1Ek manush kai busholas Lazarus naswalosas. Beshlo ande foro kai busholas Bethany leske pheiasa, e Maria ai e Martha.
1Mtu mmoja aitwaye Lazaro, mwenyeji wa Bethania, alikuwa mgonjwa. (Kijiji cha Bethania kilikuwa mahali walipokaa Maria na Martha, dada yake.
2Kodia Maria sas kai thodia pel punrhe le Devleske e duxi, ai koslia leske punrhe peske balensa, ai lako phral o Lazarus naswalo sas.
2Maria ndiye yule aliyempaka Bwana marashi na kumpangusa kwa nywele zake. Lazaro, kaka yake, ndiye aliyekuwa mgonjwa.)
3Le dui pheia trade ieke manushes te phenen ka Jesus, "Devla, kodo kai si tuke drago si naswalo."
3Basi, hao dada wakatuma ujumbe huu kwa Yesu: "Bwana, rafiki yako ni mgonjwa!"
4Kana O Jesus ashundia kodia, phendia, "Kodo naswalimos le Lazarusosko nai merimasko, numa te anel o luvudimos ka Del, ai vi O Shav le Devlesko avela luvudime."
4Yesu aliposikia hivyo akasema, "Ugonjwa huo hautaleta kifo, ila ni kwa ajili ya kumtukuza Mungu; ameugua ili kwa njia hiyo Mwana wa Mungu atukuzwe."
5O Jesus drago sas leske e Martha, ai laki phei e Maria, ai o Lazarus.
5Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.
6Kana O Jesus ashundia ke o Lazarus naswalo sas, mai beshlo dui dies ando than kai sas.
6Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi.
7Pala kodia phendia peske disiplonge, "Aven palpale ande Judea."
7Kisha akawaambia wanafunzi wake, "Twendeni tena Yudea!"
8Leske disipluria phende leske, "Gazda, de xantsi vriama palpale le Zhiduvuria mangenas te shuden bax pe tute; ai tu manges te zhas palpale kotse?"
8Wanafunzi wakamwambia, "Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?"
9O Jesus phendia lenge, "Nai desh u dui chasuria ando iek dies? Te si vari kon kai phirel adiese, chi perel, ke dikhel e vediara la lumiaki.
9Yesu akajibu, "Je, saa za mchana si kumi na mbili? Basi, mtu akitembea mchana hawezi kujikwaa kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu.
10Numa te si vari kon kai phirela e riate, perel, ke nai les vediara ande leste.
10Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake."
11Pala kodola vorbi, phendia lenge, "O Lazarus, amaro vortako sovel; numa zhav te wushtiavav les."
11Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, "Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha."
12Antunchi leske disipluria phende, "Gazda, te sovela, sastiola."
12Wanafunzi wake wakamwambia, "Bwana, ikiwa amelala, basi atapona."
13Numa O Jesus dia duma pa lesko merimos; numa won gindinas ke wo dia duma pa sovimos sar kana sovel.
13Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.
14Antunchi O Jesus phendia lenge, "O Lazarus mulo.
14Basi, Yesu akawaambia waziwazi, "Lazaro amekufa;
15Ai pala tumende raduime sim ke chi simas lesa, ke kadia si te pachan tume; aven leste akana."
15Lakini nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini. Haya, twendeni kwake."
16O Thomas phendia, kai sas akhardo Didimus, phendia le avre disiplonge, "Aven vi ame te meras lesa!"
16Thoma (aitwaye Pacha) akawaambia wanafunzi wenzake, "Twendeni nasi tukafe pamoja naye!"
17Kana O Jesus areslo, ashundia ke o Lazarus sas de shtar dies ando greposhevo.
17Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.
18Ai sar o Bethany nai dur katar o Jerusalem, pashe trin kilmeturia vai dui maili.
18Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu umbali upatao kilomita tatu.
19But Zhiduvuria avile te dikhen e Martha, ai Maria, ke nekezhime kai mulo lengo phral.
19Wayahudi wengi walikuwa wamefika kwa Martha na Maria kuwafariji kwa kifo cha kaka yao.
20Kana e Martha ashundia ke O Jesus avelas, geli karing leste, numa e Maria beshli tele ando kher.
20Basi, Martha aliposikia kwamba Yesu alikuwa anakuja, akaenda kumlaki; lakini Maria alibaki nyumbani.
21E Martha phendia ka Jesus, "Gazda, te avilianas katse, murho phral nas te avel mulo!
21Martha akamwambia Yesu, "Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!
22Numa vi akana zhanav, ke so godi manges katar O Del, O Del del les tuke."
22Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa."
23O Jesus phendia lake, "Cho phral zhuvindila."
23Yesu akamwambia, "Kaka yako atafufuka."
24E Martha phendia, "Zhanav ke wo zhuvindila kana savorhe wushtena paluno dies,"
24Martha akamjibu, "Najua kwamba atafufuka wakati wa ufufuo, siku ya mwisho."
25O Jesus phendia lake, "Me sim o zhuvindimos ai o traio: Kon pachalape ande mande, traiila, marka te merela;
25Yesu akamwambia, "Mimi ndimi ufufuo na uzima. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi:
26Ai kon godi traiil ai pachalape ande mande shoxar chi merela. Pachas tu kadia?" Woi phenel leske,
26na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?"
27"E, Gazda, pachav ma ke tu san O Kristo, O Shav le Devlesko, kai trobulas te avel ande lumia.
27Martha akamwambia, "Ndiyo Bwana! Naamini kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni."
28Kana phendia kadia. Martha gelitar te akharel chorial peska pheia e Maria, phenelas, "O Gazda katse lo ai akharel tu."
28Baada ya kusema hayo, Martha alikwenda kumwita Maria, dada yake, akamwabia faraghani, "Mwalimu yuko hapa, anakuita."
29Kana e Maria ashundia kadala vorbi, strazo wushtili, ai geli karing leste.
29Naye aliposikia hivyo, akainuka mara, akamwendea Yesu.
30Ke O Jesus chi areslo sas ando gav inker, numa kotse sas kai e Martha arakhlia les.
30Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.
31Le Zhiduvuria kai sas ando kher la Mariasa te pochin la, dikhle ke strazo wushtili ai geli avri, gele pala late, phenenas; "Woi zhal ka greposhevo te rovel."
31Basi, Wayahudi waliokuwa nyumbani pamoja na Maria wakimfariji walipomwona ameinuka na kutoka nje ghafla, walimfuata. Walidhani alikuwa anakwenda kaburini kuomboleza.
32Kana e Maria aresli kai sas O Jesus. Ai dikhlia les, peli ka leske punrhe, ai phenel leske, "Gazda, te avilianas katse, murho phral nas te merel."
32Basi, Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa na kumwona, alipiga magoti, akamwabia, "Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!"
33O Jesus dikhlia ke rovel, woi ai vi le Zhiduvuria kai avile lasa, nekezhisailo ando pesko duxo, ai sas leske mila.
33Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye wanalia pia, alijawa na huzuni na kufadhaika moyoni.
34Ai wo phushlia len, "Kai groposardian les?" Won phende leske, "Gazda, aidi ai dikh."
34Kisha akawauliza, "Mlimweka wapi?" Wakamwambia, "Bwana, njoo uone."
35O Jesus ruiia.
35Yesu akalia machozi.
36Pe kodia le Zhiduvuria phende, "Dikhen sar sas leske drago!"
36Basi, Wayahudi wakasema, "Tazameni jinsi alivyompenda!"
37Ai uni anda lende phende, "Wo kai phuterdia le iakha le korheske, nashti kerdia vi kado manush te na merel?"
37Lakini baadhi yao wakasema, "Je, huyu aliyemfumbua macho yule kipofu, hakuweza kumfanya Lazaro asife?"
38Mai iek data O Jesus nekezhisailo ande peste, ai gelo ka greposhevo. Sas iek podruma, ai ek bax thodino anglal.
38Basi, Yesu akiwa amehuzunika tena moyoni, akafika kaburini. Kaburi lenyewe lilikuwa pango, na lilikuwa limefunikwa kwa jiwe.
39O Jesus phendia lenge, "Len o bax!" E Martha, e phei le muleski, phendia leske, "Gazda, vunzhe khandel; ke de shtar dies katse lo!"
39Yesu akasema, "Ondoeni hilo jiwe!" Martha, dada yake huyo aliyekufa, akamwambia, "Bwana, amekwishaanza kunuka; amekaa kaburini siku nne!"
40O Jesus phendia lake, "Chi phendem tuke, ke te pachasa tu, dikhesa o barimos le Devlesko?"
40Yesu akamwambia, "Je, sikukwambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?"
41Line o bax ai O Jesus vazdia le iakha opre, ai phendia, "Murho Dat, naisiv tuke ke kerdian so mangav.
41Basi, wakaliondoa lile jiwe. Yesu akatazama juu mbinguni, akasema, "Nakushukuru Baba kwa kuwa wewe wanisikiliza.
42Me zhanav ke tu ashunes ma sagda; numa dem duma pala o narodo katse, kaste te pachanpe ke tu tradian ma."
42Najua kwamba unanisikiliza daima. Lakini nimesema hayo kwa ajili ya watu hawa waliopo hapa ili wapate kuamini kwamba wewe ndiwe uliyenituma."
43Kana phendia kodia, tsipisardia ieke glaso zurales, "Lazarus, ankli avri!"
43Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: "Lazaro! Toka nje!"
44Ai o mulo anklisto, le vas ai le punrhe phangle andel le derzi, ai lesko mui phanglo poxtan parno. O Jesus phendia lenge, "Phutren les, ai meken les te zhal."
44Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, "Mfungueni, mkamwache aende zake."
45But andel le Zhiduvuria avile karing e Maria ai dikhle so kerdia O Jesus, ai pachaiepe ande leste.
45Basi, Wayahudi wengi waliokuwa wamefika kwa Maria walipoona kitendo hicho alichokifanya Yesu wakamwamini.
46Numa uni anda lende gele kal le Farizeanonge, ai phende lenge so kerdia O Jesus.
46Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.
47Antunchi le Farizeanuria ai le bare rasha chidinisaile andek than, ai phende, "So te keras." Ke kado manush kerel but mirakluria!
47kwa hiyo makuhani wakuu na Mafarisayo wakafanya kikao cha Baraza kuu, wakasema, "Tufanye nini? Mtu huyu anafanya ishara nyingi mno.
48Te mekasa les te kerel, savorhe pachanpe ande leste; ai le Romanuria avena ai pharhaven amari tampla ai amaro them!"
48Tukimwacha tu watu wote watamwamini, nao Waroma watakuja kuliharibu Hekalu letu na taifa letu!"
49Iek anda lende, kai busholas Caiaphas, kai sas o baro rashai kodo bersh, phendia lenge, "Tume chi zhanen kanchi!
49Hapo, mmoja wao aitwaye Kayafa, ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, akawaambia, "Ninyi hamjui kitu!
50Tume chi haliaren ke mai mishto tumenge te avel iek manush te merel pala sa o narodo, de sar pala sa o them te avela pharhado?"
50Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?"
51Wo chi phendia kodia anda peste; numa sar sas o baro rashai kodo bersh, profesisardia ke O Jesus trobul te merel pala o them le Zhidovongo.
51Yeye hakusema hivyo kwa hiari yake mwenyewe, bali kwa vile alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, alibashiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa lao;
52Ai na ferdi pala kado them, numa vi te chiden ande iek stato sa le shave le Devleske kai si pe swako rig.
52na wala si kwa ajili yao tu, bali pia apate kuwaleta pamoja watoto wa Mungu waliotawanyika.
53De katar kodo dies, phenenas mashkar pende sar te mudaren les.
53Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi walifanya mipango ya kumwua Yesu.
54Sa anda kodia O Jesus chi mai phiravelas anglal le Zhiduvuria, numa gelotar karing iek rik kai si e pusta, ande ek gav kai busholas Ephraim, kai beshlo peske disiplonsa.
54Kwa hiyo, Yesu hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi, bali alitoka hapo, akaenda mahali karibu na jangwa, katika mji uitwao Efraimu. Akakaa huko pamoja na wanafunzi wake.
55Ai O Dies O Baro le Zhidovongo pashiol; ai but manush andai them avenas ando o Jerusalem mai anglal sar o dies o baro, te vuzharenpe anda penge bezexa.
55Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa karibu, na watu wengi walikwenda Yerusalemu ili wajitakase kabla ya sikukuu hiyo.
56Won rodenas le Jesusos, kana chidenape ande tampla, ai phenenas iek kavreske, "So gindin? Chi avela po dies o baro?"
56Basi, wakawa wanamtafuta Yesu; nao walipokusanyika pamoja Hekaluni wakaulizana, "Mwaonaje? Yaonekana kwamba haji kabisa kwenye sikukuu, au sivyo?"
57Le bare rasha ai le Farizeanuria dine iek ordina, "Ke te si vari kon kai zhanena kai lo O Jesus, trobul te phenel les, ke trobul te astarel les."
57Makuhani wakuu na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko Yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.