1Sas ande khangeri ande Antioch profeturia ai manush kai sicharenas o zakono; o Barnabas, ai o Simon kai akharenas les Niger, o Luvius andai Cyrene, ai o Manaen kai barilo sas le amperatosa o Herod, ai o Saul.
1Katika kanisa la Antiokia kulikuwa na watu wengine waliokuwa manabii na walimu; miongoni mwao akiwa Barnaba, Simoni aitwaye pia Mweusi, Lukio wa Kurene, Manaeni ambaye alikuwa amelelewa pamoja na mfalme Herode, na Saulo.
2Sar kerenas buchi le Devleski, ai postinas, O Swunto Duxo phendia, "Rigate o Barnabas ai o Saul mange te keren e buchi kai mangav te keren."
2Walipokuwa wanafanya ibada yao kwa Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu alisema: "Niteulieni Barnaba na Saulo kwa ajili ya kazi niliyowaitia."
3Antunchi kana rhugisaile ai postisarde, thode le vas pe lende, ai rhudisarde lenge, ai mekle le te zhantar.
3Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.
4O Barnabas ai o Saul sas tradine katar O Swunto Duxo ande Seleucia; ai kotsar line o paraxodo te zhan andek izula kai bushol Cyprus.
4Basi, Barnaba na Saulo walipokwisha tumwa na Roho Mtakatifu, walishuka hadi Seleukia, na kutoka huko walipanda meli hadi kisiwa cha Kupro.
5Kana aresle ande Salamis, phende E Vorba le Devleski andel synagoguria le Zhidovonge; ai o Iovano zhutilas le.
5Walipofika Salami walihubiri neno la Mungu katika masunagogi ya Kiyahudi. Yohane (Marko) alikuwa msaidizi wao.
6Porme kana nakhle sa e izula zhi ando Paphos, arakhle ieke manushes kai sas drabarno, xoxamno profeto, Zhidovo sas, wo busholas Bar-jesus.
6Walitembea toka upande mmoja wa kisiwa mpaka Pafo upande wa pili, na huko walimkuta mchawi mmoja Myahudi aitwaye Baryesu ambaye alijisingizia kuwa nabii.
7Wo traiilas pasha manush kai sas baro pe kodia izula, o Sergius Paulus, kodo manush gojaver sas; ai o baro le izulako akhardia Barnabas ai o Saul, ke mangelas te ashunel E Vorba le Devleski.
7Huyu alikuwa pamoja na Sergio Paulo, mkuu wa kile kisiwa, ambaye alikuwa mtu mwelewa sana. Sergio Paulo aliwaita Barnaba na Saulo ili asikie neno la Mungu.
8Numa o Elimas o drabarno (ke kodo si lesko anav kai akharenas les) chi mangelas o Barnabas ai o Saul te zhan te mothon E Vorba le Devleski le bareske.
8Lakini huyo mchawi Elima (kama alivyokuwa anaitwa kwa Kigiriki), alijaribu kuwapinga ili kumzuia huyo mkuu wa kisiwa asije akaigeukia imani ya Kikristo.
9Antunchi o Saul (kai akharenas les Paul) pherdo sas le Swuntone Duxosa, dikhlia pe leste ai phendia,
9Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi,
10"Tu manusha kai san pherdo xoxaiimos ai chorimos, tu kai san o shav le bengesko, o duzhmano la krisako, e kris e vorta aterdiol, ai na mai rimosar le zakonuria kai si vorta le Devleske.
10akasema, "Mdanganyifu wa kupindukia na mlaghai wewe! Wewe ni mtoto wa Ibilisi! Wewe ni adui wa chochote kile kilicho cha kweli; hukomi hata mara moja kujaribu kuzipotosha njia za Bwana zilizonyoka.
11Akana, o vas le Devlesko pe tute lo, aves sa korho pe xantsi vriama, ai chi mai dikhesa o kham.Ai strazo o tuniariko pelo pe leste, ai rodelas sar te phirel ai manushen te sai sikaven leske po drom.
11Sasa, mkono wa Bwana utakuadhibu: utakuwa kipofu na hutaweza kuuona mwanga wa jua kwa kitambo." Mara kila kitu kikawa kama ukungu na giza kwake, akaanza kwenda huku na huku akitafuta mtu wa kumshika mkono amwongoze.
12O baro kai poronchilas pe izula, kana dikhlia so kerdilia, pachaiape ando Del, ai ande lesko zakono.
12Yule mkuu wa kisiwa alipoona hayo, aliongoka akawa muumini; akastaajabia sana mafundisho aliyosikia juu ya Bwana.
13O Pavlo ai leske vortacha line o paraxodo anda Paphos, ai gele ando Perga ande Pamphlia; o Iovano meklia le, ai gelotar palpale ande Jerusalem.
13Kutoka Pafo, Paulo na wenzake walipanda meli wakaenda hadi Perga katika Pamfulia; lakini Yohane (Marko) aliwaacha, akarudi Yerusalemu.
14Andai Perga gele pengo drom, ai aresle ando Antioch ande Pisidia, ai gele ande synagogue Savatone, ai beshle tele.
14Lakini wao waliendelea na safari toka Pisga hadi mjini Antiokia Pisidia. Siku ya Sabato waliingia ndani ya Sunagogi, wakakaa.
15Kana jinde e klishka le Zakonoski ai pa le Profetonge, E Vorba le Devleski, le bare rasha le synagogaki trade vari kas te mothon lenge, "Amare phral, te si tume vari so te mothon katar O Del, mothon."
15Baada ya masomo katika kitabu cha Sheria ya Mose na katika maandiko ya manabii, wakuu wa lile sunagogi waliwapelekea ujumbe huu: "Ndugu, kama mnalo jambo la kuwaambia watu ili kuwapa moyo, semeni."
16O Pavlo wushtilo opre, ai kerdia semno anda vas, ai phendia, "Tume Zhiduvuria, ai tume kai pachan tume ando Del, ashunen.
16Basi, Paulo alisimama, akatoa ishara kwa mkono, akaanza kuongea: "Wananchi wa Israeli na wengine wote mnaomcha Mungu, sikilizeni!
17O Del le Zhidovongo alosardia amare daden, kerdia te butiol kado narodo zhi kai sas streinuria ande Egypt, ai ankaladia le avri peske vastesa o zurales.
17Mungu wa taifa hili la Israeli aliwateua babu zetu na kuwafanya wawe taifa kubwa walipokuwa ugenini kule Misri. Mungu aliwatoa huko kwa uwezo wake mkuu.
18Lia sama lendar shtarvardesh bersh ande pusta.
18Aliwavumilia kwa muda wa miaka arobaini kule jangwani.
19Mudardia efta vitsen kai sas anda Canaan, ai dia e phuv palpale ka pesko narodo te beshen.
19Aliyaangamiza mataifa ya nchi ya Kanaani akawapa hao watu wake ile nchi kuwa mali yao.
20Antunchi pala kodia shtar shela ai panvardesh bersh dia le kristatoria kai sicharenas le, zhi kai avilo o Samuel o profeto.
20Miaka mia nne na hamsini ilipita, halafu akawapatia waamuzi wawaongoze mpaka wakati wa nabii Samweli.
21Porme mangle iek amperato; ai O Del dia le pe shtarvardesh bersh o Saul, o shav le Kishesko, andai e vitsa kai sas le Benjamin.
21Hapo wakapendelea kuwa na mfalme, na Mungu akawapa Saulo, mtoto wa Kishi wa kabila la Benyamini, awe mfalme wao kwa muda wa miaka arobaini.
22Porme kana chi mai mangle o Saul, O Del dia le le Davidos te avel lengo amperato; ai phendia pa leste, pa David, o shav le Jesesko, kodo manush si sar mangel les murho ilo, ai kai kerela so mangav lestar.
22Baada ya kumwondoa Saulo, Mungu alimteua Daudi kuwa mfalme wao. Mungu alionyesha kibali chake kwake akisema: Nimemwona Daudi mtoto wa Yese; ni mtu anayepatana na moyo wangu; mtu ambaye atatimiza yale yote ninayotaka kuyatenda.
23Andai e vitsa le Davidoski O Del shinadia te del ek Skepitori, ai andia le Zhidovonge ieke Skepitores, kai si O Jesus.
23Kutokana na ukoo wake mtu huyu, Mungu, kama alivyoahidi, amewapelekea watu wa Israeli Mwokozi, ndiye Yesu.
24Mai anglal sar te avel, o Iovano phendia pa bolimos, ai pe keimos le bezexengo sa le Zhidovonge.
24Kabla ya kuja kwake Yesu, Yohane alimtangulia akiwahubiria watu wote wa Israeli kwamba ni lazima watubu na kubatizwa.
25Ai kana o Iovano getosardia peske buchi, phenelas, "Kon sim me? So gindin tume? Chi sim O Kristo. Numa pala mande avel kodo kai chi sim dosta vuzho te phutrav leske doria le papuchenge!"
25Yohane alipokuwa anamaliza ujumbe wake aliwaambia watu: Mnadhani mimi ni nani? Mimi si yule mnayemtazamia. Huyo anakuja baada yangu na mimi sistahili hata kuzifungua kamba za viatu vyake.
26Murhe phral, Tume kai san shave andai e vitsa le Abrahamoske, ai tume kai pachan o mui le Devlesko, tumenge si kai sas tradini e vora le skepimaski.
26"Ndugu, ninyi mlio watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wengine wote mnaomcha Mungu! Ujumbe huu wa wokovu umeletwa kwetu.
27Le Zhiduvuria ande Jerusalem, ai lenge bare kerde so le profeturia phende kana mudarde les, chi zhangle le Kristos, ai chi haliarde so le profeturia phende, numa won jinenas pa kodia swako Savato.
27Kwa maana wenyeji wa Yerusalemu na wakuu wao hawakumtambua yeye kuwa Mwokozi. Wala hawakuelewa maneno ya manabii yanayosomwa kila Sabato. Hata hivyo, waliyafanya maneno ya manabii yatimie kwa kumhukumu Yesu adhabu ya kifo.
28Marka ke chi arakhle anda leste baio kadia de baro, kai trobulas mudardo, mangle katar o Pilate te mudarel les.
28Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.
29Ai kana kerde so godi sas ramome pa leste, huliarde les pa trushul, ai thode les ando greposhevo.
29Na baada ya kutekeleza yote yaliyokuwa yameandikwa kumhusu yeye, walimshusha kutoka msalabani, wakamweka kaburini.
30Numa O Del wushtiardia les mashkar le mule.
30Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu.
31Sikadilo but dies kodolenge kai gelesas lesa andai Galilee zhi ande Jerusalem, ai kai akana won si leske marturia mashkar o narodo.
31Naye, kwa siku nyingi aliwatokea wale waliofuatana naye kutoka Galilaya mpaka Yerusalemu. Hao ndio walio sasa mashahidi wake kwa watu wa Israeli.
32Ai ame phenas tumenge kadia lashi viasta, kai sas shinadi amare dadenge.
32Sisi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu amelitimiza sasa kwa ajili yetu sisi tulio wajukuu wao kwa kumfufua Yesu kutoka wafu.
33O Del kerdia so shinadiasas amenge kai sam le shave amare dadenge, kana zhuvindisailo O Jesus sar si ramome ando Psalm duito, tu san murho Shav, kerdem tu adies.
33Kama ilivyoandikwa katika zaburi ya pili: Wewe ni Mwanangu, mimi leo nimekuwa baba yako.
34O Del phendiasas ke zhuvindila les andai martia, ai anela les ka traio te na mai merel kadia, phendia sas, me kerava so shinademas le Davidoske.
34Na juu ya kumfufua kutoka wafu, asipate tena kurudi huko na kuoza, Mungu alisema hivi: Nitakupa baraka takatifu na za kweli nilizomwahidia Daudi.
35Anda kodia, mai phenel ande kolaver Psalm 16:8-11, chi mekesa kodoles kai si chiro te cherniol.
35Naam, na katika sehemu nyingine za zaburi asema: Hutamwacha Mtakatifu wako aoze.
36O David kerdia ande peske vriama so manglia lestar O Del, porme mulo, ai sas gropome pasha peske daden, ai chernilo.
36Sasa, Daudi mwenyewe alitimiza mapenzi ya Mungu wakati wake; kisha akafa na kuzikwa karibu na wazee wake, na mwili wake ukaoza.
37Numa kodo kai O Del zhuvindisardia les, chi chernilo.
37Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.
38Murhe phral, lestar si kai o iertimos le bezexengo si tumen dino.
38Jueni wazi, ndugu zangu, kwamba ujumbe kuhusu kusamehewa dhambi unahubiriwa kwenu kwa njia ya Yesu Kristo;
39Ai kon godi pachalape ande leste avela iertime and peske bezexa lestar, ai kai o zakaono le Mosesosko nashtilas te kerel.
39na ya kwamba kila mmoja anayemwamini Yesu anasamehewa dhambi zote, jambo ambalo halingewezekana kwa njia ya Sheria ya Mose.
40Arakhen tume, te na kerdiol tumenge, so si phendo katar le profeturia.
40Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
41Ashunen tume, kai chi pachan tume, chudin tume, ai meren: ke si te kerav ande tumare dies iek diela kai chi pachana, te mothola la tumenge vari kon."
41Sikilizeni enyi wenye madharau, shangaeni mpotee! Kwa maana kitu ninachofanya sasa, nyakati zenu, ni kitu ambacho hamtakiamini hata kama mtu akiwaelezeni."
42Kana o Pavlo ai o Barnabas ankliste avri andai synagogue, mangle lendar te aven palpale o Savato te den duma pa sa kodala dieli.
42Paulo na Barnaba walipokuwa wanatoka katika ile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya Sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo.
43Kana getosailo divano, but mashkar le Zhiduvuria ai mashkar kodola kai Nas Zhiduvuria kai kerenas o zakono le Zhidovonge linepe pala Pavlo ai pala Barnabas. O Barnabas ai o Pavlo zhutinas le ai divininas lensa pa Del, ai mothonas lenge te beshen ando lashimos le Devlesko.
43Mkutano huo ulipomalizika, Wayahudi wengi na watu wa mataifa mengine waliokuwa wameongokea dini ya Kiyahudi waliwafuata Paulo na Barnaba. Hao mitume waliongea nao, wakawatia moyo waendelee kuishi wakitegemea neema ya Mungu.
44O kolaver Savato pashte sa narodo le forosko chidinisailo te ashunel E Vorba le Devleski.
44Siku ya Sabato iliyofuata, karibu kila mtu katika ule mji alikuja kusikiliza neno la Bwana.
45Le Zhiduvuria kai dikhle sa o narodo kai chidinisailo, na lenge mishto, ai mothonas ke nas vorta so motholas o Pavlo, ai marenas mui lestar.
45Lakini Wayahudi walipoliona hilo kundi la watu walijaa wivu, wakapinga alichokuwa anasema Paulo na kumtukana.
46O Pavlo ai o Barnabas phende lenge chachimasa, "Ke tumenge mai anglal E Vorba le Devleski trobulas te avel phendi, numa te chi mangena te ashunen, ai te kerena tume kris pe tumende ke chi san dosta lashe te zhan ando rhaio, apo ame zhas te mothas pa Del kodolenge kai chi zhanen pa Del.
46Hata hivyo, Paulo na Barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, "Ilikuwa ni lazima neno la Mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine.
47Ke kadia phendia amenge O Del te keras. "Thodem tu te aves e vediara la lumiaki, te angeres o skepimos zhandel gora la lumiaki."
47Maana Bwana alituagiza hivi: Nimekuteua wewe uwe mwanga kwa mataifa, uwe njia ya wokovu kwa ulimwengu wote."
48Kana le Nai Zhiduvuria ashunde kodia, raduisaile, ai luvudinas E Vorba le Devleski: ai sa kodola kai sas lenge shinado o traio kai chi mai getolpe pachaiepe.
48Watu wa mataifa mengine waliposikia jambo hilo walifurahi, wakausifu ujumbe wa Mungu; na wale waliokuwa wamechaguliwa kupata uzima wa milele, wakawa waumini.
49E Vorba le Devleski ashundilias ande sa o them.
49Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile.
50Numa le Zhiduvuria rimonas le zhuvlian kai nas andal Zhiduvuria ai kai rhuginaspe ka Del, ai vi le manushen kai sas bare ando foro, kerde te chinuin o Pavlo ai o Barnabas, ai shude le avri anda them.
50Lakini Wayahudi waliwachochea wanawake wa tabaka ya juu wa mataifa mengine ambao walikuwa wacha Mungu, na wanaume maarufu wa mji huo. Wakaanza kuwatesa Paulo na Barnaba, wakawafukuza kutoka katika eneo lao.
51O Pavlo ai o Barnabas kana ankliste avri chinosarde e phulberia pa penge papucha, ai geletar ando Iconium.
51Basi, mitume wakayakung'uta mavumbi yaliyokuwa katika miguu yao kama onyo, kisha wakaenda Ikonio.
52Ai le disipluria ande Antioch pherdo raduimasa, ai le Swuntone Duxosa.
52Lakini hao wafuasi walikuwa wamejaa furaha na Roho Mtakatifu.