1Ando Iconium o Pavlo ai o Barnabas dine andek than ande synagogue le Zhidovonge, ai kadia de mishto dine duma, kai but narodo andal Zhiduvuria ai andal Grekuria pachaiepe.
1Kule Ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule Antiokia; Paulo na Barnaba walikwenda katika sunagogi la Wayahudi wakaongea kwa uhodari hata Wayahudi wengi na Wagiriki wakawa waumini.
2Numa uni andal Zhiduvuria chi pachaiepe, ai rimonas kodolen kai Nas Zhiduvuria, ai kerenas le te avel le chorhe ginduria pel phral.
2Lakini Wayahudi wengine waliokataa kuwa waumini walichochea na kutia chuki katika mioyo ya watu wa mataifa mengine ili wawapinge hao ndugu.
3Numa o Pavlo ai o Barnabas beshle but vriama ando Iconium, ai denas duma ai chi daranas ai pachanaspe ando Del, O Del sikavela lenge ke so mothonas pa lesko lashimos, chacho sas, ai delas len e zor te keren semnuria ai mirakluria.
3Paulo na Barnaba waliendelea kukaa huko kwa muda mrefu. Waliongea kwa uhodari juu ya Bwana, naye Bwana akathibitisha ukweli wa ujumbe walioutoa juu ya neema yake, kwa kuwawezesha kutenda miujiza na maajabu.
4Numa o narodo ande foro huladesas, uni sas le Zhidovonsa, ai uni le apostlonsa.
4Watu wa mji huo waligawanyika: wengine waliwaunga mkono Wayahudi, na wengine walikuwa upande wa mitume.
5Le Zhiduvuria ai kodola kai Nas Zhiduvuria penge barensa lashardionas te chinuin o Pavlo ai o Barnabas, ai te mudaren le baxensa.
5Mwishowe, baadhi ya watu wa mataifa mengine na Wayahudi, wakishirikiana na wakuu wao, waliazimu kuwatendea vibaya hao mitume na kuwapiga mawe.
6Kana o Pavlo ai o Barnabas haliarde so mangenas te keren lensa, geletar karing o Lystra ai o Derbe, le foruria kai si ande Lyconia, ai le thana kotsar pashe.
6Mitume walipogundua jambo hilo, walikimbilia Lustra na Derbe, miji ya Lukaonia, na katika sehemu za jirani,
7Ai kotse denas duma e lashi viasta.
7wakawa wanahubiri Habari Njema huko.
8Ando Listra beshelas tele iek manush ke nashtilas te phiral, bange sas leske punrhe de sar kerdilo sas, ai shoxar chi phirdia sas.
8Kulikuwa na mtu mmoja huko Lustra ambaye alikuwa amelemaa miguu tangu kuzaliwa, na alikuwa hajapata kutembea kamwe.
9Ashunelas sar divinilas o Pavlo, ai o Pavlo dikhel pe leste, ai dikhlia ke pachalpe kai sai sastiol.
9Mtu huyo alikuwa anamsikiliza Paulo alipokuwa anahubiri. Paulo alimtazama kwa makini, na alipoona kuwa alikuwa na imani ya kuweza kuponywa,
10O Pavlo tsipisardia zurales, "Wushti opre pe che punrhe." Ai wushtilo strazo ai phirdia.
10akasema kwa sauti kubwa, "Simama wima kwa miguu yako!" Huyo mtu aliyelemaa akainuka ghafla, akaanza kutembea.
11Kana o narodo dikhlia so kerdia o Pavlo, vazde o glaso, ai phende ande shib kodole themeske, Lycaonia; Le dela (le ikoni) kai kerdile sar le manush avile mashkar amende.
11Umati wa watu walipoona alichofanya Paulo, ulianza kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: "Miungu imetujia katika sura za binadamu!"
12Akharenas o Barnabas Jupiter; ai o Pavlo, akharenas les Mercurius, ke wo si kai divinilas.
12Barnaba akaitwa Zeu, na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa Herme.
13O rashai anda Jupiter, kai sas angla wudar le forosko, andai gurumlia ai lulujansa anglal wudara, wo ai o narodo mangenas te keren sakrifis ka Pavlo ai Barnabas.
13Naye kuhani wa hekalu la Zeu lililokuwa nje ya mji akaleta fahali na shada za maua mbele ya mlango mkuu wa mji, na pamoja na ule umati wa watu akataka kuwatambikia mitume.
14Kana le apostluria, o Barnabas ai o Pavlo ashunde kodia, shinde penge tsalia, ai gele mashkar le manushen, tsipinas, ai phenenas,
14Barnaba na Paulo walipopata habari hiyo waliyararua mavazi yao na kukimbilia katika lile kundi la watu wakisema kwa sauti kubwa:
15"Murhe vortacha, sostar keren kadia? Iame sam manush sar tumende, ai anas tumenge ek lashi viasta, ai sikavas tumenge te na mai keren kadala dieli kai nai lashi, ai te bolden tume karing O Del o zhuvindo kai kerdia o cheri, e phuv, e maria, ai so godi si.
15"Ndugu, kwa nini mnafanya mambo hayo? Sisi pia ni binadamu kama ninyi. Na, tuko hapa kuwahubirieni Habari Njema, mpate kuziacha hizi sanamu tupu, mkamgeukie Mungu aliye hai, Mungu aliyeumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo.
16O Del mai anglal meklia sa le themen te lenpe pala pengo zakono.
16Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.
17Numa savo sikavelas pesko mishtimos anda cheri, kerelas te del breshind, ai te avel xaben pe e vriama, ai delas tume but xaben, ai pherelas tumare ile mishtimos.
17Hata hivyo, Mungu hakuacha kujidhihirisha kwa mambo mema anayowatendea: huwanyeshea mvua toka angani, huwapa mavuno kwa wakati wake, huwapa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha."
18Vi kana divininas kadia le apostluria le Devleske nashtinas te aterdiaren le narodos, te bariaren lengo anav.'
18Ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie.
19Antunchi avile andai Antioch ai andai Iconium Zhiduvuria, ai tsirdenas le narodos pe penge rik, ai kana shudele baxensa po Pavlo, ai ingerde les avri anda foro, won gindinas ke mulo.
19Lakini Wayahudi kadhaa walikuja kutoka Antiokia na Ikonio, wakawafanya watu wajiunge nao, wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji wakidhani amekwisha kufa.
20Numa le disipluria geletar leste, ai pale wushtilo, ai pale gelo ando foro. Pe terharin gelotar o Pavlo ai o Barnabas anda Derbe.
20Lakini waumini walipokusanyika na kumzunguka, aliamka akarudi mjini. Kesho yake, yeye pamoja na Barnaba walikwenda Derbe.
21Kana o Pavlo ai o Barnabas dine duma pa Del ande kodo foro, ai sichardia but manushen. Antunchi geletar palpale ande Lystra, ande Iconium, ai ando Antioch,
21Baada ya Paulo na Barnabas kuhubiri Habari Njema huko Derbe na kupata wafuasi wengi, walifunga safari kwenda Antiokia kwa kupitia Lustra na Ikonio.
22ai o Pavlo ai o Barnabas denas zor le kolavre phralen, ai mothonas lenge pa Del ai te beshen ando pachamos kai sas dino, ai mothonas lenge trobul te nakhas pa but chino mai anglal te aresas ando rhaio le Devlesko.
22Waliwaimarisha waumini wa miji hiyo na kuwatia moyo wabaki imara katika imani. Wakawaambia, "Ni lazima sisi sote tupitie katika taabu nyingi ili tuingie katika ufalme wa Mungu."
23Ando swako khangeri, won alosarde le mai phure lenge, ai rhugisaile ai postisarde, ai mangenas katar O Del te arakhel le ande kodo Del, kai pachaiesaspe.
23Waliteua wazee katika kila kanisa kwa ajili ya waumini, na baada ya kusali na kufunga, wakawaweka chini ya ulinzi wa Bwana ambaye walikuwa wanamwamini.
24Porme kana nakhle andai Pisidia, avile ande Pamphilia.
24Baada ya kupitia katika nchi ya Pisidia, walifika Pamfulia.
25Ai kana phende pa Del andek foro kai bushol Perga, gele ande Attalia;
25Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.
26Ai kotsar line o paraxodo ai gele ando Antioch, kodo foro kai thosesas les angla Del pala e buchi kai kerde sas.
26Kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi Antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
27Kana aresle ande Antioch, ai chide la khangeria, phende so godi O Del kerdia sas lensa, ai sar phuterde sas le themenge o drom le pachamasko.
27Walipofika huko Antiokia walifanya mkutano wa kanisa la mahali hapo, wakawapa taarifa juu ya mambo Mungu aliyofanya pamoja nao, na jinsi alivyowafungulia mlango watu wa mataifa mengine mlango wa kuingia katika imani.
28Ai beshlo but vriama le disiplonsa.
28Wakakaa pamoja na wale waumini kwa muda mrefu.