Romani: New Testament

Swahili: New Testament

John

15

1"Me sim o chacho khash le strugurosko, ai murho Dat si kodo kai lel sama katar e rez.
1"Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
2Ai swako krenga kai si ande mande kai chi anel fruta, wo shinel la; numa swako krenga kai anel fruta; wo shinel la, saxke te avel la mai but fruta.
2Yeye huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.
3Akana te san vuzho/vuzhi palai vorba kai phendem tute.
3Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
4Beshes ande mande, ai me beshava ande tute, sar e krenzha kai nashtil anda peste te avel la fruta, te na beshela phangli ka khash; kadia tu nashtis te na beshesa ande mande.
4Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.
5Me sim o khash le strugurosko, ai tume san le krenzhi. Kuko kai beshel ande mande, ai me beshav ande leste, wo anel but fruta; ke tu bi mango nashtis te keres khanchi.
5"Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi yake. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.
6Te si vari kon kai chi beshel ande mande, wo shudino lo avri sar e krenzha, ai shuchol; ai porme chiden le, ai shuden le ande iag, kai phabosarde.
6Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue.
7Te beshena ande mande , ai murhe vorbi te beshena ande tuende, phushen so tume mange, ai avela tume dino so mangen.
7Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.
8Kana tume den but fruta, murho Dat si luvudime; kadia sikavel kai san murhe disipluria.
8Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu.
9Sar O Dat drago mange, mange drago sas tumen; beshen ande murhe dragostia.
9Mimi nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu.
10Te garavena murhe zakonuria, tume beshena ande murhe dragostia; sa sar garadem me le zakonuria murhe Dadeske, ai ke beshav ando leski dragostia.
10Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
11Me phendem tumenge kadala dieli, saxke te avel murho raduimos ande tumende, ai tumaro raduimos te avel pherdo.
11Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike.
12Eta, murho zakono, aven drazhi iek kavreske, sar sas mange drazhi tumenge. Nai mai bari dragostia de sar te des pesko traio leske vortachenge.
12Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
14Tume san murhe vortacha, te kerena so phenav tumenge.
13Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
15Chi mai akharav tumen slugi; ke e sluga chi zhanel so kerel lako gazda: numa akhardem tume vortacha; ke phendem tumenge swako fielo sa so godi kai ashundem katar murho Dat.
14Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.
16Tume chi alosardian ma, numa me alosardem tumen, ai phendem tumenge te zhan ai te avel tume fruta, ai tumare fruta te avel fruta kai inkerel: saxke so tume mangena katar O Dat ande murho anav, wo dela tume.
15Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi hajui anachofanya bwana wake. Lakini mimi nimewaita ninyi rafiki, kwa sababu nimewajulisha yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu.
17So mangav me tumendar, si te aven drazhi iek kavreske.
16Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu.
18Te e lumia gretsol tume, tume zhanen ke e lumia gretsosardia ma mai anglal tumendar.
17Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni.
19Te avilianas andai lumia, e lumia sas te avel lake drago so si lako; numa ke chi san andai lumia, ai ke alosardem tume andai lumia, anda kadia e lumia gretsol tume.
18"Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
20Dem tume goji kai vorba kai phendem tumenge. 'E sluga nai mai bari katar pesko gazda.' Te chinuisarde man, chinuina vi tumen; te garade murhi vorba, garavena vi tumari.
19Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.
21Numa won kerena tumenge sa kadala dieli pala murho anav, ke chi zhanen kodoles kai tradia ma.
20Kumbukeni niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa na ninyi pia; kama wameshika neno langu, watalishika na lenu pia.
22Te na avilemas ai te na demas lensa duma, nas te aven doshale ke kerde bezexa: numa akana nashtin motson ke nai doshale anda penge bezexa.
21Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.
23Kodoleske kai gretsol man, gretsol vi murho Dat.
22Kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.
24Te na kerdemas mashkar lende bucha kai khonik aver chi kerdia, nas te avel le bezexa: Numa akana won dikhlesas so kerdem, ai won gretson ma ai murho Dat.
23Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia.
25Numa kadala dieli kerdile, saxke te kerdiol e vorba kai si ramome ande lengo zakono, 'Won gretsosarde ma intaino.'
24Kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia.
26Kana avela O Zhutitori, kodo kai tradava tumenge katar le Dadesko, ai vi O Swunto Duxo le chachimasko avel katar O Dat, wo mothola pa mande.
25Na hivi ni lazima yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: Wamenichukia bure!
27Ai vi tume mothona pa mande, ke tume san mansa de anda gor.
26"Atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.
27Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo.