1Mange, phrale, kana gelem tumende, na bare divanosa vai gojasa, avilem te phenav tumenge pa Del.
1Ndugu, mimi nilipokuja kwenu sikuwahubiria siri ya ujumbe wa Mungu kwa ufasaha wa lugha, au kwa hekima ya binadamu.
2Te nas ma gindo te zhanav mashkar tumende aver diela, ferdi O Jesus Kristo, ai lesko merimos po trushul.
2Nilipokuwa kwenu niliamua kutojua chochote kile isipokuwa tu kumjua Yesu Kristo; naam, Kristo aliyesulubiwa.
3Me korkorho simas tumende slabo, ai daras, ai izdramasa.
3Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.
4Ai murhi vorba ai murho divano nas bare vorbi kai parhuven la gojasa, numa sas dino ande putiera le Swuntsone Duxoski.
4Hotuba zangu na mahubiri yangu sikuyatoa kwa maneno ya kuvutia na ya hekima, bali kwa uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho.
5Kashte tumaro pachamos te na avel kerdo pe goji le manushenge, numa ande putiera le Devleski.
5Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
6Numa iek goji si kai phenas mashkar le shave le Devleske kai barile ando Del, kadala zhanglimos nai katar e lumia, vai katar le bare kai poronchin adies. Won meren ai vi lengo zhanglimos merel lensa.
6Hata hivyo, sisi tunatumia lugha ya hekima kwa wale waliokomaa kiroho; lakini hekima hiyo si ya hapa duniani, wala si ya watawala wa dunia hii ambao wako katika mkumbo wa kupotea.
7Ame phenas e goji le Devleski, shodo ai garadi, kai O Del mai anglal sar le bersh shinadisas pe amaro barimos.
7Hekima tunayotumia ni hekima ya siri ya Mungu, hekima iliyofichika, ambayo Mungu aliiazimia tangu mwanzo kwa ajili ya utukufu wetu.
8Goji kai chi iek baro anda kadala bersh chi zhanglia, ke te zhanglino la nashti karfon le Devles le bares.
8Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangalielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu.
9Numa sar si ramome, kai e iakh chi dikhlia, kai o khan chi ashundia, ai kai chi avile ando ilo le manushesko, dieli kai O Del lashardia kodolenge kai si lenge drago.
9Lakini, ni kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo Mungu aliyowatayarishia wale wampendao."
10O Del sikadia lenge pa Duxo; ke o Duxo zumavel swako fielo vi o garavimos le Devleske.
10Hayo ndiyo mambo Mungu aliyotufunulia kwa njia ya Roho wake. Maana Roho huchunguza kila kitu hata mambo ya ndani kabisa ya Mungu.
11Savo andal manush chaches zhanen le dieli le manusheske, te na avela o Duxo le Manushesko kai san ande leste? Saikfielo khonik chi zhanel le dieli le Devleske, de ferdi O Duxo le Devlesko.
11Nani awezaye kujua mambo ya ndani ya mtu isipokuwa roho yake mtu huyo? Hali kadhalika, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.
12Akana chi liam o duxo la lumiako, numa o Duxo kai avel katar O Del; kashte te zhanas le dieli kadia sas O Del ande pesko mishtimos.
12Sasa sisi hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali tumepokea Roho atokaye kwa Mungu ili atuwezeshe kujua yale tuliyojaliwa na Mungu.
13Ai ame das duma, na divanonsa kai sicharel e goji la manushenge, numa kodola sas kai sicharel O Swunto Duxo; phenas divano duxosko pel dieluria le duxoske.
13Basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho.
14Numa o manush zhigania (manush kai chi pachalpa ando Del), chi lel le dieli anda Duxo le Devlesko; ke leske si dilimos, ai nashte zhanel le, ke ferdi Duxosa sai haliarel.
14Mtu wa kidunia hapokei mambo ya Roho wa Mungu. Kwake mtu huyo mambo hayo ni upumbavu mtupu; yanapita akili yake; maana yanaweza tu kutambuliwa kwa msaada wa Roho.
15O manush duxosko aver fielo kerel kris pe sa le dieli, ai pe leste korkorho chi kerel kris khonik.
15Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
16Ke kon zhanelas o gindo le Devlesko, te sicharel les? Numa si ame o gindo le Kristosko.
16Maandiko yasema: "Nani awezaye kuifahamu akili ya Bwana? Nani awezaye kumshauri?" Lakini sisi tunayo akili ya Kristo.