1Anda so si o chidimos karing le swuntsi, keren vi tume sar phendem le khangeriange andai Galatia.
1Sasa, yahusu ule mchango kwa ajili ya watu wa Mungu: fanyeni kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia.
2Ke swako andal tumende, o angluno dies le kurkesko, thol rigate peste so dashtila pala pesko barvalimos.
2Kila Jumapili kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha kadiri ya mapato yake, ili kusiwe na haja ya kufanya mchango wakati nitakapokuja.
3Kashte te na azhkeren murho areslimos te chiden le podarki, ai kana avava tradav lila te ningeren tumaro mishtimos ando Jerusalem.
3Wakati nitakapokuja kwenu, nitawatuma wale mtakaowachagua miongoni mwenu wapeleke barua na zawadi zenu Yerusalemu.
4Te sai zhav, won sai zhan mansa.
4Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda pamoja nami.
5Zhava tumende kana nakhava e Macedonia, ke nakhava e Macedonia.
5Nitakuja kwenu, baada ya kupitia Makedonia--maana nataraji kupitia Makedonia.
6Amborim beshava tumende, vai amborim nakhav po ivend. Kashte te ninkeren ma compania kotse kai zhava.
6Labda nitakaa kwenu kwa muda fulani, au huenda nitakaa pamoja nanyi wakati wote wa baridi, ili mpate kunisaidia niendelee na safari yangu kokote nitakakokwenda.
7Chi mangav kadia data te dikhav tume ando nakhimos, numa mangavas te beshav iek vriama pasha tumende te mangela O Del.
7Sipendi kupita kwenu harakaharaka na kuendelea na safari. Natumaini kukaa kwenu kwa kitambo fulani, Bwana akiniruhusu.
8Beshava ando Ephesus zhi ka Pentecost.
8Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.
9Ke iek bari vurota kai vushoro zhav andre phuterdile manush, ai le duzhmaia but si.
9Mlango uko wazi kabisa kwa ajili ya kazi yangu muhimu hapa, ingawa wapinzani nao ni wengi.
10Te aresela o Timote, keren kadia te avel mashkar tumende bi darako, ke vi wo kerel buchi sar mande anda diela le Devleske.
10Timotheo akija, angalieni asiwe na hofu yoyote wakati yupo kati yenu, kwani anafanya kazi ya Bwana kama mimi.
11Khonik te na shudel les, ningeren les pachasa, kashte te avel karing mande, ke azhukerav les le phralensa.
11Kwa hiyo mtu yeyote asimdharau, ila msaidieni aendelee na safari yake kwa amani ili aweze kurudi kwangu, maana mimi namngojea pamoja na ndugu zetu.
12So si anda phral o Apollos, thodem but zor pe leste te zhal tumende le phralensa: numa chaches na leske voia te kerel kadia akana. Te avela kana moladiola.
12Kuhusu ndugu Apolo, nimemsihi sana aje kwenu pamoja na ndugu wengine, lakini hapendelei kabisa kuja sasa ila atakuja mara itakapowezekana.
13Len sama, beshen zurales anda pachamos, aven rhom, zuraven tume.
13Kesheni, simameni imara katika imani, muwe hodari na wenye nguvu.
14So godi keren, te kerdiol dragostimasa.
14Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.
15Mai phenav tumenge mai iek diela phrala le, zhanen ke familia le Stephenas, ai le anglune andai Achaia, kerdiape te podail le swuntson.
15Ndugu, mnaifahamu jamaa ya Stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo katika Akaya, na wamejitolea kuwatumikia watu wa Mungu. Ninawasihi ninyi ndugu zangu,
16Phushav tumendar te ashunen, ai aven vi tume karing kasavendar manush ai karing savorhe kai keren buchi amensa.
16muufuate uongozi wa watu kama hao, na uongozi wa kila mtu afanyaye kazi na kutumikia pamoja nao.
17Raduiva ma kotse ka o Stephonas, ai o Fortunates, ai o Achaicus: thodepe ande tumaro than kana chi sanas katse.
17Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.
18Ke pechisarde vi man, ai vi tumen te zhanen te thon te luvudin kasavendar manushen.
18Wameiburudisha roho yangu na yenu pia. Kwa hiyo inafaa kuwakumbuka watu wa namna hii.
19Le khangeria ande Asia den tume dies lasho. E Aquila ai e Priscilla la khangeriasa kai si ande lengo kher den tume dies lasho ando Del.
19Makanisa yote ya Asia yanawasalimuni. Akula na Priskila pamoja na watu wote wa Mungu walio nyumbani mwao wanawasalimuni sana katika Bwana.
20Sa le phral den tume dies lasho, den tume iekavres dies lasho ieke Swunto chumidimasa.
20Ndugu wote wanawasalimuni. Nanyi salimianeni kwa ishara ya mapendo ya Mungu.
21Dav tume dies lasho me o Pavlo murhe vastesa.
21Mimi Paulo nawasalimuni, nikiandika kwa mkono wangu mwenyewe.
22Te vari kaske nai drago Del Jesus Kristo – ek armaia pe leste, Maranatha, amaro Del, aves!
22Yeyote asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANA THA--BWANA, njoo!
23O mishtimos le Devlesko O Jesus Kristo, te avel tumensa.
23Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi.
24Murhi dragostia ando Del tumensa lo. Amen.
24Mapendo yangu yawe kwenu katika kuungana na Kristo Yesu.