1Andal dieluria kai ramosardian mange, gindiv ke mai mishto le mursheske te na azbal ek zhuvlia.
1Yahusu sasa mambo yale mliyoandika: naam, ni vizuri kama mtu haoi;
2Numa te na kerdiol kurvimos, te avel swakones leske rhomni, ai swakona rhomni swako rhom.
2lakini kwa sababu ya hatari ya uzinzi, basi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
3Mekel o rhom peska rhomnia so trobul: ai te kerel vi rhomni saikfielo peske rhomesa.
3Mume atimize wajibu alio nao kwa mkewe, naye mke atimize wajibu alio nao kwa mumewe.
4E rhomni chi poronchil pe pesko stato, ke lako rhom si. Ai saikfielo o rhom nai chi poronchil pe pesko stato, ke leski rhomni si.
4Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe anayo; hali kadhalika naye mume, hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mkewe anayo.
5Na len tume iek kavrestar, de ferdi te avena dakordo pek vriama, ai den tume te postin ai rhuginpe; ai porme pale thon tume andek than daraltar ke o beng mangel te zumavel tumen.
5Msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. Kisha rudianeni tena mara, ili Shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu.
6Te na kodia mishtimata chi kerav anda late zakonuria.
6Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.
7Mangavas te aven sa manush sar mande. Numa swakones si les leski podarka katar O Del, iekes te phirav, ai iek kavres aver fielo.
7Ningependa watu wote wawe kama mimi nilivyo; lakini kila mmoja anacho kipaji chake kutoka kwa Mungu; mmoja kipaji hiki na mwingine kile.
8Kodola kai nai ansurime ai le phivlia, phenav lenge, ke mishto lenge te beshen sar mande.
8Basi, wale ambao hawajaoana na wale walio wajane nawaambia kwamba ni vema kuendelea kuwa kama mimi nilivyo.
9Numa te na avela le dosta zor pe kodia te ansurinpe: ke mai mishto te ansurinpe de sar te phabol.
9Hata hivyo, kama mtu hawezi kujizuia basi, na aoe; maana ni afadhali zaidi kuoa kuliko kuwaka tamaa.
10Kodola kai si ansurime, phenav lenge, na me, numa O Del, e rhomni te na vulardiol katar pesko rhom.
10Kwa wale waliooa ninayo amri, tena si yangu, ila ni ya Bwana: mke asiachane na mumewe;
11Ai te suvliardi, te beshel bi te ansurilpe, vai te pochil pe pesko rhomesa. Ai vi o rhom te na shudel peska rhomnia.
11lakini kama akiachana naye, basi abaki bila kuolewa; ama la, apatanishwe na mume wake. Mume naye asimpe talaka mkewe.
12Le kavrenge chi phenel O Del, me phenav: te si iek phral kai si les rhomni kai chi pachalpe, ai te mangela te beshel lesa, te na shudel la.
12Kwa wale wengine, (mimi binafsi, si Bwana) nasema hivi: Ikiwa mwanamume Mkristo anaye mke asiyeamini, na huyo mwanamke akakubali kuendelea kuishi naye, asimpe talaka.
13Ai e zhuvli kai si la iek rhom kai chi pachalpe ando Del, ai te mangela te beshel lasa, te na zhaltar katar pesko rhom.
13Na, kama mwanamke Mkristo anaye mume asiyeamini, na huyo mwanamume akakubali kuendelea kuishi naye, basi, asimpe talaka mumewe.
14Ke o rhom kai chi pachalpe ando Del sai avel swuntsome peski rhomni, ai e rhomni kai chi pachalpe ando Del sai avel swuntsome katar pesko rhom. Te na, tumare glate sas te aven bi vuzhe; numa akana swuntsele.
14Kwa maana huyo mume asiyeamini hupokelewa kwa Mungu kwa kuungana na mkewe; na huyo mke asiyeamini hupokelewa kwa Mungu kwa kuungana na mumewe. Vinginevyo watoto wao wangekuwa si wa Mungu; kumbe sasa ni watoto wake Mungu.
15Kodo kai chi pachalpe te vulardiola katar peski zhuvli, mek te vular lake o phral vi e phei kai nai astarde: O Del phendia lenge te traiisaras pachasa.
15Hata hivyo, ikiwa yule asiyeamini anataka kumwacha mwenzake aliye Mkristo, basi, na amwache tu. Hapo huyo Mkristo, mume au mke, atakuwa huru. Maana Mungu amewaiteni ninyi muishi kwa amani.
16Sar zhanes tu, Rhomnio, kai chi skepis cho rhom? Vai sar zhanes tu, rhoma, kai chi skepis chi rhomni?
16Wewe mama Mkristo, unawezaje kuwa na hakika kwamba hutaweza kumwokoa mume wako? Au wewe mume Mkristo, unawezaje kuwa na hakika kwamba hutaweza kumwokoa mkeo?
17Ferdi swako te phirel, sar e partia le Devleske kai kerdia lesko Del, sar akhardia les O Del, kadia phenav ka sa le khangeria.
17Kwa vyovyote kila mmoja na aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo langu kwa makanisa yote.
18Vari kon akhardo sas sar Zhidovo, te beshel sar Zhidovo. Vari kon akhardo sas sar Nas Zhidovo, te na kerdiol Zhidovo.
18Kama mtu aliitwa akiwa ametahiriwa, basi asijisingizie kwamba hakutahiriwa; na kama alipoitwa hakuwa ametahiriwa, basi na asitahiriwe.
19O semno le Zhidovongo nai kanchi, ai bi o semno nai kanch, numa o zakono le Devlesko si sa.
19Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu.
20Swako te beshel sar kai si kana akhardia les O Del.
20Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.
21Akhardia tu kana sanas sluga? Na gindi sa: numa te sai lebirisas tu, libiris (ivia) sa.
21Je, wewe ulikuwa mtumwa wakati ulipoitwa? Sawa, usijali; lakini ukipata fursa ya kuwa huru, itumie.
22Ke wo si akhardo katar O Del, ai i kako kai nai sluga le Devlesko; kadia o manush kai si ivia, ai si akhardo kerdiol sluga le Kristosko.
22Maana yeye aliyeitwa na Bwana akiwa mtumwa huyo huwa mtu huru wa Bwana. Hali kadhalika naye aliyeitwa akiwa mtu huru, huwa mtumwa wa Kristo.
23Ke chinde sanas pek bari semna; na kerdion slugi le manushenge.
23Nyote mmenunuliwa kwa bei; kwa hiyo msiwe tena watumwa wa watu.
24Swako phral, beshel angla Del sar kai akhardia les.
24Ndugu zangu, kila mmoja wenu basi, na abaki na Mungu kama alivyokuwa wakati alipoitwa.
25Andal sheia baria nai ma kris katar O Del: numa dav murho gindo, sar kai len katar O Del mishtimos te avav chacho lestar.
25Sasa, kuhusu mabikira na waseja, sina amri kutoka kwa Bwana; lakini natoa maoni yangu mimi ambaye kwa huruma yake Bwana nastahili kuaminiwa.
26Vi ta miazol mange andai vriama kai si trutno kai pashol mishto peske mursheske te avel kadia.
26Basi, kutokana na shida iliyopo sasa nadhani ingefaa mtu abaki kama alivyo.
27Astardo san ka rhomni? Na roden te shuden la. Chi san astardo ka rhomni? Na roden ek rhomni.
27Je, umeoa? Basi, usitake kuachana na mkeo. Wewe hukuoa? Basi, usitake kuoa.
28Numa te san ansurin, chi kerdian bezex; ai shei bari te ansurilpe, nai bezex. Numa kodola manush avela le baiuria mashkar lende.
28Lakini ikiwa utaoa hutakuwa umetenda dhambi; na msichana akiolewa hatakuwa ametenda dhambi. Hao watakaooana watapatwa na matatizo ya dunia hii, lakini mimi ningependa hayo yasiwapate ninyi.
29Phrala le, so phenav, e vriama skurto la, ai mai angle kodola kai si le rhomnia te keren kashte te na aven le.
29Ndugu, nataka kusema hivi: muda uliobaki ni mfupi. Na tangu sasa wale waliooa na waishi kama vile hawakuoa;
30Kodola kai roven, sar kana te na roven; ai kodola kai veselinpe, sar kana te na veselinpe; kodola kai chinen, sar kana te na avel les;
30wenye kulia wawe kama hawalii, na wenye kufurahi wawe kama hawafurahi; wanaonunua wawe kama hawana kitu;
31ai kodola rhusgin anda e lumia, sar kana te na rhusgin; ke o semno kadala lumiako nakhel.
31nao wenye shughuli na dunia hii wawe kama vile hawana shughuli sana nayo. Maana ulimwengu huu, kama tuujuavyo, unapita.
32Manglemas te aven bi darako. Kodo kai nai ansurime rodel le dieluria le Devleske, sar te avel drago le Devleske.
32Ningependa ninyi msiwe na wasiwasi. Mtu asiye na mke hujishughulisha na kazi ya Bwana jinsi atakavyompendeza Bwana.
33Ai kodo kai si ansurime rodel le dieluria la lumiake, sar te avel drago peska rhomnia.
33Mtu aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe,
34Ai vi keren si mashkar e rhomni ai e shei bari. Kucha kai nai ansurime rodel le dieluria le Devleske, kashte te avel swunto vi lako stato ai vi lake duxo: numa kucha kai sas ansurime rodel le dieluria la lumiake, sar si te avel drago peske rhomeske.
34naye amegawanyika. Mwanamke asiyeolewa au bikira hujishughulisha na mambo ya Bwana apate kujitolea mwili na roho kwa Bwana. Lakini mwanamke aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii jinsi atakavyompendeza mumewe.
35Phenav kodia te av tumenge mishto, te na dzilarav tume, te mangav te ingerav tume ka so si mishto, so serel ke astardion ke amaro Del.
35Nawaambieni haya kwa faida yenu, na si kwa kuwawekeeni kizuio. Nataka tu muwe na mpango unaofaa, mpate kumtumikia Bwana kwa moyo na nia moja.
36Vari kon te na daral leske te lazhal, te na ansuril peska sha kai gindil peske trobul te ansuril la, sai kerel sar wo mangel, chi kerel bezex te ansurilpe.
36Kama mtu anaona kwamba hamtendei vyema mchumba wake asipomwoa, na kama tamaa zake zinamshinda, na afanye atakavyo; waoane tu; hatakuwa ametenda dhambi.
37Numa kodo kai thodia gindo bi zorako te kerel peski putiera, ai kai phendia ande lesko ilo te garavel peska sha, shei bari kodo kerel mishto.
37Lakini kama huyo mwanamume akiamua kwa hiari moyoni mwake kutooa na kama anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna ya kufanya, basi, anafanya vizuri zaidi asipomwoa huyo mwenzake bikira.
38Antunchi kodo kai ansurilpe peska sha mishto kerel; ai kodo kai chi ansuril la mai mishto kerel.
38Kwa maneno mengine: yule anayeamua kumwoa huyo mchumba wake anafanya vema; naye anayeamua kutomwoa anafanya vema zaidi.
39E rhomni kai si astarde ka pesko rhom so godi traiila; numa te merela lako rhom, libirila te ansurilpe kasa kana, numa te avel ando anav le Devlesko.
39Mwanamke huwa amefungwa na mumewe kwa muda wote mumewe aishipo. Lakini mumewe akifa, mama huyo yuko huru, na akipenda anaweza kuolewa na mtu yeyote, mradi tu iwe Kikristo.
40Mai raduime haliarav te beshela sar kai si, sar me gindiv: ai me gindiv ke i me si ma O Duxo le Devlesko.
40Lakini, nionavyo mimi, atakuwa na heri zaidi kama akibaki hivyo alivyo. Hayo ni maoni yangu, na nafikiri mimi pia ninaye Roho wa Mungu.