Romani: New Testament

Swahili: New Testament

1 Corinthians

11

1Le tu pala mande, vi sar me lav pala Kristo.
1Niigeni mimi kama ninavyomwiga Kristo.
2Luvudiv tume, phrala, kai den dume goji pa mande ande soste godi, ai garaven so sichardem tume, sar kai sichardem tu.
2Nawapeni hongera kwa sababu mnanikumbuka na kwa sababu mnayashikilia yale maagizo niliyowapeni.
3Numa mangav te zhanen, ke Kristo si o shero swakones murshesko, ai o mursh si o shero la zhuvliako; ai O Del si o shero le Kristosko.
3Lakini napenda pia mjue kwamba Kristo ni kichwa cha kila mwanamume, na mwanamume ni kichwa cha mkewe, na Mungu ni kichwa cha Kristo.
4Swako manush kai rhugilpe vai kai divinil, o shero vusharado, chi del luvudimos ka Kristo.
4Basi, kila mwanamume anayesali au anayetangaza ujumbe wa Mungu huku amefunika kichwa chake, huyo anamdharau Kristo.
5Swako zhuvli kai rhugilpe vai divinil, o shero bi vusharado, chi respektil peske shero. Si saikfielo sar te rhandel lake bal.
5Na mwanamke akisali au kutangaza ujumbe wa Mungu bila kufunika kichwa chake, anamdharau mumewe; anayefanya hivyo ni sawa tu na mwanamke aliyenyoa kichwa chake.
6Te ek zhuvli chi vusharel lako shero, sai shinel vi peske bal; ai lazhav sikadiol lake te aven lake bal shinde vai rhangle, te vusharavelpe.
6Mwanamke asiyefunika kichwa chake, afadhali anyoe nywele zake. Lakini ni aibu kwa mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa; basi, afadhali afunike kichwa chake.
7O mursh chi trobul te vusharavel pesko shero, ke wo si o patreto ai o barimos le Devlesko: numa e zhuvli si o barimos le murshesko.
7Haifai mwanamume kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano wa Mungu na kioo cha utukufu wake Mungu; lakini mwanamke ni kioo cha utukufu wa mwanamume.
8Ke chaches o manush nas ankalado andai e zhuvli, numa e zhuvli sas ankaladi anda mursh.
8Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume.
9O mursh nas kerdo pala e zhuvli; numa e zhuvli sas kerdi pala mursh.
9Mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, ila mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamume.
10Anda kodia e zhuvli trobul te avel lako shero vusharado, te dichol kai woi respektil o mursh, kadia si vi te dichol le angelonge.
10Ndiyo maana mwanamke hufunika kichwa chake, iwe ishara ya mamlaka yaliyo juu yake, na pia kwa sababu ya malaika.
11Numa ando Del e zhuvli nai bi le murshesko ai o mursh nai bi la zhuvliako.
11Hata hivyo, mbele ya Bwana mwanamke si kitu bila mwanamume, naye mwanamume si kitu bila mwanamke.
12Ke e zhuvli sas ankaladi andal mursh, saikfielo o mursh ankadalo pala e zhuvli; ai swako fielo avela katar O Del.
12Kama vile mwanamke alivyotokana na mwanamume, vivyo hivyo mwanamume huzaliwa na mwanamke; kila kitu hutoka kwa Mungu.
13Keren kris tume: vorta pek zhuvli te rhugilpe ka Del bi te avel vusharadi? Chi sikavel tumenge ke lazhal le mursheske te avel les bal lungo?
13Amueni wenyewe: Je, inafaa mwanamke kumwomba Mungu bila kuvaa kitu kichwani?
15Numa e zhuvli te avel la lunzhi bal si ek barimos lake. Ke lako bal si dia la pala ek vusharimos.
14Hata maumbile yenyewe huonyesha wazi kwamba kwa mwanamume kuwa na nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe;
16Te si vari kon te xalpe anda kadala dieluria, amende nai kado zakono, chi le khangeria le Devleske.
15lakini kwa mwanamke kuwa na nywele ni heshima kwake; nywele zake ndefu amepewa ili zimfunike.
17Kado divano kai phendem tumenge, chi luvudiv tume, ke chi chiden tume te aven mai lashe, numa te aven mai chorhe.
16Kama mtu anataka kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi hatuna desturi nyingine, wala makanisa ya Mungu hayana desturi nyingine.
18Ai mai anglal, ashundem ke kana chiden tume andek than si mashkar tumende xuxaiimata, ai pachav ma.
17Nikiwa bado nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa ninyi hongera kuhusu haya yafuatayo: mikutano yenu ninyi waumini yaleta hasara zaidi kuliko faida.
19Ke trobul te avel kodolendar dieluria mashkar tumende, kaste kodola kai si cchache te aven te dichon sakadia mashkar tumende.
18Awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi,
20Kana chiden tume, chi chiden tume te xan o xamos le Devlesko.
19maana ni lazima fikira tofauti ziweko miongoni mwenu, ili wale walio thabiti wapate kutambulikana.
21Ke uni kai skafidi xan pesko xabe: iek bokhalo lo, ai kaver mato lo.
20Kweli mnakutana, lakini si kwa ajili ya kula chakula cha Bwana!
22Nai tume khera te xan ai te pen? Vai griatsa tumenge e khangeri le Devleski, ai keren lazhav kodolenge kai nai le kanchi? So phenava tumenge? Luvudiv tume pe kadia? Chi luvudiv tume.
21Maana mnapokula kila mmoja hukikalia chakula chake mwenyewe, hata hutokea kwamba baadhi yenu wana njaa, na wengine wamelewa!
23Ke phendia mange O Del so sichardem tume, o dies kana O Jesus Kristo ande riat kai line les, lia manrho,
22Je, hamwezi kula na kunywa nyumbani kwenu! Au je, mnalidharau kanisa la Mungu na kuwaaibisha hao wasio na kitu? Niwaambie nini? Niwasifu? La hasha! Si kuhusu jambo hili.
24ai kana rhudisailo, phaglia les, ai phendia, "Len, xan, kako si murho stato kai si phaglo anda tumende: keren kadia te den goji mande.
23Maana mimi nilipokea kwa Bwana yale maagizo niliyowaachieni: kwamba, usiku ule Bwana Yesu aliotolewa, alitwaa mkate,
25Ai pale kana xalia, lia o daxtai ai phendia, kado daxtai si e nevi kontrakto ande murho rat. Keren kadia ai den tume goji mande swako data kai pena.
24akamshukuru Mungu, akaumega, akasema: "Huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa kunikumbuka."
26Ke swako data ke xan kado manrho, ai ke pen anda kado daxtai, phenenke mulo O Jesus, zhi kai avela palpale.
25Vivyo hivyo, baada ya kula, akatwaa kikombe akasema: "Hiki ni kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu. Fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa kunikumbuka."
27Anda kodia kodo kai xala manrho, vai pela anda daxtai le Devlesko, bi te avel vorta, avela doshalo karing o stato le Devlesko ai lesko rat.
26Maana kila mnapokula mkate huu na kunywa kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka atakapokuja.
28No swako te dikhelpe vo korkorho, ai kadia te xal o manrho, ai te pel anda daxtai.
27Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili, atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya Bwana.
29Ke kodo kai xal ai pel bi te dikhel o stato le Devlesko, xal ai pel e kris pe peste korkorho.
28Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;
30Anda kadia si mashkar tumende but kovle ai but naswale, ai kai but mule.
29maana anayekula na kunywa bila kutambua maana ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu yake yeye mwenyewe.
31Ke te kerasas kris pe ame korkorho pe amende, chi aviliamas dine kris.
30Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa wamekufa.
32Numa kana sam doshale, O Del chinuil ame, kaste te na avas doshale la lumias.
31Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.
33Anda kodia, murhe phral, kana chiden tume te xan, azhukeren tume iek kavres.
32Lakini tunapohukumiwa na Bwana, tunafunzwa tuwe na nidhamu, ili tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu.
34Te si vari kon bokhalo, te xal khere, kaste te na chiden tume andek than te aven pe tumende kris. Getova le kaver dieluria kana aresavas.
33Kwa hiyo, ndugu zangu, mnapokutana kula chakula cha Bwana, kila mmoja amngoje mwenzake.
34Na kama kuna yeyote aliye na njaa, na ale nyumbani kwake, ili kukutana kwenu kusisababishe hukumu. Lakini, kuhusu yale mambo mengine, nitawapeni maelezo nitakapokuja.