Romani: New Testament

Swahili: New Testament

2 Corinthians

3

1So znachil kado divano? Ke pale ame nachinaisavas te luvudisavas? Vai trobulsardino ame, sar uni, te sikavas tumenge lila so te keren, vai ame te mangas tumendar lela?
1Je, tunaanza tena kujipendekeza? Je, tunahitaji barua ya utambulisho kwenu, au kutoka kwenu, kama watu wengine?
2Tuma san amaro lil kai si ramome ande amaro ilo, kai sa e lumia sai zhanel ai diinel.
2Ninyi wenyewe ni barua yetu; barua iliyoandikwa mioyoni mwetu kila mtu aione na kuisoma.
3Te iazno si ke tume san iek lil ramome katar O Kristo ai tradino amendar. Kodo lil nai ramome chernilasa, numa le Duxosa le Devlesko o zhuvindo. Nai ramome pel skafidia baxrenge, numa ande ile le manushenge.
3Ni dhahiri kwamba ninyi ni barua ya Kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. Barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu.
4Ame sai mothas chachimasa kadia diela, ke pala amaro pachamos kai si ame ando Del katar O Kristo.
4Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
5Ame nashtisaras te mothas ke sai keras kasaviatar buchi anda amende, numa so keras katar O Del avel.
5Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu:
6Ke wo dia ame te avas slugi kadale nevia viastako; nai iek zakono kai si ramome, numa katar O Swunto Duxo: o zakono o ramome mudarel, numa O Swunto Duxo del o traio.
6maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima.
7O zakono sas ramome, vorba pe vorbate pel skafidia le baxrenge ai andai martia, ai o barimos le Devlesko strefial, antunchi o mui le Mosesosko strefialas kadia de zurales kai le Zhiduvuria nashtinas te dikhen pe leste, marka ke kodo strefaimos sas te zhaltar.
7Sheria iliwekwa kwa kuandikwa juu ya vipande vya mawe. Ingawaje mwisho wake umekuwa kifo, utukufu wake ulikuwa mkuu mno hata wana wa Israeli wasiweze kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya mng'ao wake. Tena mng'ao huo ulikuwa wa muda tu. Basi, ikiwa huduma ya kile ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi hicho,
8Sode de baro trobul te avel o luvudimos la buchako kai kerel O Swunto Duxo!
8basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.
9E buchi kai doshardia le manushen sas luvudime, sode mai but luvudime e buchi kai si te kerel andel manush vorta angla Del!
9Ikiwa basi, kulikuwa na utukufu katika huduma ile iliyoleta hukumu, ni wazi kwamba huduma ile iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu itakuwa na utukufu mkuu zaidi.
10Sai vi mothas, ke o luvudimos kai strefial mai anglal, nai kanchi angla luvudimos kai si akana, kai si but mai baro.
10Sasa utukufu mkuu zaidi umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja hapo awali, ambao fahari yake imekwisha toweka.
11So sas kai ankerdia xantsi vriama sas luvudime, sode mai but luvudime so si kai shoxar chi getolpe!
11Maana ikiwa kile kilichokuwa cha muda tu kilikuwa na utukufu wake, bila shaka kile chenye kudumu milele kitakuwa na utukufu mkuu zaidi.
12Te si ame kodo pachamos, sai das duma bi darako.
12Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
13Ame chi sam sar o Moses, kai vusharavelas pesko mui seliasa, saxke te na dikhen le Zhiduvuria e vediara kai nakhelas sigo.
13Sisi hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa ili watu wa Israeli wasiuone ule mwisho wa mng'ao uliokuwa unafifia.
14Numa lenge goji nashti ma haliarel, ai zhi adies lenge goji vusharadila sa kodola seliasa kana jinen o zakono le Mosesosko. Kodia selia zhaltar ferdi kana o manush si astardo le Kristosa.
14Lakini akili zao zilipumbazwa. Mpaka leo hii lisomwapo Agano la Kale, kifuniko hicho bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa tu mtu anapoungana na Kristo.
15Inker adies, swako data kai jinen o zakono le Mosesosko, e selia vusharavel lenge goji.
15Naam, mpaka hivi leo kila isomwapo Sheria ya Mose akili zao huwa zimefunikwa.
16Numa sar mothol E Vorba le Devleski, kana boldelpe iek manush karing O Del, e selia zhaltar.
16Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.
17O Del si O Swunto Duxo, ai kotse kai si O Swunto Duxo le Devlesko, kotse si liberte.
17Hapa "Bwana" ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
18Ame savorhe, bi la seliako pe amaro mui strefialas o barimos le Devlesko, ai sam parhude te avas sar O Del, ai nakhas andak barimos ande iek mai baro barimos. Kadia si e buchi kai kerel O Swunto Duxo le Devlesko.
18Basi, sisi sote ambao nyuso zetu hazikufunikwa, twaonyesha kama katika kioo, utukufu wa Bwana; tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake kwa utukufu mwingi zaidi. Hiyo ni kazi yake Roho wa Bwana.