pierwej oglądał Chrystusa Paóskiego.
26Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Masiha wa Bwana.
27Ten przyszedł z natchnienia Ducha Świętego do kościoła; a gdy rodzice wnosili dzieciątko, Jezusa, aby uczynili według zwyczaju zakonnego przy nim.
27Basi, akiongozwa na Roho Mtakatifu, Simeoni aliingia Hekaluni; na wazazi wa Yesu walipomleta Hekaluni mtoto wao ili wamfanyie kama ilivyotakiwa na Sheria,
28Tedy on wziąwszy go na ręce swoje, chwalił Boga i mówił:
28Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu na kusema:
29Teraz puszczasz sługę twego, Panie! według słowa twego, w pokoju:
29"Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani.
30Gdyż oczy moje oglądały zbawienie twoje,
30Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu utokao kwako,
31Któreś zgotował przed obliczem wszystkich ludzi;
31ambao umeutayarisha mbele ya watu wote:
32Światłość ku objawieniu poganom, a chwałę ludu twego Izraelskiego.
32Mwanga utakaowaangazia watu wa mataifa, na utukufu kwa watu wako Israeli."
33A ojciec i matka jego dziwowali się temu, co powiadano o nim.
33Baba na mama yake Yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
34I błogosławił im Symeon, i rzekł do Maryi, matki jego: Oto ten położony jest na upadek i na powstanie wielu ich w Izraelu, i na znak, przeciw któremu mówić będą.
34Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, "Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu;
35(I twoję własną duszę miecz przeniknie,)aby myśli z wielu serc objawione były.
35na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. Nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako."
36A była Anna prorokini, córka Fanuelowa, z pokolenia Asser, która była bardzo podeszła w latach, i żyła siedm lat z mężem od panieóstwa swego.
36Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.
37A ta była wdową, około ośmdziesiąt i czterech lat; która nie wychodziła z kościoła, w postach i w modlitwach służąc Bogu w nocy i we dnie.
37Halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka themanini na minne. Wakati huo wote alikaa Hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana.
38Ta też onejże godziny nadszedłszy, wyznawała Pana, i mówiła o nim wszystkim, którzy oczekiwali odkupienia w Jeruzalemie.
38Saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru Mungu, na akaeleza habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wanatazamia ukombozi wa Yerusalemu.
39A tak wykonawszy wszystko według zakonu Paóskiego, wrócili się do Galilei, do miasta swego Nazaretu.
39Hao wazazi walipokwisha fanya yote yaliyoamriwa na Sheria ya Bwana, walirudi makwao Nazareti, mkoani Galilaya.
40A dzieciątko ono rosło, i umacniało się w Duchu, pełne będąc mądrości, a łaska Boża była nad niem.
40Mtoto akakua, akazidi kupata nguvu, akajaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa pamoja naye.
41A rodzice jego chadzali na każdy rok do Jeruzalemu na święto wielkanocne.
41Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya Pasaka.
42A gdy już był we dwunastym roku, a oni wstępowali do Jeruzalemu według zwyczaju onego święta;
42Mtoto alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
43I gdy skoóczyli one dni, a już się wracali nazad, zostało dziecię Jezus w Jeruzalemie, a tego nie wiedział Józef i matka jego.
43Baada ya sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari.
44Lecz mniemając, że jest w towarzystwie podróżnem, uszli dzieó drogi, i szukali go między krewnymi i między znajomymi.
44Walidhani alikuwa pamoja na kundi la wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na marafiki.
45A gdy go nie znaleźli, wrócili się do Jeruzalemu, szukając go,
45Kwa kuwa hawakumwona, walirudi Yerusalemu wakimtafuta.
46I stało się po trzech dniach, że go znaleźli siedzącego w kościele w pośrodku doktorów, słuchającego ich i pytającego ich.
46Siku ya tatu walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
47I zdumiewali się wszyscy, którzy go słuchali, nad rozumem i nad odpowiedziami jego.
47Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.
48A ujrzawszy go rodzice, zdumieli się. I rzekła do niego matka jego: Synu! przeczżeś nam to uczynił? Oto ojciec twój i ja z boleścią szukaliśmy cię.
48Wazazi wake walipomwona walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza, "Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni."
49I rzekł do nich: Cóż jest, żeście mię szukali? Izaliście nie wiedzieli, iż w tych rzeczach, które są Ojca mego, ja być muszę?
49Yeye akawajibu, "Kwa nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?"
50Lecz oni nie zrozumieli tego słowa, które im mówił.
50Lakini wazazi wake hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia.
51I zstąpił z nimi, i przyszedł do Nazaretu, a był im poddany. A matka jego zachowywała wszystkie te słowa w sercu swojem.
51Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote moyoni mwake.
52A Jezus pomnażał się w mądrości, i we wzroście i w łasce u Boga i u ludzi.
52Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.