1Andal podarki le Duxoske chi mangav phrala le te na zhanen.
1Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:
2Zhanen ke kana chi pachanas pe ando Del, zhanas pala ikoni ke si mute, sar kai sanas ingerde.
2Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu tupu.
3Anda kodia phenav tumenge, ke khonik te dela duma pa Duxo le Devlesko chi phenel ke O Jesus si prokletsime, ai khonik nashti phenel ke O Jesus si O Del, de ferdi pa Swunto Duxo.
3Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: "Yesu alaaniwe!" Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: "Yesu ni Bwana," asipoongozwa na Roho Mtakatifu.
4But fialuria bucha, numa iek Del.
4Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.
6But fialuria dieluria, numa iek Del kai kerel sa savorhende.
5Kuna namna nyingi za kutumikia, lakini Bwana anayetumikiwa ni mmoja.
7Swakoneske o dikhimos le Duxosko dino lo po mishtimos savorhenge.
6Kuna namna mbalimbali za kufanya kazi ya huduma, lakini Mungu ni mmoja, anayewezesha kazi zote katika wote.
8Chaches iekes del o Duxo iek vorba gojaver, avres iek vorba zhanglimata pa iek Duxo.
7Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.
9Avres pachamos pa sa iek Duxo, avres del les e podarka le sastiarimasko pa swako Duxo.
8Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, na mwingine ujumbe wa elimu apendavyo Roho huyohuyo.
10Avres kerel mirakluria, avres del profesia, avres te haliarel le duxuria; avres te zhanel but shiba; avres te haliarel but shiba.
9Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;
11Sa iek duxo kerel sa kadala dieluria del swakones sar wo mangel.
10humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua.
12Ke sar o stato si iek, si les but kotora, ai sa le but kotora kerdion ferdi iek stato. Kadia si ka Kristo.
11Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe.
13Chaches savorhe samas bolde ande iek Duxo te kerdiuas iek stato, te avena Zhiduvuria vai Grekuria, vai slugi vai sloboji, savorhe piliam iek Duxo.
12Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote--ingawaje ni vingi--hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo.
14Kadia o stato nai iek kotor, numa kerdiol anda but kotora.
13Maana sisi, tukiwa Wayahudi au watu wa mataifa mengine, watumwa au watu huru, sote tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja.
15Te phendino o punrho, ke chi sim o vas, chi sim anda stato, anda kodia nai wo anda stato?
14Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.
16Ai te phendino o khan, ke chi sim o iakh, chi sim anda stato, nai wo anda kodia stato?
15Kama mguu ungejisemea: "Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!
17Te avilino sa o stato iakh, kai avilino o ashunimos? Te avilino sa ashunimos, kai avilino o sungaimos?
16Kama sikio lingejisemea: "Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!
18Akana O Del thodia sa le kotora ando stato sar manglia, te savorhe avilino.
17Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?
19Iek kotor, kai avilino o stato?
18Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda.
20No akana but kotora si, ai iek stato?
19Kama sehemu zote zingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
21E iakh nashti phenel le vasteske, chi trobul ma; chi o shero le punrhenge, chi trobul ma.
20Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
22Numa le kotora anda stato, kai si le mai slabe trobula le.
21Basi, jicho haliwezi kuuambia mkono: "Sikuhitaji wewe", wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu: "Siwahitaji ninyi."
23Ai kodola kai nai anda rhindo, na lendar sama zurales. Kadia le kotora le mai bi lashe, sa mai len anda rhindo.
22Zaidi ya hayo, inaonekana kwamba sehemu zile za mwili zinazoonekana kuwa ni dhaifu ndizo zilizo muhimu zaidi.
24Ke kodola mai chache chi las lendar sama. O Del kerdia o stato, kadia te sas mai anda rhindo kodolen mai trobul le.
23Tena, viungo vile tunavyovifikiria kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza kwa uangalifu zaidi; viungo vya mwili ambavyo havionekani kuwa vizuri sana, huhifadhiwa zaidi,
25Kaste te na avel xulaimos ando stato, numa le kotora te len sama anda kolavers.
24ambapo viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima zaidi kiungo kile kilichopungukiwa heshima,
26Ai te lava iek kotor, sa kotora dukhal les, lesa andek than ke iek kotor si ando rhindo, vi le kaver kotora raduin pe lesa.
25ili kusiweko na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane.
27Tume san o stato le Kristoske, ai tume san leske kotora swako pe peski parta.
26Kama kiungo kimoja kinaumia viungo vyote huumia pamoja nacho. Kiungo kimoja kikisifiwa viungo vingine vyote hufurahi pamoja nacho.
28Ai O Del thodia uni ande khangeri mai anglal le apostluria, duito le profeturia, trito le manush kai sicharen, porme kodola kai si le e podarka le miraklonge, porme kodola kai si le podarka te sastiaren, te zhutin, te poronchin, te den duma but shiba.
27Basi, ninyi nyote ni mwili wa Kristo; kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.
29Savorhe apostluria? Savorhe profeturia? Savorhe sicharen le? Savorhe si le e podarka kai kerel le mirakluria?
28Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya, kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.
30Savorhe si le e podarka la sastiarimaske? Savorhe den duma pal shiba? Savorhe haliaren le shiba?
29Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?
31Mangen le podarki si mai lashe ai sikavav tumenge iek drom o mai lasho.
30Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?
31Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami sasa nitawaonyesheni njia bora zaidi kuliko hizi zote.