1Będąc tedy usprawiedliwieni z wiary, pokój mamy z Bogiem przez Pana naszego Jezusa Chrystusa;
1Sasa, kwa vile tumekubaliwa kuwa wadilifu kwa imani, basi, tunayo amani na Mungu kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo.
2Przez któregośmy też przystęp otrzymali wiarą ku łasce, w której stoimy i chlubimy się nadzieją chwały Bożej.
2Kwa imani yetu, yeye ametuleta katika hali hii ya neema ya Mungu ambamo sasa tunaishi. Basi, tunajivunia tumaini tulilo nalo la kushiriki utukufu wa Mungu.
3A nie tylko to, ale się też chlubimy z ucisków, wiedząc, iż ucisk cierpliwość sprawuje,
3Naam, si hayo tu, bali tunafurahi pia katika taabu tukijua kwamba taabu huleta saburi,
4A cierpliwość doświadczenie, a doświadczenie nadzieję,
4nayo saburi huleta uthabiti, na uthabiti huleta tumaini.
5A nadzieja nie pohaóbia, przeto iż miłość Boża rozlana jest w sercach naszych przez Ducha Świętego, który nam jest dany.
5Tumaini hilo haliwezi kutuhadaa, maana Mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetujalia.
6Albowiem Chrystus, gdy jeszcze byliśmy mdłymi, według czasu umarł za niepobożne.
6Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu.
7Choć ledwie by kto umarł za sprawiedliwego; wszakże za dobrego snaćby się kto umrzeć ważył.
7Si rahisi mtu kufa kwa ajili ya mtu mwadilifu; labda mtu anaweza kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.
8Lecz zaleca Bóg miłość swoję ku nam, że gdy jeszcze byliśmy grzesznymi, Chrystus za nas umarł.
8Lakini Mungu amethibitisha kwamba anatupenda, maana wakati tulipokuwa bado wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.
9Daleko tedy więcej teraz usprawiedliwieni będąc krwią jego, zachowani będziemy przez niego od gniewu.
9Kwa kuwa sasa tumekubaliwa kuwa waadilifu kwa damu ya Kristo, ni dhahiri zaidi kwamba atatuokoa katika ghadhabu ya Mungu.
10Bo jeźliże będąc nieprzyjaciołmi, pojednaniśmy z Bogiem przez śmierć Syna jego; daleko więcej będąc pojednani, zachowani będziemy przez żywot jego.
10Maana, tulipokuwa bado adui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile sasa tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uzima wa Kristo.
11A nie tylko to, ale się też chlubimy Bogiem przez Pana naszego Jezusa Chrystusa, przez któregośmy teraz pojednanie otrzymali.
11Wala si hayo tu, ila tunafurahi pia katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha na Mungu.
12Przetoż jako przez jednego człowieka grzech wszedł na świat, a przez grzech śmierć; tak też na wszystkich ludzi śmierć przyszła, ponieważ wszyscy zgrzeszyli.
12Kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
13Albowiem aż do zakonu grzech był na świecie; ale grzech nie bywa przyczytany, gdy zakonu nie masz.
13Kabla ya Sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.
14Lecz śmierć królowała od Adama aż do Mojżesza i nad tymi, którzy nie zgrzeszyli, na podobieóstwo przestępstwa Adamowego, który jest wzorem onego, który miał przyjść.
14Lakini tangu wakati wa Adamu mpaka wakati wa Mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi kama ile ya Adamu, ya kumwasi Mungu. Adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye atakuja baadaye.
15Ale nie jako upadek, tak i dar z łaski; albowiem jeźli przez upadek jednego wiele ich pomarło, daleko więcej łaska Boża i dar z łaski onego jednego człowieka Jezusa Chrystusa na wiele ich opływała.
15Lakini ipo tofauti: neema ya Mungu si kama dhambi ya Adamu. Maana, ingawa dhambi ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili ya mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, Mungu amewazidishia wote neema na zawadi zake.
16A dar nie jest taki, jako to, co przyszło przez jednego, który zgrzeszył. Albowiem wina jest z jednego upadku ku potępieniu, ale dar z łaski z wielu upadków ku usprawiedliwieniu.
16Kuna tofauti baina ya zawadi ya Mungu, na dhambi ya mtu yule mmoja. Maana, baada ya kosa la mtu mmoja, Mungu alitoa hukumu; lakini baada ya makosa ya watu wengi, Mungu aliwapa zawadi yake kwa kuwasamehe.
17Albowiem jeźli dla jednego upadku śmierć królowała przez jednego, daleko więcej, którzy obfitość onej łaski i dar sprawiedliwości przyjmują, w żywocie królować będą przez tegoż jednego Jezusa Chrystusa.
17Kweli, kwa dhambi ya mtu mmoja kifo kilianza kutawala kwa sababu ya huyo mtu mmoja; lakini, ni dhahiri zaidi kwamba alichokifanya yule mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, ni bora zaidi. Wote wanaopokea neema na zawadi hiyo ya kukubaliwa kuwa waadilifu, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mmoja, yaani Yesu Kristo.
18Przetoż tedy jako przez jednego upadek na wszystkich ludzi przyszła wina ku potępieniu; tak też przez jednego usprawiedliwienie na wszystkich ludzi przyszedł dar ku usprawiedliwieniu żywota.
18Basi, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta hukumu kwa binadamu wote, kadhalika kitendo kimoja kiadilifu kinawapa uhuru na uzima.
19Bo jako przez nieposłuszeóstwo jednego człowieka wiele się ich stało grzesznymi; tak przez posłuszeóstwo jednego człowieka wiele się ich stało sprawiedliwymi.
19Na kama kwa kutotii kwa mtu mmoja watu wengi walifanywa wenye dhambi, kadhalika kutii kwa mtu mmoja kutawafanya wengi wakubaliwe kuwa waadilifu.
20A zakon przytem nastąpił, aby obfitował grzech; lecz gdzie się grzech rozmnożył, tam łaska tem więcej obfitowała.
20Sheria ilitokea, ikasababisha kuongezeka kwa uhalifu; lakini pale dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi.
21Aby jako grzech królował ku śmierci, tak też aby łaska królowała przez sprawiedliwość ku żywotowi wiecznemu przez Jezusa Chrystusa, Pana naszego.
21Kama vile dhambi ilivyotawala kwa kifo, kadhalika neema inatawala kwa njia ya uadilifu, na kuleta uzima wa milele kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu.