1Cóż tedy, rzeczemy, znalazł Abraham, ojciec nasz według ciała?
1Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?
2Bo jeźli Abraham z uczynków jest usprawiedliwiony, ma się czem chlubić, ale nie u Boga.
2Kama Abrahamu alikubaliwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo yake, basi, anacho kitu cha kujivunia mbele ya Mungu.
3Albowiem cóż Pismo mówi? Uwierzył Abraham Bogu i przyczytano mu to za sprawiedliwość.
3Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: "Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu."
4A robiącemu zapłata nie bywa przyczytana podług łaski, ale podług długu;
4Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.
5Nie robiącemu zaś, lecz wierzącemu w tego, który usprawiedliwia niepobożnego, przyczytana bywa wiara jego za sprawiedliwość.
5Lakini mtu asiyetegemea matendo yake mwenyewe, bali anamwamini Mungu ambaye huwasamehe waovu, basi, Mungu huijali imani ya mtu huyo, na hivi humkubali kuwa mwadilifu.
6Jako i Dawid powiada, że błogosławieóstwo człowieka jest, któremu Bóg przyczyta sprawiedliwość bez uczynków, mówiąc:
6Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake:
7Błogosławieni, których odpuszczone są nieprawości, a których zakryte są grzechy;
7"Heri wale waliosamehewa makosa yao ambao makosa yao yamefutwa.
8Błogosławiony mąż, któremu Pan grzechu nie przyczyta.
8Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu."
9To tedy błogosławieóstwo tylko na obrzezkę przychodzi, czy też na nieobrzezkę? Gdyż mówimy, iż wiara Abrahamowi jest przyczytana za sprawiedliwość.
9Je, hiyo ni kwa wale waliotahiriwa tu, ama pia kwa wale wasiotahiriwa? Ni kwa wale wasiotahiriwa pia. Kwa maana tumekwisha sema: "Abrahamu aliamini, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu."
10Jakoż mu tedy jest przyczytano? Gdy był w obrzezce, czyli w nieobrzezce? Nie w obrzezce, ale w nieobrzezce.
10Je, Abrahamu alikubaliwa kabla ya kutahiriwa ama baada ya kutahiriwa? Kabla ya kutahiriwa, na si baada ya kutahiriwa.
11I przyjął znak obrzezki za pieczęć sprawiedliwości onej wiary, która była w nieobrzezce, na to, aby był ojcem wszystkich wierzących w nieobrzezce, aby i onym przyczytana była sprawiedliwość;
11Abrahamu alitahiriwa baadaye, na kutahiriwa huko kulikuwa alama iliyothibitisha kwamba Mungu alimkubali kuwa mwadilifu kwa sababu ya imani yake aliyokuwa nayo kabla ya kutahiriwa. Kwa hiyo, Abrahamu amekuwa baba wa wale wote ambao, ingawa hawakutahiriwa, wamemwamini Mungu, wakafanywa waadilifu.
12I aby był ojcem obrzezki, nie tylko tych, którzy są z obrzezki, ale też i tych, którzy chodzą stopami wiary ojca naszego Abrahama, która była w nieobrzezce.
12Vilevile yeye ni baba wa wale waliotahiriwa; lakini si kwa kuwa wametahiriwa, bali kwa sababu wanafuata njia ileile ya imani baba yetu Abrahamu aliyofuata kabla ya kutahiriwa.
13Albowiem nie przez zakon się stała obietnica Abrahamowi albo nasieniu jego, aby był dziedzicem świata, ale przez sprawiedliwość wiary.
13Mungu alimwahidi Abrahamu na wazawa wake kwamba ulimwengu ungekuwa mali yao. Ahadi hiyo haikufanywa kwa sababu Abrahamu aliitii Sheria, bali kwa kuwa aliamini, akakubaliwa kuwa mwadilifu.
14Bo jeźli ci, którzy są z zakonu, dziedzicami są, tedyć zniszczała wiara i wniwecz się obróciła obietnica.
14Maana kama watakaopewa hayo aliyoahidi Mungu ni wale tu wanaoitii Sheria, basi, imani haina maana yoyote, nayo ahadi ya Mungu si kitu.
15Gdyż zakon gniew sprawuje; albowiem gdzie zakonu nie masz, tam ani przestępstwa.
15Sheria husababisha ghadhabu; lakini kama hakuna Sheria, haiwezekani kuivunja.
16Przetoż z wiary jest dziedzictwo, aby było z łaski, i żeby była warowna obietnica wszystkiemu nasieniu, nie tylko temu, które jest z zakonu, ale i temu, które jest z wiary Abrahamowej, który jest ojcem nas wszystkich;
16Kwa sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo kwamba ahadi hiyo yatokana na neema ya Mungu, na kwamba ni hakika kuwa ahadi hiyo ni kwa ajili ya wote: si kwa wale tu wanaoishika Sheria, bali pia kwa wale waishio kwa imani kama Abrahamu. Yeye ni baba yetu sisi sote.
17(Jako napisano: Ojcem wielu narodów wystawiłem cię) przed Bogiem, któremu uwierzył, który ożywia umarłe i który przywołuje te rzeczy, których nie masz, i jakoby były.
17Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi." Ahadi hiyo ni kweli mbele ya Mungu ambaye Abrahamu alimwamini--Mungu ambaye huwapa wafu uzima, na kwa amri yake, vitu ambavyo havikuwapo huwa.
18Który (Abraham) przeciwko nadziei w nadzieję uwierzył, że się stanie ojcem wielu narodów według tego, co mu powiedziano: Tak będzie nasienie twoje.
18Abrahamu aliamini na kutumaini ingawa hali yenyewe ilikuwa bila matumaini, na hivyo amekuwa baba wa mataifa mengi kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Wazao wako watakuwa wengi kama nyota!"
19A nie będąc słabym w wierze, nie patrzył na ciało swoje już obumarłe, mając około stu lat, ani na obumarły żywot Sary.
19Alikuwa mzee wa karibu miaka mia moja, lakini imani yake haikufifia ingawa alijua kwamba mwili wake ulikuwa kama umekufa, na pia mkewe, Sara, alikuwa tasa.
20O obietnicy tedy Bożej nie wątpił z niedowiarstwa; ale się umocnił wiarą i dał chwałę Bogu,
20Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu.
21Będąc też tego pewien, że cokolwiek on obiecał, mocen jest i uczynić.
21Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi.
22Przetoż przyczytano mu to za sprawiedliwość.
22Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.
23A nie napisano tego dla niego samego, iż mu to przyczytano,
23Inaposemwa, "Alimkubali," haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.
24Ale i dla nas, którym ma być przyczytano, którzy wierzymy w tego, który wzbudził Jezusa, Pana naszego, z martwych;
24Jambo hili linatuhusu sisi pia ambao tunamwamini Mungu aliyemfufua Yesu, Bwana wetu, kutoka wafu.
25Który wydany jest dla grzechów naszych, a wstał z martwych dla usprawiedliwienia naszego.
25Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na Mungu.