Romani: New Testament

Swahili: New Testament

1 Corinthians

6

1Te si tume kris mashkar tumende, na kerel la mashkar le manush kai nai chache.
1Anathubutuje mmoja wenu kumshtaki ndugu muumini mbele ya mahakama ya watu wasiomjua Mungu badala ya kumshtaki mbele ya watu wa Mungu?
2Chi zhanen ke tume si te keren e kris pe lumia? Ai ke pa tume si te keren e kris la lumiake, chi san kasave bi lashe te keren kris?
2Je, hamjui kwamba watu wa Mungu watauhukumu ulimwengu? Ikiwa basi, ulimwengu utahukumiwa nanyi, kwa nini hamstahili kuhukumu hata katika mambo madogo?
3Chi zhanen ke vi pa le angeluria si te keras kris? Ai mai but si te keras kris pel dieluria kadale traioske?
3Je, hamjui kwamba, licha ya kuhukumu mambo ya kawaida ya kila siku, tutawahukumu hata malaika?
4Kana si tume vari so kai nai mishto mashkar tumende pe kado traio, ai kai san le manush la khangeriake na vi le manushen te keren tumenge kodia kris.
4Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?
5Phenav tumaro lazharial. Si mashkar tumende iek manush kai nai gojaver te phenel kadala divanuria mashkar le phral?
5Aibu kwenu! Ndiyo kusema hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye hekima kiasi cha kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini?
6Te phral kerela kris pe aver phral, ai kodia anglal manush kai chi pachanpe ando Del.
6Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.
7Vunzhe bari dosh si tume, ke si tume mashkar iek kavreste. Sostar chi rhevdin mai binen te keren tumenge slabar?
7Kwa kweli huko kushtakiana tu wenyewe kwa wenyewe kwabainisha kwamba mmeshindwa kabisa! Je, haingekuwa jambo bora zaidi kwenu kudhulumiwa! Haingekuwa bora zaidi kwenu kunyang'anywa mali yenu?
8Numa tume keren so nai vorta. Tume len katar le manush, ai kana xasar len, xasar che phral.
8Lakini, badala yake, ninyi ndio mnaodhulumu na kunyang'anya; tena, hayo mnawafanyia ndugu zenu!
9Kana keren kadia chi zhanen kai won nai vorta angla Del, chi zhana ando rhaio le Devlesko. Na shubin tume; kodola kai keren zhungalimata, vai kodola kai keren marimenen, vai kodola kai keren kurvimos, vai kodola kai rhuginpe kal ikoni,
9Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi Utawala wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti,
10vai kodola kai choren, vai kodola kai mangen mai but sar trobul le, vai kodola kai si macharne, vai kodola kai keren pupuimos, vai le chor, chi zhana ando rhaio le Devlesko.
10wevi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyang'anyi, hao wote hawatashiriki Utawala wa Mungu.
11Uni anda tumende kerdia kodia, numa xalade sanas katar che bezex, chistime sanas, vuzharde sanas ando anav le Devlesko O Jesus, ando O Duxo amare Devlesko.
11Baadhi yenu mlikuwa hivyo; lakini sasa mmeoshwa, mkafanywa watakatifu, na kupatanishwa na Mungu kwa jina la Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu.
12Swako fielo slobodo mange, numa swako fielo chi trobul: swako fielo sai kerav, numa chi mekav vari so te kerel mandar ek sluga,
12Mtu anaweza kusema: "Kwangu mimi kila kitu ni halali." Sawa; lakini si kila kitu kinafaa. Nakubali kwamba kila kitu ni halali kwangu lakini sitaki kutawaliwa na kitu chochote.
13numa chi mangav te kerav vari so pala o xaben kai zhal ando ji, ai o ji si le xabeneske, numa O Del phagela iekes ai le kolaver. O stato nai kerdo te kerel o zhungalimos, o stato si le Devlesko; ai O Del si le statosko.
13Unaweza kusema: "Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula." Sawa; lakini Mungu ataviharibu vyote viwili. Mwili wa mtu si kwa ajili ya uzinzi bali ni kwa ajili ya kumtumikia Bwana, naye Bwana ni kwa ajili ya mwili.
14O Del kai zhuvindisardia amare Devles, zhuvindila vi amende peski putiera.
14Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake.
15Chi zhanen ke tumaro stato si le kotora le Kristosko? Si te lav ek kotor le Kristosko te ningerav les kal rhas. Nichi!
15Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya mwili wa Kristo? Je, mnadhani naweza kuchukua sehemu ya mwili wa Kristo na kuifanya kuwa sehemu ya mwili wa kahaba? Hata kidogo!
16Vov si! Dur kotsar! Chi zhanen! Ke kodo kai tholpe le punrhensa kerdiol iek stato rhas? Ke phendo, le dui kerdionas iek stato.
16Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye--kama ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja."
17Numa kodo kai astardiol ka Del wo si les iek duxo.
17Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.
18Duriol katar e kurvia. Le kaver bezexa kai kerel le manush avri si anda stato; numa kodo kai kerel e kurvia kerel bezex pe pesko korkorho stato.
18Jiepusheni kabisa na uzinzi. Dhambi nyingine zote hutendwa nje ya mwili lakini mzinzi hutenda dhambi dhidi ya mwili wake mwenyewe.
19Chi zhanen tume! Ke tumaro stato si e khangeri le Swuntone Duxoski kai si ande tumende, kai lia les katar O Del, ai kai chi mai san tumare korkorho?
19Je, hamjui kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, ambaye mlimpokea kutoka kwa Mungu? Ninyi basi, si mali yenu wenyewe.
20Ke chinde sanas pel baro pretso: luvudis le Devles ande tumaro stato, ai ande tumaro duxo, kai si le Devlesko.
20Mlinunuliwa kwa bei kubwa. Kwa hiyo, itumieni miili yenu kwa ajili ya kumtukuza Mungu.