Polish

Swahili: New Testament

Romans

3

1Czemże tedy zacniejszy Żyd? albo co za pożytek obrzezki?
1Basi, Myahudi ana nini zaidi kuliko watu wengine? Au kutahiriwa kuna faida gani?
2Wielki z każdej miary. Albowiem to najpierwsza, iż im zwierzone były wyroki Boże.
2Naam, iko faida kwa kila upande. Kwanza, Mungu aliwakabidhi Wayahudi ujumbe wake.
3Bo cóż na tem, jeźli niektórzy nie uwierzyli? Azaż niedowiarstwo ich niszczy wiarę Bożą?
3Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu?
4Nie daj tego Boże! I owszem niech Bóg będzie prawdziwy, a wszelki człowiek kłamcą, jako napisano: A abyś był usprawiedliwiony w mowach twoich, a żebyś zwyciężył, gdybyś sądził.
4Hata kidogo! Mungu hubaki mwaminifu daima, ingawaje kila binadamu ni mwongo. Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Kila usemapo, maneno yako ni ya haki; na katika hukumu, wewe hushinda."
5Jeźli tedy niesprawiedliwość nasza Bożą sprawiedliwość zaleca, cóż rzeczemy? Azaż niesprawiedliwy jest Bóg, który gniew przywodzi? (Po ludzku mówię.)
5Lakini, ikiwa uovu wetu unathibitisha kwamba Mungu anatenda kwa haki, tutasema nini? Je, tutasema kwamba anakosa haki akituadhibu? (Hapa naongea kibinadamu).
6Nie daj tego Boże! albowiem jakożby Bóg sądził świat?
6Hata kidogo! Ingekuwa hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu?
7Bo jeźli prawda Boża przez moje kłamstwo obfitowała ku chwale jego, czemuż jeszcze i ja bywam sądzony jako grzesznik?
7Labda utasema: "Ikiwa ukosefu wa uaminifu kwa upande wangu unamdhihirisha Mungu kuwa mwaminifu zaidi na hivyo kumpatia utukufu, basi singepaswa kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi!"
8A nie raczej tak mówimy: (jako nas szkalują i jako niektórzy udawają, żebyśmy mówili:) Będziemy czynić złe rzeczy, aby przyszły dobre? Których potępienie jest sprawiedliwe.
8Ni sawa na kusema: tufanye maovu ili tupate mema! Ndivyo wengine walivyotukashifu kwa kutushtaki kwamba tumefundisha hivyo. Watahukumiwa wanavyostahili!
9Cóż tedy? Mamyż nad nie? Żadnym sposobem; gdyżeśmy przedtem dowiedli, że Żydowie i Grekowie, wszyscy są pod grzechem,
9Tuseme nini, basi? Je, sisi Wayahudi ni bora zaidi kuliko wengine? Hata kidogo! Kwa maana nimekwisha bainisha hapo mwanzoni kwamba Wayahudi na watu wa mataifa mengine wote wako chini ya utawala wa dhambi.
10Jako napisano: Nie masz sprawiedliwego ani jednego;
10Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!
11Nie masz rozumnego i nie masz, kto by szukał Boga.
11Hakuna mtu anayeelewa, wala anayemtafuta Mungu.
12Wszyscy się odchylili, wespół się stali nieużytecznymi, nie masz kto by czynił dobre, nie masz aż do jednego.
12Wote wamepotoka wote wamekosa; hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.
13Grobem otworzonym jest gardło ich, językami swemi zdradzali, jad żmiji pod wargami ich.
13Makoo yao ni kama kaburi wazi, ndimi zao zimejaa udanganyifu, midomoni mwao mwatoka maneno yenye sumu kama ya nyoka.
14Których usta napełnione są przeklinania i gorzkości;
14Vinywa vyao vimejaa laana chungu.
15Nogi ich prędkie są ku wylewaniu krwi;
15Miguu yao iko mbioni kumwaga damu,
16Skruszenie z biedą w drogach ich,
16popote waendapo husababisha maafa na mateso;
17A drogi pokoju nie poznali;
17njia ya amani hawaijui.
18Nie masz bojaźni Bożej przed oczami ich.
18Hawajali kabisa kumcha Mungu."
19A wiemy, iż cokolwiek zakonowi mówi, tym którzy są pod zakonem, mówi, aby wszelkie usta były zatulone i aby wszystek świat podlegał karaniu Bożemu.
19Tunajua kwamba Sheria huwahusu walio chini ya Sheria hiyo, hata hawawezi kuwa na kisingizio chochote, na ulimwengu wote uko chini ya hukumu ya Mungu.
20Przeto z uczynków zakonu nie będzie usprawiedliwione żadne ciało przed oblicznością jego, gdyż przez zakon jest poznanie grzechu.
20Maana hakuna binadamu yeyote anayekubaliwa kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuishika Sheria; kazi ya Sheria ni kumwonyesha tu mtu kwamba ametenda dhambi.
21Lecz teraz bez zakonu sprawiedliwość Boża objawiona jest, mająca świadectwo z zakonu i z proroków;
21Lakini sasa, njia ya Mungu ya kuwakubali watu kuwa waadilifu imekwisha dhihirishwa, tena bila kutegemea Sheria. Sheria na manabii hushuhudia jambo hili.
22Sprawiedliwość, mówię, Boża przez wiarę Jezusa Chrystusa ku wszystkim i na wszystkie wierzące; boć różności nie masz.
22Mungu huwakubali watu kuwa waadilifu kwa njia ya imani yao kwa Yesu Kristo; Mungu hufanya hivyo kwa wote wanaoamini; hakuna ubaguzi wowote.
23Albowiem wszyscy zgrzeszyli i nie dostaje im chwały Bożej.
23Watu wote wametenda dhambi na wametindikiwa utukufu wa Mungu.
24A bywają usprawiedliwieni darmo z łaski jego przez odkupienie, które się stało w Chrystusie Jezusie.
24Lakini kwa zawadi ya neema ya Mungu, watu wote hukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Yesu Kristo anayewakomboa.
25Którego Bóg wystawił ubłaganiem przez wiarę we krwi jego, ku okazaniu sprawiedliwości swojej przez odpuszczenie przedtem popełnionych grzechów w cierpliwości Bożej,
25Mungu alimtoa Yesu kusudi, kwa damu yake, awe njia ya kuwaondolea watu dhambi zao kwa imani yao kwake. Alifanya hivyo ili apate kuonyesha kwamba yeye ni mwadilifu. Hapo zamani Mungu alikuwa mvumilivu bila kuzijali dhambi za watu;
26Ku okazaniu sprawiedliwości swojej w teraźniejszym czasie, na to, aby on był sprawiedliwym i usprawiedliwiającym tego, który jest z wiary Jezusowej.
26lakini sasa, wakati huu, anazikabili dhambi za watu apate kuonyesha uadilifu wake. Kwa namna hiyo Mungu mwenyewe huonyesha kwamba yeye ni mwadilifu na kwamba humkubali kuwa mwadilifu mtu yeyote anayemwamini Yesu.
27Gdzież tedy jest chluba? Odrzucona jest. Przez któryż zakon? Czyli uczynków? Nie, ale przez zakon wiary.
27Basi, tunaweza kujivunia nini? Hakuna! Kwa nini? Je, kwa sababu ya kutimiza Sheria? La! Bali kwa sababu tunaamini.
28Przetoż mamy za to, że człowiek bywa usprawiedliwiony wiarą bez uczynków zakonu.
28Maana mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa imani, wala si kwa kutimiza matakwa ya Sheria.
29Izali Bóg jest tylko Bogiem Żydów? izali też nie pogan? Zaiste i pogan.
29Au je, Mungu nu Mungu wa Wayahudi tu, ama pia wa watu wa mataifa mengine? Naam, wa mataifa mengine pia.
30Ponieważ jeden jest Bóg, który usprawiedliwi obrzezkę z wiary i nieobrzezkę przez wiarę.
30Mungu ni mmoja, naye atawakubali Wayahudi kuwa waadilifu kwa imani yao, na watu wa mataifa mengine pia kwa imani yao.
31To tedy zakon niszczymy przez wiarę? Nie daj tego Boże! i owszem zakon stanowimy.
31Je, tunaitumia imani kuibatilisha Sheria? Hata kidogo; bali tunaipa Sheria thamani yake kamili.