Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Acts

11

1Le apostluria ai le phral kai sas ande Judea ashunde le Nai Zhiduvuria dinepe kal Del.
1Mitume na ndugu kule Yudea walisikia kwamba watu wa mataifa mengine pia walikuwa wamelipokea neno la Mungu.
2Antunchi o Perti gelo ando Jerusalem, ai le shave le Devleske kai sas ande Jerusalem phende leske, ke chi kerdia vorta.
2Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:
3Ai phendias, gelian kal Nai Zhiduvuria, ai xalian lensa.
3"Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!
4Ai o Petri liape te mothol lenge so kerdilia, phenelas, "Simas ando Joppa, ai sar rhugivas ma, dikhlem viziona, vari so kai miazolas sar ek bari selia, kai sas phangli kal shtar koltsuria, hulelas anda cheri ai avili zhi mande.
4Hapo Petro akawaeleza kinaganaga juu ya yale yaliyotendeka tangu mwanzo:
6Me dikhavas pe kodia selia, ai lem sama, ai dikhlem zhigeni shtare punrhensa, ai sapa, shuporli (chorhe zhigeni), ai chiriklia.
5"Siku moja nikiwa nasali mjini Yopa, niliona maono; niliona kitu kama shuka kubwa likishushwa chini kutoka mbinguni likiwa limeshikwa pembe zake nne, likawekwa kando yangu.
7Ai ashundem ek glaso kai motholas mange, "Wushti opre, Petri, mudar ai xa."
6Nilichungulia ndani kwa makini nikaona wanyama wenye miguu minne, wanyama wa mwituni, wanyama watambaao na ndege wa angani.
8Ai me phendem, "Nichi, Devla, ke shoxar chi xalem vari so kai si bi vuzho vai marime."
7Kisha nikasikia sauti ikiniambia: Petro amka, chinja, ule.
9Ai pe duito data iek glaso avilo anda cheri, "So O Del phendia ke si vuzho, tu na dikh sar bi vuzho."
8Lakini mimi nikasema: La, Bwana; maana chochote kilicho najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu.
10Kodia sas mange phendo trivar; porme sa geletar ando cheri.
9Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.
11Ai eta, strazo trin manush kai sas tradine anda Caesarea karing mande, avile mande kai beshav.
10Jambo hilo lilifanyika mara tatu, na mwishowe vyote vilirudishwa juu mbinguni.
12O Swunto Duxo phenelas mange te zhav lensa, ai gelem, kodole shov lashe avile mansa, ai diam ando kher ande kodola manushesko kai bushol Cornelius.
11Ghafla, watu watatu waliokuwa wametumwa kwangu kutoka Kaisarea waliwasili kwenye nyumba niliyokuwa nakaa.
13Kodo manush phendia amenge sar dikhliasas le angelos ande pesko kher, o angelo avilo leste, ai phendia leske, "Trade manush ando Joppa, te anen le Simonos, kodoles kai akharen o Petri,
12Roho aliniambia niende pamoja nao bila kusita. Hawa ndugu sita waliandamana nami pia kwenda Kaisarea na huko tuliingia nyumbani mwa Kornelio.
14kai mothola tuke o divano, kai tu ai chi familia avena skepime."
13Yeye alitueleza jinsi alivyokuwa amemwona malaika amesimama nyumbani mwake na kumwambia: Mtume mtu Yopa akamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petro.
15Kana lem te dav duma, O Swunto Duxo hulisto pe lende, sar pe amende anda gor,
14Yeye atakuambia maneno ambayo kwayo wewe na jamaa yako yote mtaokolewa.
16Ai antunchi dema goji kal vorbi kai phendiasas O Del, o Iovano boldia ando pai, numa tume avena bolde ando Swunto Duxo.
15Na nilipoanza tu kuongea, Roho Mtakatifu aliwashukia kama alivyotushukia sisi pale awali.
17"O Del dia len kodia podarka de sar amenge, kai pachaia ma ando Devles Jesus Kristo, sar sai te na kerav so mothol O Del?"
16Hapo nilikumbuka yale maneno Bwana aliyosema: Yohane alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.
18Kana ashunde kado divano, chi mai phende kanch, ai naisin le Devles, phenenas, "O Del dia o keimos vi kal manush kai Nai Zhiduvuria, saxke te avel o iertimos vi len o traio."
17Basi, kama Mungu amewapa pia watu wa mataifa mengine zawadi ileile aliyotupa sisi tulipomwamini Bwana Yesu Kristo, je, mimi ni nani hata nijaribu kumpinga Mungu?"
19Kodola kai sas rhespisaile pala o baio le manushenge kana o Stephen sas mudardo, gele zhande le Phoinicia, ai Cyrus, ai Antioch, phenenas E Vorba le Devleski ferdi le Zhidovonge.
18Waliposikia hayo, waliacha ubishi, wakamtukuza Mungu wakisema, "Mungu amewapa watu wa mataifa mengine nafasi ya kutubu na kuwa na uzima!"
20Ai uni mashkar lende sas manush ande Cyprus ai andai Cyrene, kai kana avile ande Antioch, gele kal Grekuria, ai mothonas lenge e lashi viasta pa Jesus Kristo.
19Kutokana na mateso yaliyotokea wakati Stefano alipouawa, waumini walitawanyika. Wengine walikwenda mpaka Foinike, Kupro na Antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa Wayahudi tu.
21O vas le Devlesko lensa sas, ai buta manush pachaiepe, ai dinepe ka Del.
20Lakini baadhi ya waumini waliotoka Kupro na Kurene, walikwenda Antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile Habari Njema juu ya Bwana Yesu.
22Kodia ashundilia zhi kal khan le manushenge kai sas ande khangeri ande Jerusalem; ai trade iekes kai busholas Barnabas, zhi ando Antioch,
21Bwana aliwasaidia na idadi kubwa ya watu iliamini na kumgeukia Bwana.
23kana areslo, ai dikhlia o lashimos le Devlesko, raduisailo, ai phendia lenge, savorhenge te beshen ieke ilesa phangle ka Del.
22Habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la Yerusalemu. Hivyo wakamtuma Barnaba aende Antiokia.
24Ke lasho manush sas, pherdo Swunto Duxo ai pachamos; ai but narodo diape ka Del.
23Alipofika huko na kuona jinsi Mungu alivyowaneemesha wale watu, alifurahi na kuwahimiza wote wadumu katika uaminifu wao kwa Bwana.
25Antunchi o Barnabas gelo ande Tarsus, te rodel kodoles kai bushol Saul.
24Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.
26Kana arakhlia les, andia les ando Antioch, iek bersh chidepe andek than andel khangeria, ai sicharenas but narodos. Ando Antioch sas e pervo data kai le disipluria sas akharde le Shave le Devleske.
25Kisha, Barnaba alikwenda Tarso kumtafuta Saulo
27Ande kodia vriama le profeturia gele anda Jerusalem ando Antioch.
26Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. Huko Antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa Wakristo.
28Iek anda lende kai busholas Agabus wushtilo opre, ai phendia katar O Swunto Duxo ke chi mai avela xaben pe sa e phuv, ai kerdilia kana o Claudius Caesar sas o baro le themengo.
27Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
29Le disipluria dinepe duma, ai te traden xaben sako so dashtila kal phral kai sas ande Judea;
28Basi, mmoja wao aitwaye Agabo alisimama, na kwa uwezo wa Roho akabashiri kwamba kutakuwa na njaa kubwa katika nchi yote (Njaa hiyo ilitokea wakati Klaudio alipokuwa akitawala).
30Ai kerde kadia, trade xaben kal mai phure kai sas ande Judea le Barnabasa ai le Saulosa.
29Wale wanafunzi waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea.
30Basi, wakafanya hivyo na kupeleka mchango wao kwa wazee wa kanisa kwa mikono ya Barnaba na Saulo.