Polish

Swahili: New Testament

Revelation

10

1I widziałem drugiego Anioła mocnego, zstępującego z nieba, obłokiem odzianego, a na głowie jego była tęcza, a oblicze jego jako słoóce, a nogi jego jako słupy ognia.
1Kisha nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu, na upinde wa mvua kichwani mwake. Uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake ilikuwa kama moto.
2A miał w ręce swojej książeczki otworzone i postawił nogę swoję prawą na morzu, a lewą na ziemi.
2Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari, na wa kushoto juu ya nchi kavu,
3I zawołał głosem wielkim, jako lew ryczy; a gdy przestał wołać, mówiło siedm gromów głosy swoje.
3na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo.
4A gdy odmówiło siedm gromów głosy swoje, miałem pisać; alem usłyszał głos z nieba, mówiący do mnie: Zapieczętuj to, co mówiło siedm gromów, a nie pisz tego.
4Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: "Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!"
5Tedy Anioł, któregom widział stojącego na morzu i na ziemi, podniósł rękę swoję ku niebu,
5Kisha yule malaika niliyemwona akisimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu akainua mkono wake wa kulia juu mbinguni,
6I przysiągł przez Żyjącego na wieki wieków, który stworzył niebo i to, co w niem jest, i ziemię, i to, co na niej jest, i morze, i to, co w niem jest, że czasu już nie będzie.
6akaapa kwa jina la Mungu aishiye milele na milele, Mungu aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo. Akasema, "Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha!
7Ale we dni głosu Anioła siódmego, gdy będzie trąbił, dokona się tajemnica Boża, jako opowiedział sługom swoim prorokom.
7Lakini wakati ule malaika wa saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake, Mungu atakamilisha mpango wake wa siri kama alivyowatangazia watumishi wake manabii."
8A głos, którym słyszał z nieba, zasię mówił ze mną i rzekł: Idź, a weźmij te książeczki otworzone z ręki Anioła stojącego na morzu i na ziemi.
8Kisha ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni pale awali ikasema nami tena: "Nenda ukakichukue kile kitabu kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika asimamaye juu ya bahari na juu ya nchi kavu."
9I szedłem do Anioła, i rzekłem mu: Daj mi te książeczki. I rzekł mi: Weźmij, a zjedz je, a uczynią gorzkość w brzuchu twoim; ale w ustach twoich słodkie będą jako miód.
9Basi, nikamwendea huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye akaniambia, "Kichukue, ukile; kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali, lakini tumboni kitakuwa kichungu!"
10I wziąłem książeczki z ręki Anioła i zjadłem je, a były w ustach moich słodkie jako miód; ale gdym je zjadł, gorzko było w brzuchu moim.
10Basi, nikakichukua kitabu hicho kidogo kutoka mkononi mwa huyo malaika, nikakila; nacho kilikuwa kitamu kinywani mwangu kama asali, lakini nilipokimeza kikawa kichungu tumboni mwangu.
11I rzekł mi: Musisz zasię prorokować przed wielą ludzi i narodów, i języków, i królów.
11Kisha nikaambiwa, "Inakubidi tena kutangaza ujumbe wa Mungu kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!"