1Le Farizeanuria ashunde ke O Jesus kerelas ai bolelas mai but disipluria de sar o Iovano.
1Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohane.
2Numa O Jesus chi bolelas, numa leske disipluria.
2(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
3O Jesus meklia e Judea, ai gelo palpale ande Galilee.
3Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;
4Numa trobulas te nakhel pai Samaria.
4na katika safari hiyo ilimbidi apitie Samaria.
5Areslo andek gav ande Samaria kai busholas Sychar, pasha kimpo kai o Iakov diasas ka Josef pesko shav.
5Basi, akafika Sukari, mji mmoja wa Samaria, karibu na shamba ambalo Yakobo alikuwa amempa mwanawe, Yosefu.
6Kotse sas e xaiin le Iakovoski, O Jesus chino sas katar o phirimos, thodiape pashai xaiin ai beshlo tele: sas karing le desh u dui chasuria.
6Mahali hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, naye Yesu, kutokana na uchovu wa safari, akaketi kando ya kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.
7Iek zhuvli andai Samaria avilo te lel pai; O Jesus phenel lake, "De ma pai te piiav."
7Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, "Nipatie maji ninywe."
8Ke leske disipluria gelesas ando foro te chinen xabe.
8(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
9Antunchi e zhuvli andai Samaria phendia leske, "Sar tu kai san Zhidovo, manges mandar pai te pes? Ke sim zhuvli andai Samaria. Ke le Zhiduvuria chaches chi brotinas le manushensa kai si andai Samaria.
9Lakini huyo mwanamke akamwambia, "Wewe ni Myahudi; mimi ni mwanamke Msamaria! Unawezaje kuniomba maji?" (Wayahudi hawakuwa na ushirikiano na Wasamaria katika matumizi ya vitu.)
10O Jesus phendia lake, "Te zhanglianas tu e podarka le Devleski, ai kon si kodo kai phenel tuke, "De man te piiav;" Tu korkorho manglianas lestar te pes, ai del tu pai zhuvindo."
10Yesu akamjibu, "Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani anayekwambia: Nipatie maji ninywe, ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yaliyo hai."
11E zhuvli phendia leske, "Gazda, Nai tu kanchi te tsirdes ai e xaiin tele la, katar anesa kodo pai zhuvindo?
11Huyo mama akasema, "Mheshimiwa, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yaliyo hai?
12San tu mai baro katar amaro dat o Iakov, kai dia ame kadia xaiin, ai pilia vi wo, ai leske shave, ai leske zhigeni?"
12Au, labda wewe wajifanya mkuu kuliko babu yetu Yakobo? Yeye alitupa sisi kisima hiki; na yeye mwenyewe, watoto wake na mifugo yake walikunywa maji ya kisima hiki."
13O Jesus phendia lake, "Kon godi pela anda kado pai mai avela trushalo;
13Yesu akamjibu, "Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
14Numa kado kai pela anda pai kai dava les chi mai avela trushalo; numa o pai ai dava les kerdiola ande leste xaiin paieske kai zhal zhando traio kai chi mai getolpe."
14Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uzima na kumpatia uzima wa milele."
15E zhuvli phendia leske, "Gazda, de ma kado pai, saxke te na mi avav trushali, ai te na mai avav katse te tsirdav pai anda xaiin."
15Huyo mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, nipe maji hayo ili nisione kiu tena; nisije tena mpaka hapa kuteka maji."
16O Jesus phendia lake, "Zha. Akhar che rhomes, ai aida katse."
16Yesu akamwambia, "Nenda ukamwite mumeo uje naye hapa."
17E zhuvli phendia leske, "Nai ma rhom." ai O Jesus phendia lake, "Vorta phenes, ke nai tu rhom,
17Huyo mwanamke akamwambia, "Mimi sina mume." Yesu akamwambia, "Umesema kweli, kwamba huna mume.
18ke sas tu pansh rhom; ai kado kai si tu akana nai cho rhom; chaches so phendian."
18Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli."
19E zhuvli phendia leske, "Gazda, Dikhav ke tu san profeto.
19Huyo Mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, naona ya kuwa wewe u nabii.
20Amare dada rhuginaspe kacha plaiin; ai phenes, si ando Jerusalem o than kai trobul te rhugisavas ka Del."
20Babu zetu waliabudu juu ya mlima huu, lakini ninyi mwasema kwamba mahali pa kumwabudu Mungu ni kule Yerusalemu."
21O Jesus phendia lake, "Zhuvlio, o chaso avela, kai chi mai rhugina le Dades chi pe kacha plaiin ai chi ando Jerusalem.
21Yesu akamwambia, "Niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba juu ya mlima huu, wala kule Yerusalemu.
22Tune chi zhanen kas te rhugin tume; ke o skepimos avel katar le Zhiduvuria.
22Ninyi Wasamaria mnamwabudu yule msiyemjua, lakini sisi tunamjua huyo tunayemwabudu, kwa maana wokovu unatoka kwa Wayahudi.
23Numa o chaso avel, ai vunzhe avili, kana le chache manush rhuginpe ka Dat ando duxo ai ando chachimos; ke kadia mangel O Dat te rhuginpe le manush.
23Lakini wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka.
24O Del si Duxo, ai kodola kai rhuginpe leste, trobul te rhugin leste ando duxo ai ando chachimos."
24Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."
25E zhuvli phendia leske, "Zhanav ke O Messiah avela, kodo kai si O Kristo: Kana avela, Wo sicharel ame swako fielo."
25Huyo mama akamwambia, "Najua kwamba Masiha, aitwaye Kristo, anakuja. Atakapokuja atatujulisha kila kitu."
26O Jesus phendia lake, "Me sim kodo kai dav duma tusa."
26Yesu akamwambia, "Mimi ninayesema nawe, ndiye."
27Pe kadia aresle leske disipluria, ai chudisaile te dikhen sar del duma la zhuvliasa; numa chi iek chi tromailo te phushel les, "So manges latar", vai "Sostar des duma lasa?"
27Hapo wanafunzi wake wakarudi, wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke. Lakini hakuna mtu aliyesema: "Unataka nini?" au, "Kwa nini unaongea na mwanamke?"
28E zhuvli meklia peski vadra, ai gelitar ando gav, ai phenel le manusheske.
28Huyo mama akauacha mtungi wake pale, akaenda mjini na kuwaambia watu,
29"Aven, dikhen iek manush kai phendia mange so godi kerdem. Nai kado O Kristo?"
29"Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?"
30Anklisto avri anda foro, ai avile leste.
30Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu.
31Ande kodia vriama leske disipluria grebinas, phenenas leske, "Gazda, xas vari so."
31Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: "Mwalimu, ule chakula."
32Numa wo phendia lenge, "Si ma xabe te xav kai tume chi zhanen."
32Lakini Yesu akawaambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi."
33Le disipluria denas pe duma iek kavres, "Pate andia leske vari kon te xal?"
33Wanafunzi wake wakaulizana, "Je, kuna mtu aliyemletea chakula?"
34O Jesus phendia lenge, "Murho xabe si te kerav e voia kodoleski kai tradia man, ai te getov leske buchi.
34Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake.
35Chi phenen tume, "Si shtar shon zhi kai chiden o jiv?" Ashun! phenav tumenge, phutren che iakha, ai dikhen le kimpuria; ke vunzhe o jiv gatalo te avel chidino.
35Ninyi mwasema: Bado miezi minne tu, na wakati wa mavuno utafika! Lakini mimi nawaambieni, yatazameni mashamba; mazao yako tayari kuvunwa.
36Kodo kai chidel lel peske pochin, ai chidel fruti pala o traio le rhaiosko; ai kodo kai shudel o jiv ai kodo kai chidel raduinpe andek than.
36Mvunaji anapata mshahara wake, na anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele; hivyo mpandaji na mvunaji watafurahi pamoja.
37Kadala vorbi si chache, iek shudel o jiv, ai kaver chidel o jiv.
37Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: Mmoja hupanda na mwingine huvuna.
38Tradem tume te chiden so chi shudian, aver kerde buchi. Aver bariarde ai tume avile te chiden lenge fruti."
38Mimi nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea jasho, wengine walifanya kazi, lakini ninyi mnafaidika kutokana na jasho lao."
39But Samaritanuria kodole gaveske pachanaspe ando Jesus pala kacha viasta chachi la zhuvliaki, woi phendia, "Phendia mange so godi kerdem."
39Wasamaria wengi wa kijiji kile waliamini kwa sababu ya maneno aliyosema huyo mama: "Ameniambia mambo yote niliyofanya."
40Ai vi le Samaritanuria avile ka Jesus, ai mangenaspe lestar te beshel pasha lende: wo beshlo dui dies.
40Wasamaria walimwendea Yesu wakamwomba akae nao; naye akakaa hapo siku mbili.
41Ai mai but narodo pachanaspe ando Jesus pala leske vorbi.
41Watu wengi zaidi walimwamini kwa sababu ya ujumbe wake.
42Ai mothonas la zhuvliake, "Akana pachas ame, nai ke pala so tu phendian amenge, ke ame ashundiam les ame, ai zhanas ke chaches wo si O Kristo, O Skepitori la lumiako."
42Wakamwambia yule mama, "Sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu."
43Pala kodola dui dies O Jesus gelotar kotsar te zhal ande Galilee.
43Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.
44Ke O Jesus phendiasas, "Ke ek profeto nai jindo ande pesko them."
44Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "Nabii hapati heshima katika nchi yake."
45Kana areslo ande Galilee, le Galilenuria premisarde les, kai dikhle so godi O Jesus kerdiasas ando Jerusalem kana sas e pachiv; ke vi won sas ka kodia pachiv.
45Basi, alipofika Galilaya, Wagalilaya wengi walimkaribisha. Maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya Pasaka, wakayaona mambo yote Yesu aliyotenda huko Yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.
46O Jesus avilo palpale ando gav kai bushol Cana andai Galilee, kai parhudiasas o pai te kerdiol mol. Sas ando Capernaum iek fitsiri le amperatosko, kai sas lesko shav naswalo.
46Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu.
47Kana ashundia ke O Jesus avilo andai Judea ande Galilee, gelo karing leste, ai mangliape lestar te avel te sastiarel leske shaves, kai si po merimos.
47Basi, huyo ofisa aliposikia kuwa Yesu alikuwa ametoka Yudea na kufika Galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi.
48Porme O Jesus phendia leske, "Te na dikhena mirakluria chi pachan tume, vov si."
48Yesu akamwambia, "Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!"
49O fitsiri le amperatosko phendia leske, "Gazda, Aida mande mai anglal te merel murho shav."
49Huyo ofisa akamwambia, "Mheshimiwa, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa."
50O Jesus phendia leske, "Zha khere, cho shav traiil!" Ai kodo manush pachaiape e vorba kai O Jesus phendia leske, ai gelo.
50Yesu akamwambia, "Nenda tu, mwanao yu mzima." Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake.
51Inker po drom sas te zhal peste khere, kana leske slugi avile ande lesko drom, ai mothon leske. "Cho shav traiil."
51Alipokuwa bado njiani, watumishi wake walikutana naye, wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima.
52Ai wo phushel len, "Ka che chaso sastilo?" ai won phende leske, "Arachi karing o pervo pala miatsuzo o zharo gelotar."
52Naye akawauliza saa mtoto alipopata nafuu; nao wakamwambia, "Jana saa saba mchana, homa ilimwacha."
53Antunchi o dat zhanelas ke sas kodo chaso kana O Jesus phendiasas leske, "Cho shav traiila." Wo ai savorhe ando lesko kher pachanaspe ando Jesus.
53Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: "Mwanao yu mzima." Basi, yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote.
54Kado sas o duito miraklo kai kerdia O Jesus kana avilo andai Judea ande Galilee.
54Hii ilikuwa ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipokuwa anatoka Yudea kwenda Galilaya.