Romani: New Testament

Swahili: New Testament

1 Corinthians

3

1Me, phrala le, chi dem tumensa duma sar manush duxosko, numa sar manush la lumiake, sar shave ando Kristo.
1Ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu mlio na huyo Roho. Nilipaswa kusema nanyi kama watu wa kidunia, kama watoto wachanga katika maisha ya Kikristo.
2Dem tume thud, na xamos zuralo; ke nashti rhevdina les, ai chi akana, inker nashti rhevdina les.
2Ilinibidi kuwalisheni kwa maziwa, na si kwa chakula kigumu, kwani hamkuwa tayari kukipokea. Hata sasa hamko tayari.
3Ke inker san manush la lumiake: chaches kai si mashkar tumende zhaluzia, ai chingara, chi san manush ai chi phiren sar o manush la lumiake?
3Maana bado mu watu wa kidunia. Je, si kweli kwamba bado uko wivu na magombano kati yenu? Mambo hayo yanaonyesha wazi kwamba ninyi bado ni watu wa kidunia, mnaishi mtindo wa kidunia.
4Kana iek phenel, me sim katar o Paul; o kaver, me katar o Apollos, chi san o manush la lumiake?
4Mmoja wenu anaposema, "Mimi ni wa Paulo", na mwingine, "Mimi ni wa Apolo", je, hiyo haionyeshi kwamba mnaishi bado kama watu wa dunia hii tu?
5So si o Pavlos? So si o Apollos, slugi kai lendar pachaian, sar dia O Del swakones?
5Apolo ni nani? na Paulo ni nani? Sisi ni watumishi tu ambao tuliwaleteeni ninyi imani. Kila mmoja wetu anafanya kazi aliyopewa na Bwana.
6Me thodem ande phuv, o Apollos shudia pai: numa O Del kerdia te bariarel.
6Mimi nilipanda mbegu, Apolo akamwagilia maji; lakini aliyeiotesha mbegu ni Mungu.
7Kadia nai, kodo kai thol ande phuv ke si vari so, chi kodo kai shordia pai; numa O Del kai kerel te bariarel.
7Wa maana si yule aliyepanda mbegu, au yule aliyemwagilia maji; wa maana ni Mungu aliyeiwezesha mbegu kuota.
8Kodo kai thol ande phuv ai kodo kai shorel pai iek fielo le: ai swako lela peski podarka pala peske buchi.
8Yule aliyepanda na yule aliyemwagilia maji wote ni sawa, ingawa kila mmoja atapokea tuzo lake kufuatana na jitihada yake mwenyewe.
9Ke ame keras buchi andek than le Devlesa: tume san o kimpo le Devlesko, ai vi san o kher le Devlesko.
9Maana sisi ni ndugu, wafanyakazi pamoja na Mungu; na ninyi ni shamba lake; ninyi ni jengo lake.
10Sar o mishtimos le Devlesko kai sas mange dino, thodem o fundo sar o gojaver, ai aver vazdia opral. Numa swako te arakhelpe sar vazdel opral.
10Kwa msaada wa neema aliyonipa Mungu, nimefaulu, kama mwashi stadi mwenye busara, kuweka msingi ambao juu yake mtu mwingine anajenga. Basi, kila mmoja awe mwangalifu jinsi anavyojenga juu yake.
11Ke khonik nashti thol aver fundo, ke ferdi kodo kai sas thodino, O Jesus Kristo.
11Hakuna mtu awezaye kuweka msingi mwingine badala ya ule uliokwisha wekwa, yaani Yesu Kristo.
12Akana te vari kon vazdela pe kodo fundo sumnakasa, rupesa, kuchi baxensa, khashtensa, sulumensa, kasesa,
12Juu ya msingi huo mtu anaweza kujenga kwa dhahabu, fedha au mawe ya thamani; anaweza kutumia miti, majani au nyasi.
13swakoneski buchi dichola; ke o dies kerel te dichol: ke sikadiola ande iag, ai iag zumavel so si swakoneski buchi.
13Iwe iwavyo, ubora wa kazi ya kila mmoja utaonekana wakati Siku ile ya Kristo itakapoifichua. Maana, Siku hiyo itatokea na moto, na huo moto utaipima na kuonyesha ubora wake.
14Vari kaske buchi vazdini po fundo rhevdila, lela e podarka.
14Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;
15Te e buchi vari kaske phabola, xasarela peski podarka; numa wo avela skepime: numa sar te skepisardia sas andai e iag.
15lakini kama alichojenga kitaunguzwa, basi, atapoteza tuzo lake; lakini yeye mwenyewe ataokolewa kana kwamba ameponyoka kutoka motoni.
16Chi zhanen ke tume san e khangeri le Devleski, ai kai Duxo le Devlesko beshel ande tumende?
16Je, hamjui kwamba ninyi ni hekalu la Mungu, na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
17Te vari kon phagela e khangeri le Devleski, O Del phagavel les; ke e khangeri le Devleski swuntsola, ai kadia san tume.
17Basi, mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu; maana hekalu la Mungu ni takatifu, na hekalu hilo ni ninyi wenyewe.
18Khonik te na diliarel pe korkorho. Te vari kon mashkar tumende rhevdilpe ke gojaver lo ande kodia lumia, te kerdiol dilo, kashte te kerdiol gojaver.
18Msijidanganye! Mtu yeyote miongoni mwenu akijidhania mwenye hekima mtindo wa kidunia, heri awe mjinga kusudi apate kuwa na hekima ya kweli.
19Ke e goji kadale lumiaki dilimos si angla Del. Ke ramome si, O Del astarel le gojavren ande lengo chorhimos.
19Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: "Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao."
20Ai mai, O Del zhanel le ginduria le gojavrenge, ai zhanel ke intaino si.
20Na tena: "Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai."
21Khonik, te na thol pesko barimos andel manush, ke sa tumenge si.
21Basi, mtu asijivunie watu. Maana kila kitu ni chenu.
22Te avel Pavlo, vai Apollos, vai Cephas, vai e lumia, vai o traio, vai e martia, vai le dieli kai si akana, vai le dieli kai si te aven; sa tumaro si;
22Paulo, Apolo na Kefa, ulimwengu, maisha na kifo; mambo ya sasa na ya baadaye, yote ni yenu.
23ai tume san le Kristoske; ai O Kristo si le Devlesko.
23Lakini ninyi ni wa Kristo naye Kristo ni wa Mungu.