Romani: New Testament

Swahili: New Testament

1 Corinthians

1

1O Pavlo, akhardo te avel apostle le Jesus Kristosko katar e voia le Devleski, ai o phral Sostenes.
1Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene,
2La khangeriaki le Devleski kai si ande Corinth, kodolenge kai sas swuntsome ando Jesus Kristo, akharde te aven Swuntse, ai sa kodola kai si ande swako than ande vari savo than, phenen o anav amaro Devlesko Jesus Kristo, lengo Del si ai amare Del si.
2tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho. Ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana wao na wetu pia.
3Te avel tumenge dino o mishtimos, ai e pacha, katar O Del amaro Dat, ai katar O Del Jesus Kristo.
3Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
4Bi te terdiuav naisiv le Devleske anda tumende, anda mishtimos le Devlesko kai si tumenge dino ando Jesus Kristo;
4Ninamshukuru Mungu wangu daima kwa ajili yenu kwa sababu amewatunukia ninyi neema yake kwa njia ya Kristo Yesu.
5Ke ande leste pherdilian sa le barvalimata kai si ande vorba ai ando divinimos, ai ando zhanglimos;
5Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri,
6O zakono le Kristosko thodiape zurales mashkar tumende;
6kwani, ujumbe juu ya Kristo umethibitishwa ndani yenu,
7Anda kodia chi mai trobul tume chi iek zhanglimos zhi kai azhukeren te sikadiol amaro Del O Jesus Kristo.
7hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
8Vi zurarel tume zhando gor, kashte te aven bi doshako o dies amaro Devlesko Jesus Kristo.
8Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9Phrala le, sicharav tume pa anav amare Devlesko O Jesus Kristo.
9Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita ninyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu.
10Te avel tume savorhen iek divano ai te na avel mashkar tumende xuliamata, numa te aven mishto, chidine ande iek gindo ai iek zakono.
10Ndugu, ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
11Ke murhe phral ashundem pa tumende katar le manush anda Chole, ke si mashkar tumende chingara.
11Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu.
12Mangav te phenav ke swako anda tumende del duma kadia, me sim katar o Pavlo, ai me katar Apollos, ai me katar o Cephas, ai me katar O Kristo.
12Nataka kusema hivi: kila mmoja anasema chake: mmoja husema, "Mimi ni wa Paulo," mwingine: "Mimi ni wa Apolo," mwingine: "Mimi ni wa Kefa," na mwingine: "Mimi ni wa Kristo,".
13O Kristo xulado lo, o Pavlo sas karfomesas po trushul anda tumende? Vai ando anav o Pavlo sanas bolde?
13Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14Naisiv le Devleske ke chi boldem chi iekes anda tumende, ferdi Crispus ai o Gaius.
14Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.
15Kashte khonik te na phenel ke sanas bolde ande murho anav.
15Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu.
16Mai boldem la familia le Stephanoske; chi zhanav te mai boldem avre manushes.
16(Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
17O Kristo chi tradia ma te bolav, numa te phenav e lashi viasta; ai kodia bi te avel gojaver divano, kashte te na xasavol o trushul le Kristoske.
17Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.
18Ke o divinimos le trushulesko dilimos si kodolenge kai xaiin; numa amenge kai sam skepime, wo si e putiera le Devleski.
18Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni jambo la kipumbavu kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea, lakini kwetu sisi tulio katika njia ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu.
19Vi ramome si, phagava o zhanglimos kodolengo kai zhanen, ai bi lava e goji le gojavrenge.
19Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali."
20Kai lo o gojarver? Kai lo kai ramon? Kai lo o chingaras kadala vriamako? O Del sikadia kai o zhanglimos la lumiako si prosto.
20Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu.
21Ke fin e lumia peske zhanglimasa chi prinzhardia le Devles ando zhanglimos le Devles, drago sas le Devleske te skepil kodolen kai pachanpe pa dilo divano.
21Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
22Le Zhiduvuria mangen ek semno, ai le Grekuria roden zhanglimos.
22Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;
23Ame das duma pa Kristo karfome, lazhav le Zhidovonge, dilimos le Grekonge.
23lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu wa mataifa ni upumbavu;
24Numa putiera le Devleski, ai goji le Devleski kodolenge kai si akharde, kadia le Zhidovonge sar le Grekonge.
24lakini kwa wale walioitwa, Wayahudi kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu.
25Ke o dilimos le Devlesko mai gojaver lo sar le manush; ai slabomos le Devlesko mai zuralo lo sar le manush.
25Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.
26Le sama, phrala le, ke mashkar tumende kai san akharde nai but gojaver po manushenge, nai chi but zurale, chi but andai vari vitsa:
26Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu.
27Numa O Del alosardia le dile dieli la lumiake te sikavel e dosh le gojavrenge, O Del alosardia le slabi dieli la lumiake te rimol zurales.
27Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.
28Ai O Del alosardia le zhungale dieli la lumiake, ai kodola kai si gratsia, ai kodola kai nai le geton kodolen kai si kashte.
28Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.
29Chi iek stato te na luvudilpe angla Del.
29Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.
30No anda leste tume san ando Jesus Kristo, kodo kai anda Del sas kerdo amenge goji, vortamos, swuntsomos, ai chinimos.
30Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.
31Kachte sar si ramome, ke kodo kai luvudilpe, te luvudilpe ando Del.
31Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana."