Romani: New Testament

Swahili: New Testament

1 Corinthians

4

1Kadia te dikhen pe ame, sar slugi ke Kristoske, kai das o shodimos le Devlesko.
1Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za mungu.
2So mangelpe katar kodola kai den, te arakhadiol swako chacho.
2Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa kazi ni kuwa mwaminifu.
3Mange xantsi, tume te keren pe mande kris, vai manushenge kris; ai chi me chi kerav pe mande kris, ke chi haliarav ma doshalo pe kanch.
3Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na ninyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu.
4Numa nai anda kodia ke sim chacho, kodo kai kerel pe mande kris si O Del.
4Dhamiri yangu hainishtaki kwa jambo lolote, lakini hiyo haionyeshi kwamba sina lawama. Bwana ndiye anayenihukumu.
5Anda kodia na keren kris pe kanchi mai anglal sar e vriama, zhi kai avel O Del, kai thola anda sveto so godi si garado ando tuniariko, ai sikavela le ginduria le ilenge. Antunchi swako lela katar O Del o luvudimos kai si lesko dino.
5Basi, msihukumu kabla ya wakati wake acheni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayafichua mambo ya giza yaliyofichika, na kuonyesha wazi nia za mioyo ya watu. Ndipo kila mmoja atapata sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
6Anda tumende, phrala le, kerdem kadala dieluria mange ai le Apollos, kashte te sichon pa amende te na zhan mai angle anda so si ramome, ai khonik anda tumende te na kerel bariarel iekes po kaver.
6Ndugu, hayo yote niliyosema juu ya Apolo na juu yangu, ni kielelezo kwenu: kutokana na mfano wangu mimi na Apolo nataka mwelewe maana ya msemo huu: "Zingatieni yaliyoandikwa." Kati yenu pasiwe na mtu yeyote anayejivunia mtu mmoja na kumdharau mwingine.
7Ke so si kai sikavel? So si tu kai chi lian, ai te lian sostar bariares tu sar te na lianas le?
7Nani amekupendelea wewe? Una kitu gani wewe ambacho hukupewa? Na ikiwa umepewa, ya nini kujivunia kana kwamba hukukipewa?
8Vunzhe chaile san! Vunzhe barvale san! Tume traiin sar amperaturia bi amensa, ai te dashtinas te aven bare, kashte te lia ame avas bare tumensa.
8Haya, mmekwisha shiba! Mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme bila ya sisi! Naam, laiti mngekuwa kweli watawala, ili nasi pia tuweze kutawala pamoja nanyi.
9Ke O Del miazol mange kerdia anda amenge apostluria le palune andal manush, sar shinade ka martia: anda kadia dikhlia ame e lumia le angeluria, ai le manush.
9Nafikiri Mungu ametufanya sisi mitume tuwe watu wa mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kuuawa, maana tumekuwa tamasha mbele ya ulimwengu wote, mbele ya malaika na watu.
10Dile sam pala Kristo, numa tume san gojaver ando Kristo! Ame sam slabe, numa tume san zurales! Tume san respektome, ai ame sam shudine.
10Sisi ni wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye busara katika kuungana na Kristo! Sisi ni dhaifu, ninyi ni wenye nguvu. Ninyi mnaheshimika, sisi tunadharauliwa.
11Zhi ka kado chaso bokhale sam, trushale sam, nange sam, marde sam, ai phiravas ame than thanestar.
11Mpaka dakika hii, sisi tuna njaa na kiu, hatuna nguo, twapigwa makofi, hatuna malazi.
12Ai keras buchi amare vastesa: stramime sam, rhugisaras lenge; chinuime sam, rhevdisaras: xoxaven pe amende, dem duma lashimasa;
12Tena twataabika na kufanya kazi kwa mikono yetu wenyewe. Tukitukanwa, tunawatakia baraka; tukidhulumiwa, tunavumilia;
13kerdiliam sar o gunoi la lumiake, ai ame sam o shudimos la savorhenge zhi akana.
13tukisingiziwa, tunajibu kwa adabu. Mpaka sasa tumetendewa kama uchafu wa dunia; na kwa kila mtu sisi ni takataka!
14Chi ramon kadala dieli te kerav tumenge lazhav, numa te phenav tumenge sar murhe drazhi shavorhe.
14Siandiki mambo haya kwa ajili ya kuwaaibisha ninyi, bali kwa ajili ya kuwafundisheni watoto wangu wapenzi.
15Ke marka te avela tume desh mi xazhaino ando Kristo, nai tume but dada, tume avilian shave le Devleske, kana phendem tumenge e lashi viasta.
15Maana hata kama mnao maelfu ya walezi katika maisha yenu ya Kikristo, baba yenu ni mmoja tu, kwani katika maisha ya Kikristo mimi ndiye niliyewazaeni kwa kuihubiri Habari Njema.
16No mangav ma tumende, keren sar mande.
16Kwa hiyo, nawasihi: fuateni mfano wangu.
17Anda kodia tradem tumenge o Timote, kai si murho drago shav, ai chacho ando Del, phenela tumenge save si murhe droma ando Kristo, ai chi fiela sicharav kai godi ande sa le khangeria.
17Ndiyo maana nimemtuma Timetheo kwenu. Yeye ni mtoto wangu mpenzi na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusheni njia ninayofuata katika kuishi maisha ya Kikristo; njia ninayofundisha kila mahali katika makanisa yote.
18Uni puchi le ande barimata, sar akana te na si te avav tumende.
18Baadhi yenu wameanza kuwa na majivuno wakidhani kwamba sitakuja tena kwenu.
19Numa sigo zhava tumende, te si voia le Devleski, ai zhanava so le puchile keren, ai na ferdi so won phenen.
19Lakini, Bwana akipenda, nitakuja kwenu upesi; na hapo ndipo nitakapojionea mwenyewe, sio tu kile wanachoweza kusema hao wenye majivuno, bali pia kila wanachoweza kufanya.
20Ke o rhaio le Devlesko nai andel vorbi, numa ande putiera.
20Maana Utawala wa Mungu si shauri la maneno matupu, bali ni nguvu.
21So mangen? Te zhav tumende le ka rovliasa, vai dragomasa, ai iek duxo guglo?
21Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?