1Sa ande kodia vriama o amperato Herod chinuilas uni manushen kai sas Devleske andel khangeria.
1Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo.
2Ai mudardia la sabiasa o James, ophral le Iovanosko.
2Alimwua kwa upanga Yakobo ndugu yake Yohane.
3Ai dikhlia ke so kerelas drago sas le Zhidovonge, phendia te phandaven le Petres. Kodia kerdilia ande vriama le manrhonge bi drozhdi.
3Alipoona kuwa kitendo hiki kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu.)
4Line les, ai thode les ande temnitsa, ai thode desh u shov ketani te arakhen les; ai mangen te sikaven les angla narodo pala E Patradi.
4Baada ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari wannewanne. Herode alikusudia kumtoa hadharani baada ya sikukuu ya Pasaka.
5O Petri sas phandado ande temnitsa; numa e khangeri chi terdiolas te rhugilpe ka Del anda leste.
5Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.
6Iek riat mai anglal kai o amperato Herod zhalas te angerel le Petres angla narodo, o Petri sovelas ai phanglo sas dui lantsonsa mashkar dui ketani; ai aver ketani lenas sama angla wudar katar e temnitsa.
6Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.
7Eta, o angelo le Devlesko avilo, ai ek bari vediara strefialas ande temnitsa. O angelo wushtiardia le Petres, ai phenel leske, "Wushti opre strazo," ai le lantsuria pele tele katar leske vas.
7Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa akisema, "Amka upesi!" Mara ile minyororo ikaanguka kutoka katika mikono yake.
8Ai o angelo phendia leske, "Tho chi prashtai ai le shpargati." Ai o Petri kerdia so phendia leske, o angelo mai phendia leske, "Le pe tute chi raxami, ai aidi pala mande."
8Malaika akamwambia, "Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako." Akafanya hivyo. Kisha huyo malaika akamwambia, "Vaa koti lako, unifuate."
9O Petri anklisto avri, ai liape pala leste, ai chi zhanelas ke so kerelas o angelo, chache sas, gindilas ke vizion dikhelas.
9Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.
10Kana nakhle anglal pervo ketani ai porme anglal duito, aresle angla o wudar o sastruno kai angerel ando foro, kodo wudar phuterdiol korkorho angla lende, ankliste avri, ai dine po drom, ai strazo o angelo meklia le Petres.
10Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake.
11Avilo peste o Petri ai mothol, akana dikhav ke chaches O Del tradia peske angelos, ai ke lia ma anda vas le amperatosko, ai so godi le Zhiduvuria azhukerenas.
11Hapo ndipo Petro alipotambua yaliyotukia, akasema, "Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa kutoka katika mkono wa Herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa Israeli waliyotazamia."
12Kana haliardia so kerdilia lesa, gelo ka kher la Mariako, woi sas e dei la Iovanoski, kai akharenas les Mark, kotse but narodo sas andek than ai rhuginaspe.
12Alipotambua hivyo alikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Maria mama yake Yohane aitwaye Marko. Humo watu wengi walikuwa wamekusanyika wakisali.
13O Petri mardia anda o wudar, ai ek shei kai busholas Rhode, avili te dikhel.
13Petro alibisha mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.
14Ai prinzhardia o glaso le Petresko, ai ando pesko raduimos chi phuterdia o wudar, numa geli te mothol le kolavrenge ke o Petri angla o wudar sas.
14Huyo msichana aliitambua sauti ya Petro akafurahi mno, hata badala ya kuufungua ule mlango, akakimbilia ndani na kuwaambia kwamba Petro alikuwa amesimama nje mlangoni.
15Won mothonas lake, "Dzili san," numa woi motholas ke chaches sas. Ai won mothonas, "Ke lesko angelo si."
15Wakamwambia yule msichana, "Una wazimu!" Lakini yeye akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, "Huyo ni malaika wake."
16Numao Petri mai marelas anda o wudar, ai kana phuterde o wudar ai dikhle les, chudisaile.
16Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa.
17Kerdia lenge anda vas te na kerren mui, ai phendia lenge sar O Del lia les avri andai temnitsa. Ai phendia, phenen so kerdilia le Jamesoske ai le kolaver phralenge. Porme gelotar, ai gelo ande kolaver rik.
17Petro aliwaashiria kwa mkono wakae kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Kisha akawaambia watoe taarifa ya jambo hilo kwa Yakobo na wale ndugu wengine, halafu akatoka akaenda mahali pengine.
18Kana phuterdilo o dies, le ketani chi haliarenas so kerdilia, ai chi zhanenas kai sas o Petri.
18Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.
19Ai kana o amperato Herod rodia les, chi arakhe les, ai phushlia katar le bare, ai dia ordina te mudaren le ketanen kai lenas sama lestar.Porme o Herod gelo andai Judea zhando Casarea, te beshel kotse xantsi vriama.
19Herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. Hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. Halafu akatoka huko Yudea akaenda Kaisarea ambako alikaa.
20O Herod defial xoliariko sas po narodo kai sas ando Tyre ai ando Sidon, numa won avile karing leste. Line pesa pe penge rik, ieka ketani kai busholas Blastus, wo sas pasha amperato, porme gele te mangen katar o Herod e pacha lensa, ke won lestar anenas xaben ande pengo them katar o amperato.
20Herode alikasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Lakini wao walimpelekea wajumbe. Nao wakafaulu kwanza kumpata Blasto awe upande wao. Blasto alikuwa msimamizi mkuu wa ikulu ya mfalme. Kisha, wakamwendea Herode wakamwomba kuwe na amani, kwa maana nchi yao ilitegemea nchi ya mfalme kwa chakula.
21O dies kai manglia o Herod, liape peste peske tsalia le amperetsisko , ai beshlo po skamin, ai dia lensa duma angla savorhende.
21Siku moja iliyochaguliwa, Herode akiwa amevaa mavazi rasmi na kuketi katika kiti cha kifalme aliwahutubia watu.
22Ai o narodo tsipilas, phenenas, "Nai kado manush kai del duma, numa del si."
22Wale watu walimpigia kelele za shangwe wakisema, "Hii ni sauti ya mungu, si ya mtu."
23Numa strazo o angelo le Devlesko naswardia (dia palma) le amperatos, ke mangelas te garavel pesko barimos, kai trobulas le Devleske te avel, le rhimi xale les, ai mulo.
23Papo hapo malaika wa Bwana akamwangusha Herode chini kwa sababu hakumpa Mungu hizo sifa. Akaliwa na wadudu, akafa.
24E Vorba le Devleski ashundilias mai but ai mai but.
24Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua.
25Kana o Barnabas ai o Saul getosarde penge buchi avile palpale anda Jerusalem, angerde pesa le Iovanos kai akharenas les Mark.
25Baada ya Barnaba na Saulo kutekeleza shughuli zao, walitoka tena Yerusalemu wakamchukua Yohane aitwaye pia Marko.