1Prawdę mówię w Chrystusie, a nie kłamię, w czem mi poświadcza sumienie moje przez Ducha Świętego:
1Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
2Że mam wielki smutek i nieustawający ból w sercu mojem.
2Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
3Albowiem żądałbym sam, abym się stał odłączonym od Chrystusa za braci moich, za pokrewnych moich według ciała.
3kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.
4Którzy są Izraelczycy, których jest przysposobienie synowskie i chwała, i przymierza, i zakonu danie, i służba Boża, i obietnice;
4Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
5Których są ojcowie i z których poszedł Chrystus ile według ciała, który jest nad wszystkimi Bóg błogosławiony na wieki. Amen.
5Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina.
6Lecz nie można, żeby miało upaść słowo Boże; albowiem nie wszyscy, którzy są z Izraela, są Izraelem;
6Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu.
7Ani iż są nasieniem Abrahamowem, wszyscy są dziećmi; ale rzeczono: W Izaaku będzie tobie nazwane nasienie;
7Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Wazao wake watatokana na Isaka."
8To jest, nie dzieci ciała są dziećmi Bożymi; ale dzieci obietnicy bywają w nasienie policzone.
8Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake.
9Albowiem obietnicy słowo to jest: O tym właśnie czasie przyjdę, a Sara będzie miała syna;
9Maana ahadi yenyewe ni hii: "Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto."
10A nie tylko to, ale i Rebeka, gdy z jednego ojca naszego Izaaka brzemienną została.
10Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu.
11Gdy się jeszcze były dziatki nie narodziły, ani co dobrego albo złego uczyniły, aby się ostało postanowienie Boże według wybrania, nie z uczynków, ale z tego, który powołuje,
11Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,
12Rzeczono jej, że większy będzie służył mniejszemu;
12Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
13Jako napisano: Jakóbam umiłował, alem Ezawa miał w nienawiści.
13Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia."
14Cóż tedy rzeczemy? Jestże niesprawiedliwość u Boga? Nie daj tego Boże!
14Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!
15Albowiem do Mojżesza mówi: Zmiłuję się, nad kim się zmiłuję; a zlituję się, nad kim się zlituję.
15Maana alimwambia Mose: "Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka."
16A przetoż nie zależy na tym co chce, ani na tym, co bieży, ale na Bogu, który się zmiłowywa.
16Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
17Albowiem mówi Pismo do Faraona: Na tom cię samo wzbudził, abym okazał moc moję na tobie, a iżby opowiadane było imię moje po wszystkiej ziemi.
17Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: "Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani."
18A tak nad kim chce, zmiłowywa się, a kogo chce, zatwardza.
18Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
19Ale mi rzeczesz: Przeczże się jeszcze uskarża? bo któż się sprzeciwił woli jego?
19Labda utaniuliza: "Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?"
20I owszem, o człowiecze! któżeś ty jest, który spór wiedziesz z Bogiem? Izali lepianka rzecze lepiarzowi: Przeczżeś mię tak uczynił?
20Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: "Kwa nini umenitengeneza namna hii?"
21Izali nie ma mocy garncarz nad gliną, żeby z tejże gliny uczynił jedno naczynie ku uczciwości, a drugie ku zelżywości?
21Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
22A jeźliż Bóg chcąc okazać gniew i znajomą uczynić możność swoję, znosił w wielkiej cierpliwości naczynia gniewu na zginienie zgotowane,
22Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa.
23A iżby znajome uczynił bogactwo chwały swojej nad naczyniem miłosierdzia, które zgotował ku chwale;
23Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.
24Których i powołał, to jest nas, nie tylko z Żydów, ale i z poganów.
24Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
25Jako też u Ozeasza mówi: Nazwię lud, który nie był moim, ludem moim, a onę, która nie była umiłowaną, nazwię umiłowaną.
25Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: "Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu!
26I stanie się, że na tem miejscu, gdzie im mawiano: Nie jesteście wy ludem moim, tam nazwani będą synami Boga żywego.
26Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai."
27A Izajasz woła nad Izraelem, mówiąc: Choćby liczba synów Izraelskich była jako piasek morski, ostatki zachowane będą.
27Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: "Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa;
28Albowiem sprawę skoóczy i skróci w sprawiedliwości; sprawę zaiste skróconą uczyni Pan na ziemi.
28maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote."
29I jako przedtem powiedział Izajasz: By nam był Pan zastępów nie zostawił nasienia, bylibyśmy się stali jako Sodoma i Gomorze bylibyśmy podobni.
29Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: "Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora."
30Cóż tedy rzeczemy? To, iż poganie, którzy nie szukali sprawiedliwości, dostąpili sprawiedliwości, a sprawiedliwości, która jest z wiary.
30Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani,
31A Izrael szukając zakonu sprawiedliwości, nie doszedł zakonu sprawiedliwości.
31hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata.
32Dlaczegoż? Iż nie z wiary, ale jako z uczynków zakonu jej szukali; albowiem się obrazili o kamieó obrażenia,
32Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33Jako napisano: Oto kładę w Syonie kamieó obrażenia i opokę otrącenia, a wszelki, który w niego wierzy, nie będzie pohaóbiony.
33kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: "Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!"