1Bracia! przychylna wola serca mego i modlitwa, którą czynię do Boga za Izraelem, jestci ku zbawieniu.
1Ndugu zangu, ninataka na kutazamia kwa moyo wangu wote hao wananchi wenzangu wakombolewe. Tena nawaombea kwa Mungu daima.
2Albowiem daję im świadectwo, iż gorliwość ku Bogu mają, ale nie według wiadomości.
2Maana naweza kuthibitisha kwa niaba yao kwamba wanayo bidii ya kumtafuta Mungu; lakini bidii hiyo haikujengwa juu ya ujuzi wa kweli.
3Bo nie znając sprawiedliwości Bożej, a chcąc własną sprawiedliwość wystawić, sprawiedliwości Bożej nie byli poddani.
3Maana hawakufahamu jinsi Mungu anavyowafanya watu wawe waadilifu, na wamejaribu kuanzisha mtindo wao wenyewe, na hivyo hawakuikubali njia hiyo ya Mungu ya kuwafanya wawe waadilifu.
4Albowiem koniec zakonu jest Chrystus ku sprawiedliwości każdemu wierzącemu.
4Maana kwa kuja kwake Kristo, Sheria imefikia kikomo chake, ili kila mtu anayeamini akubaliwe kuwa mwadilifu.
5Gdyż Mojżesz pisze o sprawiedliwości, która jest z zakonu, iż ktobykolwiek te rzeczy czynił, przez nie żyć będzie.
5Kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, Mose aliandika hivi: "Mtu yeyote anayetimiza matakwa ya Sheria ataishi."
6Ale sprawiedliwość, która jest z wiary, tak mówi: Nie mów w sercu swem: Kto wstąpi na niebo? to jest Chrystusa na dół sprowadzić:
6Lakini, kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa njia ya imani, yasemwa hivi: "Usiseme moyoni mwako: Nani atapanda mpaka mbinguni? (yaani, kumleta Kristo chini);
7Albo kto zstąpi do przepaści? to jest Chrystusa od umarłych wyprowadzić.
7wala usiseme: Nani atashuka mpaka Kuzimu (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu)."
8Ale (Mojżesz) cóż mówi: Blisko ciebie jest słowo w ustach twoich i w sercu twojem. Toć jest słowo wiary, które opowiadamy:
8Maandiko Matakatifu yesema hivi, "Ujumbe huo wa Mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.
9Że jeźlibyś usty wyznał Pana Jezusa i uwierzyłbyś w sercu twojem, że go Bóg z martwych wzbudził, zbawiony będziesz.
9Kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka wafu, utaokoka.
10Albowiem sercem wierzono bywa ku sprawiedliwości, ale się usty wyznanie dzieje ku zbawieniu.
10Maana tunaamini kwa moyo na kukubaliwa kuwa waadilifu; na tunakiri kwa midomo yetu na kuokolewa.
11Bo Pismo mówi: Wszelki, kto w niego wierzy, nie będzie pohaóbiony;
11Maandiko Matakatifu yasema: "Kila amwaminiye hatakuwa na sababu ya kuaibika."
12Gdyż nie masz różności między Żydem i Grekiem; bo tenże Pan wszystkich, bogaty jest ku wszystkim, którzy go wzywają.
12Jambo hili ni kwa wote, kwani hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi; Bwana wa wote ni mmoja, naye ni mkarimu sana kwao wote wamwombao.
13Każdy bowiem, kto by wzywał imienia Paóskiego, zbawiony będzie.
13Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa."
14Jakoż tedy wzywać będą tego, w którego nie uwierzyli? a jako uwierzą w tego, o którym nie słyszeli? a jako usłyszą bez kaznodziei?
14Basi, watamwombaje yeye ambaye hawamwamini? Tena, watamwaminije kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri?
15Jakoż też będą kazać, jeźliby nie byli posłani? Jako napisano: O jako śliczne są nogi tych, którzy opowiadają pokój, tych, którzy opowiadają dobre rzeczy.
15Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!"
16Aleć nie wszyscy posłuszni byli Ewangielii; albowiem Izajasz mówi: Panie! któż uwierzył kazaniu naszemu?
16Lakini wote hawakuipokea hiyo Habari Njema. Maana Isaya alisema: "Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?"
17Wiara tedy jest z słuchania, a słuchanie przez słowo Boże.
17Hivyo basi, imani inatokana na kuusikiliza ujumbe, na huo ujumbe unatokana na neno la Kristo.
18Ale mówię: Izali nie słyszeli? i owszem na wszystkę ziemię wyszedł głos ich i na koóczyny okręgu ziemi słowa ich.
18Lakini nauliza: je, hawakuusikia huo ujumbe? Naam, waliusikia; kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Sauti yao imeenea duniani kote; maneno yao yamefika mpaka kingo za ulimwengu."
19Ale mówię: Izali tego nie poznał Izrael? Pierwszy Mojżesz mówi: Ja was do zawiści pobudzę przez naród, który nie jest narodem, przez naród nierozumny rozdrażnię was.
19Tena nauliza: je, yawezekana kwamba watu wa Israeli hawakufahamu? Mose mwenyewe ni kwa kwanza kujibu: "Nitawafanyeni mwaonee wivu watu ambao si taifa; nitawafanyeni muwe na hasira juu ya taifa la watu wapumbavu."
20A Izajasz śmiałości używając mówi: Jestem znaleziony od tych, którzy mnie nie szukali, i jestem objawiony tym, którzy się o mnie nie pytali.
20Tena Isaya anathubutu hata kusema: "Wale ambao hawakunitafuta wamenipata; nimejionyesha kwao wasiouliza habari zangu."
21Ale przeciwko Izraelowi mówi: Cały dzieó wyciągałem ręce moje do ludu upornego i sprzeciwiającego się.
21Lakini kuhusu Israeli anasema: "Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii."